JF member tupeane pole na kufarijiana kwa kuambiana siku yako ilikuwaje

JF member tupeane pole na kufarijiana kwa kuambiana siku yako ilikuwaje

Hello habari,

Nimeona niadhishe hii thread kwasababu watu wengine siku zao zinakuwa mbaya wanakwazika lakini hawana watu wakuwapa pole hawana watu wakuwafariji au ata kuwapa ongera kwa hatua waliyo fikia kwa siku hiyo.

Nianze na mimi;

Mimi siku yangu ilikuwa mzuri sana lakini ilikuja kuvurugwa na wageni ambao walinitembelea leo, lakini nimekaa poa sana.

Kwanini ilikuwa na furaha, kwasababu nilipata taarifa juu ya wageni hao na nilikuwa na shauku kitu kilicho nilalazimu kuingia mfuko kuwaanda wageni ili wafurahi sana.

Ujio wao ulikuwa ni kuja kumuona mjukuu wao, kwahio familia ikachagua sehemu nzuri ni kwangu kwasababu ya nafasi lakini pia ukaribu wa eneo ambalo wageni wanatokea.

Walifika, baada ya kufika nikaanda mashambulizi lakini chaa ajabu nawauliza ujio wenu hapa ni nini? Kama mjomba, kama kaka, hawajui kujieleza hata kidogo, kitu kilichonichefua sana. Baadae nikashusha hasira nikawapa utaratibu wafuate ,nikawapa mtoto wamuone kwa huruma zangu.

Tukafurahi nikawasindikiza, but nashukuru sana kwa siku ya leo. Je, wewe ilikuwaje siku yako leo?
Ulipika supu ya kuku wa kienyeji Ile nipitie mitaa iyo šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚huenda imebaki
 
Siku yangu ilikuwa poa sana ila huyu mwanamke akataka kuiharibu .Nimemuacha aongee peke yake.Nimefurahi sana kumuona binti yangu.
 
Siku yangu ilikuwa poa sana ila huyu mwanamke akataka kuiharibu .Nimemuacha aongee peke yake.Nimefurahi sana kumuona binti yangu.
🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • 255762279655_status_af8de06651284d00b18f398587907587.jpg
    255762279655_status_af8de06651284d00b18f398587907587.jpg
    27.8 KB · Views: 3
  • Kicheko
Reactions: EEX
Hellow siku yangu leo imekuwa ya kazi sana leo sijatoka nilikuwa na mood ya usafi so nimeshinda nafanya usafi after hapo inabidi nikanywe kahawa ya maziwa sehemu mzuri nitulie ila si naweza kwenda morogoro now na nikaludi leo leo? Kwa muda uhu?
 
Back
Top Bottom