Jeshi la Polisi kuchunguza Askari anayedaiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

... kumbe serikali inatambua haya mambo ni mambo binafsi! Hili janga litatokomezwa nchini kweli? Ni as if serikali imelikubali sisi tunaishia kupiga kelele tu.
 
Kuna zile nchi huwa zinasupport vitu kama hivi wasije tu kuingilia kati.
 
Sasa poliisi wanashindwa nini kukanusha hakuna kitu kama hicho bali ni picha ya kuedit tu? Yaani polisi inakubali askari wake alidhalilishe jeshi lao kirahisi hivyo? Wakamalizane naye waje na ripoti mpya
 
Kuhusu namna ya kuwatambua wenye tabia hiyo, alisema taratibu za polisi wakati wa kuajiri hazihusishi utambuzi wa tabia za ushoga kwa mwajiriwa bali hupimwa afya zao kwa ujumla.

Hakupitia JKT huyu mshkaji?! Kama alipitia kule si huwa wanapigwa tochi kukaguliwa rasa?? Alipitaje alipitaje mpaka kufikia hatua ya kuajiriwa kabisa?!
 
Wakimaliza kwa jeshi la polisi wahamie kwa ma lecturers wengi wao wanakula wanafunzi wao wa kiume na wengine wanaliwa
 
Ni maigizo; ni tukio la kutengeneza; watu wako kwenye kazi zao Serikali inabidi ichukue hatua kali sana kukomesha matukio haya; ni mengi mno, yamezidi mno
 
Eti wengine wajisalimishe tuwalekebishe ivi shoga anaweza kuacha tabia ya kichoko kirahisi kweli[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Ila yule jamaa inaonekana ndo michezo yake muda mrefu, Wazanzibar wengi wake kwa waume huliwa nyuma
Yule mzoefu maama vidio tatu tofauti ana shida yule
Mshenzi mshenzi tu Yaani sijui hata anajiskiaje dahh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…