Jeshi la Urusi ni dhaifu sana, ni dhaifu mno

Jeshi la Urusi ni dhaifu sana, ni dhaifu mno

Hana tofauti na N.Korea ndio maana mda wote anategemea hiyo nukes kujihami [emoji38][emoji38]

View attachment 2200879

View attachment 2200880

View attachment 2200881
Baba sikia bila Nuclear bombs hata Marekani si chochote si lolote hata kwa nchi ndogo tu Kama Afghanistani.
Nuclear Ni silaha ya kujilinda pindi tu unapoona adui asiekuwa nayo anajaribu kukusogelea isivyo kawaida kivita.
Rejea ishu ya Japan katika 1945. Japan ilishakuwa ya kutisha Sana kipindi hicho. Wakaisogelea Us Hadi ki homeboy wakitaka kuichapa na wakajsaribu. Rejea shambulio la PearlHabour. Kwa tathmini Japan ilikuwa inaendelea kuwa na nguvu Sana conventionally hivyo basi US wakaona isiwe shida kupigana na mwenye nguvu mwenzangu nyumbani haipo dawa Ni moja ..littleboy nuclear. Japan ikapinduliwa wakakubali kushindwa vita
 
Wasamehe wanajeshi wa Urusi, sababu vifaa vyao vina tatizo la Teknolojia. Ni kwamba Vifaa vingi vya Urusi havina shabaha. Wanaweza kusema hili bomu litue bunju, likatua Goba. Ndo maana Katikati ya nchi Ukraine walikimbia. Waliona wanakufa wao tu. Sasa wameleta wanajeshi wa Kukodi

2. Wanajeshi wa Urusi hawana Uchungu na hii vita bali wanatii amri ya kijeshi matakwa ya Putin hivyo wakina wanazidiwa wanaondoka zao hata kabla adui hajafika. Hawa wa kukodia wao wapo Vitani sababu kila siku hela inaingia hivyo wanapiga makombora Ovyo ovyo ilimradi waonekane wapo kazini. Wanasema Ukraine tumewachakaza kumbe wamechakaz majengo. Kila Mtu wa Ukraine mwenye Nyumba ana Handaki chini ya nyumba, Ndo maana hapo wamebomoa nyumba zote hizo wakafa Waukraine nane tu
Natamani jf ingekuwa na emoji ya kucheka,
 
Ni kweli kabisa, mazungu Yana akili mno, kwanza yamepigana vita nyingi sana Yana experience. Kila kona ya Dunia yanaenda. Urudi ana ushamba wa kizamani.
 
Niko zangu uswahilini tu mkuu sina hata ramani lakini hilo halibadilishi nilichoandika if Russia was such powerful kama alivyotuaminisha then why nchi ndogo tu inamsumbua hivyo...

Walikua wanatuzuga tu na maonyesho yao ya machuma na maneno kibao... Ngoma uko ulingoni nw wanambwela mbwela tu
Asilimia kubwa ya wamagharibi na watu wa aina kama ya wewe walidhani Russia watafanya kama kile wanachokifanya wamagharibi, mnafika na kuanza kulipua kila mahali pasipo kujali raia, hospitali na maeneo mengineyo wanalipua.

Wanajeshi wa NATO wanasema siku ya kwanza ya vita walirusha makombora zaidi ya masaa 48 Iraq mfululizo. Athari ya kilichoonekana na kilichopo tunakifahamu. Twende kwa marejeo, twende na ukweli twende na historia: Nidhamu ya namna hii Russia aliitumia Syria ambayo maeneo mengi yalikamatwa na ISIS lakini ndani ya miezi 6 alibadilisha mwelekeo kabisa. Lakini athari ya alichokifanya inafahamika na gharama yake pia.

Ikiwa unafuatilia historia za vita duniani au military operation (kwa sababu history inakuwa reference na inaku guide na history ni fact) utaona kile wanachokiita wenyewe Russia kuwa ni military operation kwa Ukraine ameenda kwa aina tofauti. Wote hatupingi kuwa Russia haikushindwa kurusha makombora kwa masaa 48 au 72 mfululizo kwenye miji yote ya Ukraine na mfano halisi kipindi cha utawala wa Bush nchi ya Georgia ambayo nayo ilitaka kujiunga NATO kama alichokifanya Ukraine, nchi hii ya Georgia ilitangaziwa vita. Matokeo yake ndani ya juma (week) ilipigwa na hii ni history.

Mitandao ya takwimu za kijeshi inaonyesha nguvu ya kijeshi ya Russia ni kubwa. Miaka 10 Russia imethibitisha hili. Miaka 10 iliyopita imethibitisha hili pia. Inatubidi tutafakari na ndiyo swali muhimu; kwa nini Russia imechagua njia hii ya kupigana na Ukraine? Hili ndilo swali linalobidi tujiulize ikiwa kama sisi ni watu wenye kutafakari.
 
Hata ktk mji wa Grozny kule Chechniya ndivyo jinsi Urusi ilivyofanya.
Katika vita ya kwanza huko Chechniya warusi walipewa kichapo cha mbwa koko wakawithdraw, wakarudi Russia na kujipanga upya, waliporudi baada ya miaka miwili hivi hawakuingia ktk mji huo kwa sababu askari wa Chechniya walikuwa wakiwasubiri kwa hamu. Urusi ikatumia tekniki ya kuharibu huo mji kabisa, Naona hiyo tekniki wanairudia tena!
 
