Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wakat uho wewe unakimbia mwezio anampanga mwana aje get ampe kimoja cha chapNamuacha alale mwenyewe
Sikia kesho ukifika mchanemichosho kweli yani.
Haha pisi zinajifanya zimevurugwa wakati na sisi tumevurugwa..pisi inapaka lipstick nyekundu kwenye pedi, ndugu yangu unaingia huruma ndio ushapigwa ivyo, lazima tupime oil😂😂 ila watu mnajiweza ase mnajitoa ufahamu
Next time nipitie twende wote napendanilikua na siku nzuri sana leo, nilikwenda kwenye tamasha la kusifu na kuabudu…namshukuru Mungu kwakweli.
Daaah nimekula kula ban kwenye acccount 4 tofauti nimeamua kurudi kwenye uhalisia sasa 😁Bora mzee umeludi ulipotelea wapi
Pole kwanini hiyo imetokea gafla?Nipo getto tu tangu niingie jana. Sipo sawa hata kidogo, katika siku ambazo akili imesimama kufanya kazi ni tangu Ijumaa mpaka sasa.
Mbaya zaidi sioni msaada napata wapi na kwa nani? Hatma yangu siielewi!
hahahah, okayNext time nipitie twende wote napenda
Duh nilijua nimeona vyote kumbe wanafanya ujinga uhuHaha pisi zinajifanya zimevurugwa wakati na sisi tumevurugwa..pisi inapaka lipstick nyekundu kwenye pedi, ndugu yangu unaingia huruma ndio ushapigwa ivyo, lazima tupime oil
Unakumbuka maneno yangu nilikwambiaje kaka yako?Daaah nimekula kula ban kwenye acccount 4 tofauti nimeamua kurudi kwenye uhalisia sasa 😁
SIo kirahis hivyoNa wakat uho wewe unakimbia mwezio anampanga mwana aje get ampe kimoja cha chap
Mbona wachekahahahah, okay
nimefurahi tuMbona wacheka
Acha tu nimejifunza sasa inabidi nikae kwa adabu 😢😜Unakumbuka maneno yangu nilikwambiaje kaka yako?
So sad dah poleni sana 😭😭😭 mtoto duh nimesikitika sanaLeo kwangu haikua poa
Nakutana na workmate anatoka maabara kufuata majibu ya mwanae
Tunasalimiana kwa furaha
Naamua kuongozana nae kuona hali ya mtoto
Tunakuta amefariki nlijiskia vibaya sana
HayyajakukutaSIo kirahis hivyo
Usisahau basinimefurahi tu