Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #121
Wewe njoo nita waambia huyunmchekecheni tubDuh,, yaani wanapigilia msumari kichwani?, Wezi nao ni binadamu, tupewe haki zetu za binadamuš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe njoo nita waambia huyunmchekecheni tubDuh,, yaani wanapigilia msumari kichwani?, Wezi nao ni binadamu, tupewe haki zetu za binadamuš
Mama maziti sana ivi kwenu kuna mtu mweupe peeUnaona nn
i guess nina mood nzuri ndo maana nasifia hiviOngera sana mamy blue monday imeonekanan
Ilo nalo zuri mimi leo nimeharibiwa siku morngi guess nina mood nzuri ndo maana nasifia hivi
pole sana , watu huwa wanaboa muda mwingine .Ilo nalo zuri mimi leo nimeharibiwa siku morng
Sana mpka kichwa kinaumapole sana , watu huwa wanaboa muda mwingine .
Pole sana whySiku yangu ilikua boring, nilipanga kuonana na mtu muhimu lakini sikufanikiwa
Ulipika supu ya kuku wa kienyeji Ile nipitie mitaa iyo šššhuenda imebakiHello habari,
Nimeona niadhishe hii thread kwasababu watu wengine siku zao zinakuwa mbaya wanakwazika lakini hawana watu wakuwapa pole hawana watu wakuwafariji au ata kuwapa ongera kwa hatua waliyo fikia kwa siku hiyo.
Nianze na mimi;
Mimi siku yangu ilikuwa mzuri sana lakini ilikuja kuvurugwa na wageni ambao walinitembelea leo, lakini nimekaa poa sana.
Kwanini ilikuwa na furaha, kwasababu nilipata taarifa juu ya wageni hao na nilikuwa na shauku kitu kilicho nilalazimu kuingia mfuko kuwaanda wageni ili wafurahi sana.
Ujio wao ulikuwa ni kuja kumuona mjukuu wao, kwahio familia ikachagua sehemu nzuri ni kwangu kwasababu ya nafasi lakini pia ukaribu wa eneo ambalo wageni wanatokea.
Walifika, baada ya kufika nikaanda mashambulizi lakini chaa ajabu nawauliza ujio wenu hapa ni nini? Kama mjomba, kama kaka, hawajui kujieleza hata kidogo, kitu kilichonichefua sana. Baadae nikashusha hasira nikawapa utaratibu wafuate ,nikawapa mtoto wamuone kwa huruma zangu.
Tukafurahi nikawasindikiza, but nashukuru sana kwa siku ya leo. Je, wewe ilikuwaje siku yako leo?
Hakuna wote weusi tiii kama wewMama maziti sana ivi kwenu kuna mtu mweupe pee
Sio kila mwizi anadhuru watu na wizi ni laana kubwa kabisa. .Ulikuwa unampango
Wakuja kuiba
š¤£š¤£š¤£š¤£Siku yangu ilikuwa poa sana ila huyu mwanamke akataka kuiharibu .Nimemuacha aongee peke yake.Nimefurahi sana kumuona binti yangu.
Iyo ndio sababu tafuteni mtu mweupe pleas ndio dawa inayo ondoa mikosi magonjwa na hararaHakuna wote weusi tiii kama wew
Sawa kigagulašIyo ndio sababu tafuteni mtu mweupe pleas ndio dawa inayo ondoa mikosi magonjwa na harara
Ujue mimi last born wako af unaniita ivyoSawa kigagulaš