Wale majenarali 9 wa urusi walikufa kwa kujinyonga [emoji2][emoji2]Watu mna muda...
Yaan mtu anakupiga kila sehemu katika nchi yako bado unamuona dhaifu?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Zilipendwa hizo mkuuUjermani wanajua mziki wake aliwachapa sana kwenye WWII na axis power yake.
Ukraine ni nchi ndogo ukicompare na mahasimu wengine wa RussiaKwamba yukraini ni mdogo na unajua maana ya operation ndugu au ni wale wa kusikia story za kwenye kahawa
Mkuu washawashaPutin piga Gaykrania hao
Nalog off Z
Pole sana ndugu ,inaonekana wazi kabisa wewe ni miongoni mwa wale wanafunzi wetu waliokua ukraine sasa baada ya kutibuliwa kozi yako ya ufugaji samaki ndio chuki zikakujaa sana na mother land RussiaView attachment 2200092
Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.
Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona
Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana
Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?👇👇
View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092
Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.
Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.
Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.
Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot
Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu
Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.
Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu
Britanicca
Kabisa maana mataifa yote hay ulaya yanapeleka silaha UkraineKwani hujui ya kwamba Russia anapigana na NATO pale Ukraine!!
Donbas alikuwa na mapandikizi toka muda mrefu tu. Pale Kyiv ngoma ni nzito pale. Ninaamini Ukraine ikijipanga, Mariupol itakombolewa tena.Tujikite Russia na Ukrean kwanini operation imechukua sasa mwezi 3 unaingia? kwanini Russia alirudi nyuma Kyiv? Kwanini alipovami Ukraine Donbas ndio miji ya kwanza kutangaza kwamba ushakuwa huru lakini aliposhindwa Kyiv akarudia kuja kupigana kwenye miji ambayo kabla alishatangaza kuwa huru? Kwanini kwanini?
Hapana mkuu, russia ana jeshi zuri hasa ktk vifaa.Russia ni watu wa propaganda nyingi tu ila hawana lolote kijeshi, ni sawa na Kiduku wa Korea kaskazini.
Walioambiwa wakipeleka silaha si wataangamizwa?Kabisa maana mataifa yote hay ulaya yanapeleka silaha Ukraine
kweli hata mimi sijamuelewa mrusiPutin hovyo kabisa from 72hrs to more than 60days nilijua hakuna mkali kama yeye sasa nimemdharau hata comedian anamshinda duu
Hawana kituNilikuwa nawakubali sana Russia but kwa namna hii vita inavyoenda they need to regain my trust again sio kwa ubabe niliodhani wanao ni story za vijiweni zile
Sasa ingekuaje kama ndo angeingia vitani na wababe wenzie kama hao wadogo tu anayumbayumba
Ukraine hawashindwi kurusha chochote Urusi ila wadhamini wao hawataki iwe hivyo sababu itawafanya Warusi wamsapoti Putin kwa wingi , so ss hv wanamfanya Putin aonekane mkorofiDuh kumbe Russia Ni dhaifuuu?
Nchi inayoogopwa na Marekani kuliko nchi zote duniani?
Nb. Tafuta picha za Baghdad ya 2003 ya sadam. Na pia baadae tafuta picha za Baghdad baada ya 2003. Ndo utajua Kwamba adui atafutwapo haijalishi kasimama kwenye Mali ya thamani kiasi gani. Na ndo maana hata waukren wangepata nafasi wangeiflatisha Moscow ili tu kumtafuta Putin. Wazi?
angalia distance mkuu , Urusi kwenye ground war yupo shallow , USA to Afghanstan and Urusi to Ukraine , Ebu jiulize kwann Mexico au Canada hawawez kuleta mdomo mwingi dhidi ya USABaba sikia bila Nuclear bombs hata Marekani si chochote si lolote hata kwa nchi ndogo tu Kama Afghanistani.
Nuclear Ni silaha ya kujilinda pindi tu unapoona adui asiekuwa nayo anajaribu kukusogelea isivyo kawaida kivita.
Rejea ishu ya Japan katika 1945. Japan ilishakuwa ya kutisha Sana kipindi hicho. Wakaisogelea Us Hadi ki homeboy wakitaka kuichapa na wakajsaribu. Rejea shambulio la PearlHabour. Kwa tathmini Japan ilikuwa inaendelea kuwa na nguvu Sana conventionally hivyo basi US wakaona isiwe shida kupigana na mwenye nguvu mwenzangu nyumbani haipo dawa Ni moja ..littleboy nuclear. Japan ikapinduliwa wakakubali kushindwa vita