Wasamehe wanajeshi wa Urusi, sababu vifaa vyao vina tatizo la Teknolojia. Ni kwamba Vifaa vingi vya Urusi havina shabaha. Wanaweza kusema hili bomu litue bunju, likatua Goba. Ndo maana Katikati ya nchi Ukraine walikimbia. Waliona wanakufa wao tu. Sasa wameleta wanajeshi wa Kukodi

2. Wanajeshi wa Urusi hawana Uchungu na hii vita bali wanatii amri ya kijeshi matakwa ya Putin hivyo wakina wanazidiwa wanaondoka zao hata kabla adui hajafika. Hawa wa kukodia wao wapo Vitani sababu kila siku hela inaingia hivyo wanapiga makombora Ovyo ovyo ilimradi waonekane wapo kazini. Wanasema Ukraine tumewachakaza kumbe wamechakaz majengo. Kila Mtu wa Ukraine mwenye Nyumba ana Handaki chini ya nyumba, Ndo maana hapo wamebomoa nyumba zote hizo wakafa Waukraine nane tu
Taja vita ya ardhini ambayo Marekani ameshinda tofauti na vita ya Iraq.
 
Baba sikia bila Nuclear bombs hata Marekani si chochote si lolote hata kwa nchi ndogo tu Kama Afghanistani.
Nuclear Ni silaha ya kujilinda pindi tu unapoona adui asiekuwa nayo anajaribu kukusogelea isivyo kawaida kivita.
Rejea ishu ya Japan katika 1945. Japan ilishakuwa ya kutisha Sana kipindi hicho. Wakaisogelea Us Hadi ki homeboy wakitaka kuichapa na wakajsaribu. Rejea shambulio la PearlHabour. Kwa tathmini Japan ilikuwa inaendelea kuwa na nguvu Sana conventionally hivyo basi US wakaona isiwe shida kupigana na mwenye nguvu mwenzangu nyumbani haipo dawa Ni moja ..littleboy nuclear. Japan ikapinduliwa wakakubali kushindwa vita
Acha utopolo
 
huna akili na hujui kuwa ww ni tailaaa , mwanume timamu haeza shabikia uvamizi

Kumtukana mwenzio kisa vibaraka wa marekani ni sawa??

Wakati nchi za kiarabu zinavamiwa ulijaribu kuonyesha huruma yako??? Au wale ni wanyama wakiuawa ni sawa!!!!
 
Taja vita ya ardhini ambayo Marekani ameshinda tofauti na vita ya Iraq.

Mkuu,,,hata vita ya iraq hao killers walitumia pia helkopta zao za Boeing AH-64 Apache, au nitakua nimekosea?
 
Sasa kama mnachificha kwenye majengo mkisubiri kifaru kikatize mkilipue mnategemea nae Mrusi atumie mbinu gani kama sio ya kushusha jengo zima
Hata ktk mji wa Grozny kule Chechniya ndivyo jinsi Urusi ilivyofanya.
Katika vita ya kwanza huko Chechniya warusi walipewa kichapo cha mbwa koko wakawithdraw, wakarudi Russia na kujipanga upya, waliporudi baada ya miaka miwili hivi hawakuingia ktk mji huo kwa sababu askari wa Chechniya walikuwa wakiwasubiri kwa hamu. Urusi ikatumia tekniki ya kuharibu huo mji kabisa, Naona hiyo tekniki wanairudia tena!
images%20(19).jpeg
download%20(1).jpeg
images%20(20).jpeg
 
Wasamehe wanajeshi wa Urusi, sababu vifaa vyao vina tatizo la Teknolojia. Ni kwamba Vifaa vingi vya Urusi havina shabaha. Wanaweza kusema hili bomu litue bunju, likatua Goba. Ndo maana Katikati ya nchi Ukraine walikimbia. Waliona wanakufa wao tu. Sasa wameleta wanajeshi wa Kukodi

2. Wanajeshi wa Urusi hawana Uchungu na hii vita bali wanatii amri ya kijeshi matakwa ya Putin hivyo wakina wanazidiwa wanaondoka zao hata kabla adui hajafika. Hawa wa kukodia wao wapo Vitani sababu kila siku hela inaingia hivyo wanapiga makombora Ovyo ovyo ilimradi waonekane wapo kazini. Wanasema Ukraine tumewachakaza kumbe wamechakaz majengo. Kila Mtu wa Ukraine mwenye Nyumba ana Handaki chini ya nyumba, Ndo maana hapo wamebomoa nyumba zote hizo wakafa Waukraine nane tu
Point taken
 
Ebu niambie vita ya Afghanistan.ukitoa nuclear bomb ni silaha gani nyingine ambayo haikutumiwa na USA kwenye vita ya Afghanistan?
View attachment 2200092

Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.

Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana

Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?[emoji116][emoji116]

View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092

Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.

Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.

Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca
 
View attachment 2200092

Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.

Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana

Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?[emoji116][emoji116]

View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092

Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.

Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.

Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca
Nonsense
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Ni mambo yakuchekesha ila wabongo jamaan ni wajuaji... Hadi wewe unaweza mfundisha urusi cha kufanya yani unaweza Sema urusi dhaifu kweli mbongo mweke picha tu maudhui atajaza mwenyew
 
Back
Top Bottom