Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

Umeelewa chochote alichoandika Mwabukusi??
 
Wewe jamaa mbona unapiga mayowe yasiyo na maana?!!!

Hivi mtu akikushtaki wewe amekubagaza utu wako ?!!!

Kuna kitu hukielewi....

Mashtaka yanapokuwa mahakamani ni kwa ajili ya "integrity" ya tafsiri ya "rule of law"....

Taasisi inaweza kushtakiwa....mashtaka si uadui....hivi hizi "mentality" za KUKARIRI ujinga tunazitoa wapi ?!!!

Wewe hujawahi kusikia wazazi wa askari wa USA waliopelekwa Vita vya Iraq" walikwenda mahakamani kutaka tafsiri ya sheria kwa kilichoitwa "false flag"?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji106]
 
Jeshi ni kama vile linaona raia ni waasi.

Je kwenye mafunzo yao wana kipengele cha kuzuia na kupambana na uhalifu?
 
wewe na ukoo wako hakuna siku mtajikomboa
Anayejikomboa hajifichi toka wazi wewe kama nani toa ID fake ndio tutajuwa uko serious. Bora ya huyo Mwambukusi anasema kama yeye naweza kumpa heshima. Wewe unajitia shujaa mbona umejificha kama sisi nyuma?
 
Mnaleta utani kwenye ulinzi wa Taifa, acheni upumbavu tutawafuata majumbani uniform za jeshi ni haramu kutumiwa na raia
Upumbavu detected kwenye hii post hapo juu
 
JWTZ wameshimu "rule of law"...

PT wako kikatiba kuzuia na kupambana na uhalifu....

Kumiliki sare za majeshi kwa wasiohusika huo ni UHALIFU....

Mwabukusi yuko sahihi....

JWTZ tunawakumbusha msimame katika mstari wenu.....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Unaelezea uzoefu wako wa nchi mbalimbali kwa ajili ya kujibu swali la matumizi ya military police kwa raia!! Nikikwambia uzoefu wangu pengine hutarudia tena kujibu swali namna hiyo. Mafunzo na weledi wa Jeshi lo lote katika nchi inayoendeshwa kidemokrasia hayaelekezwi kwa raia. Raia ye yote ambae ana afya na mzalendo ni jeshi la akiba endapo nchi inaingia vitani. Nadhani ulikuwepo na ulikuwa unajitambua yaliyofanyika Tanzania ilipombana na Idd Amin wa Uganda. Kwa sababu hiyo nguvu za jeshi kwenye nchi yo yote inayojitambua na inayothamini utawala wa sheria haiwezi kuelekezwa kwa jeshi lake la akiba. Suala la sare za Jeshi lishughulikiwe na polisi vinginevyo ni kulidhalilisha wanajeshi wetu na jeshi lenyewe. Serikali ilikuwa wapi mpaka sare za jeshi zinazagaa? kama zinakuja kama mitumba au zinaagizwa au kushonwa hapa nchini Serikali ndiyo inaweza kuwachukulia hatua wahusika. Governance! Governance. Governance!
 
Umemaliza kila kitu....

Asiyeelewa ulichosema basi tumsaidie kumkamata ,kumfunga kamba na kumuwahisha pale wodi na.14 ACUTE MIREMBE [emoji1787][emoji1787]
 
[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
 
Kama vita hamna,futeni JESHI hilo tubaki na majeshi mengine kuokoa gharama za matumizi yasio na lazima.

maana kazi hamna majeshi yameanza kusaidiana majukumu. sio mbaya lkn labda ni upendo.
 
Majeshi yenye akili yanapindua serikali mbovu na kufanya research zenye tija.

Jeshi letu tatizo wamejaa viraza wao wanadhani wakivaa mabaka yao wamemaliza kazi. Namuunga mkono Mwambukusi, hao wahuni waache mara moja mpango wao wa kijinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…