Jeshi la Urusi ni dhaifu sana, ni dhaifu mno

Jeshi la Urusi ni dhaifu sana, ni dhaifu mno

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
844E0713-CA52-47D3-9E64-A005FFC11FA0.jpeg


Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.

Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana

Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?👇👇

4EC8EEDB-D7D2-4A90-9D19-A538405BC6F3.jpeg
3A0F181B-42AD-4FCC-98DB-3BA1ECAA8E53.jpeg
1C4C57AA-A513-48AC-AC14-9AA0B8086F84.jpeg

844E0713-CA52-47D3-9E64-A005FFC11FA0.jpeg


Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.

Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.

Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca
 
View attachment 2200092

Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.
Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana


Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?👇👇

View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097


View attachment 2200092


Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.
Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse, Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca
Tulia mwaka huu mtalala kwenye majamvi
 
Unakumbuka Ukraine ametrein raia kupigana?sasa hadi askari wa Ukrein wanajificha kwa raia na kufanya mashambulizi ya ghafla hapo unategemea nini?

Wale askari 2000 wa Ukraine waliojifungia pamoja na raia kwenye kiwanda cha Chuma unawazungumziaje?

Since they use human shields wapigwe tu.

Na wewe acha kulialia kaa kwa kutulia si ulisema walikomboa miji flan?
 
Vita haina macho! Ukiona hivyo ujue Maadui wanakuwa wamejificha kwenye majumba na silaha zao! Kinachobaki inakuwa kubomoa majumba.
Mkuu Mji wa Mariopol umeangukia mikononi mwa Majeshi ya Russia.
Wale askari hatari (Azov) wa Ukraine pamoja na Mamluki kutoka nchi za Magharibi wamenaswa kwenye kiwanda cha chuma.
 
View attachment 2200092

Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.
Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana


Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?👇👇

View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097


View attachment 2200092


Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.
Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse, Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca

Sawa mtu wa tandale,,,una2mia nguvu nyingi sana kuikosoa urusi


Msimu wa manumbu na mtama bado haujaanza tukavune?😁
 
View attachment 2200092

Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.
Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana


Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?👇👇

View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097


View attachment 2200092


Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.
Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse, Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca
Sawasawa..
 
Nilikuwa nawakubali sana Russia but kwa namna hii vita inavyoenda they need to regain my trust again sio kwa ubabe niliodhani wanao ni story za vijiweni zile

Sasa ingekuaje kama ndo angeingia vitani na wababe wenzie kama hao wadogo tu anayumbayumba

Eti nilikua nawakubali sana Russia😁 where are you now, tandale or gongo?

Sema wewe ni pro amerika, hivyo acha kutufanya wajinga
 
Eti nilikua nawakubali sana Russia😁 where are you now, tandale or gongo?

Sema wewe ni pro amerika, hivyo acha kutufanya wajinga
Niko zangu uswahilini tu mkuu sina hata ramani lakini hilo halibadilishi nilichoandika if Russia was such powerful kama alivyotuaminisha then why nchi ndogo tu inamsumbua hivyo...

Walikua wanatuzuga tu na maonyesho yao ya machuma na maneno kibao... Ngoma uko ulingoni nw wanambwela mbwela tu
 
Back
Top Bottom