CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Sio mwenyekiti wake, Chadema ilisha wafukuza uanachama, anacheka kwakuwa anajua atajiunga CCM yeye na mkewe.Anamcheka Mwenyekiti wake
Ninyi ni watu wa aina gani? Kwanza ulikuwa humtaki, sasa hivi unampangia nini aseme! Kama unafikiri hao COVID 19 wanakuelewa sana fungua kampuni uwashauri wakulipe kabisa.Hahaha Mwenyekiti bado anafanya kampeni? Hawezi kukaa kimya?
Siyo kila swali ana jibu lake, mwenyekiti siyo mmiliki wa chama. Kuna vitu vinajadiliwa na ngazi zingine za chama nakutolewa maamuzi.
Kwa hiyo kila Mtanzania atakayetaka kujiunga chadema Lisu ndiye anaidhinisha kujiunga kwao?
Najua hawa ni special case lakini asitake kuwaaminisha watanzania kwamba yeye ndiye mfunga na mfungua milango ya chadema.
Sasa Lisu anataka ajibu hadi maswali ya wapika chai wa ofisi za chadema.
Ajifunze kukaa kimya siyo kila kitu kinajibiwa hadharani.
Chadema inapokea RUZUKU kutokana na hao wabunge tunowaita Covid19. Halafu yeye anajidai HAWATAMBUI, akae kimya.
Ubunge wao wa mahakam ukifika tamati, wana haki kuamua kurudi chadema, au kwenda kokote watakako kwenda.
Swala la nani aliwapa fomu, au waliingiaje Bungeni akaulize ofisi ya spika wa Bunge, aache kujitoa akili.
Wanayo hiyari ya kuamua, kwanza ni watanzani, pili hawajafanya kosa la kusababisha wafukuzwe uanachama wao.
Mkuu una kitambulisho cha NIDA?Tundu Lissu ajenge chama kama alivyahaidi.
Aache Uharakati na kufukuzana na chupi. Musamaha ikufike Bulaya.
Nitamkote memba mwenzi yetu hapa
"Lissu should start to show his "STATEMANSHIP" end kwot
My take
Wanawake wa CHADEMA wameshalalamika kuwa kuna mfumo dume chamani, Lissu anakimbizana na kujibishana nao, watakosa bloc maalum Uchaguzi ya 2025. Ok
Halima Mdee zalauz zako hazitakufikisha popote. Tundu Lissu jenga chama acha tabia ya kufukua makaburi hapa duniani hakuna mkamilifu. Tugange yajayoHalima Mdee ameonyesha emoji mbili za kucheka 😃😃 kupitia mtandao wa X katika taarifa inayomuonyesha Lissu akiongelea kuhusu msimamo wake dhidi ya wabunge hao 19
View attachment 3213007
Makaburi mengine hayafukuliwi in publicHalima Mdee zalauz zako hazitakufikisha popote. Tundu Lissu jenga chama acha tabia ya kufukua makaburi hapa duniani hakuna mkamilifu. Tugange yajayo
Uko nchi gani Mkuu? Walishafukuzwa mda sana, wabunge wasio na chama, wamelindwa na mfumo tu.Anamdharau Mwenyekiti wake mpya, hapo lazima ameshajiharibia na watafukuzwa uanachama
Huyu ndiyo wale wahamiaji haramu.Mkuu una kitambulisho cha NIDA?
Kwa mujibu taarifa zilizopo, Chadema iliisha wafuta uanachama hao; Lissu kaulizwa swali hilo, unadhani angejibuje? Hawa si walifukuzwa tokea enzi mwendazake hajaitwa mbele za haki? Mwenyekiti wa Chadema was FAM. Nadhani wandishi waache kuuliza maswali ambayo hata wao wenyewe wanayo majibuTundu Lissu ajenge chama kama alivyahaidi.
Aache Uharakati na kufukuzana na chupi. Musamaha ikufike Bulaya.
Nitamkote memba mwenzi yetu hapa
"Lissu should start to show his "STATEMANSHIP" end kwot
My take
Wanawake wa CHADEMA wameshalalamika kuwa kuna mfumo dume chamani, Lissu anakimbizana na kujibishana nao, watakosa bloc maalum Uchaguzi ya 2025. Ok
Kwahiyo wake na mahawara wa Salum Mwalimu, Kigaila na Mbowe wasiguswe?? Unajua walivyokiumiza Chama?Tundu Lissu ajenge chama kama alivyahaidi.
Aache Uharakati na kufukuzana na chupi. Musamaha ikufike Bulaya.
Nitamkote memba mwenzi yetu hapa
"Lissu should start to show his "STATEMANSHIP" end kwot
My take
Wanawake wa CHADEMA wameshalalamika kuwa kuna mfumo dume chamani, Lissu anakimbizana na kujibishana nao, watakosa bloc maalum Uchaguzi ya 2025. Ok
Kwahiyo kauli ya mwisho unayo wewe? Kwamba unajilinganisha na Mwenyekiti Lissu??Mjumbe wa kamati kuu, na Lisu ni Mjumbe na Mwenyekiti, chama siyo mali yake, yeye hana kauli ya mwisho.
kwani Mbowe yupo ?Bawacha wameonyesha wazi kuwa wako kwa Mbowe. Hiyo inamsumbua.
Amandla...
Sijasikia habari ya msiba wake. Wewe una taarifa yoyote?kwani Mbowe yupo ?
Bunge gani, hilo la majizi ya kura?Bungeni watatambulika kama wana chama wa CDM acheni kujitoa akili
Wafukuzwe mara ngapiAnamdharau Mwenyekiti wake mpya, hapo lazima ameshajiharibia na watafukuzwa uanachama
Tundu Kissu Ukweli na uhakikaHalima Mdee ameonyesha emoji mbili za kucheka 😃😃 kupitia mtandao wa X katika taarifa inayomuonyesha Lissu akiongelea kuhusu msimamo wake dhidi ya wabunge hao 19
Pia soma >Tundu Lissu: Nipo tayari kuwapokea wabunge 19 wa Viti Maalum walioingia bungeni bila baraka za chama
View attachment 3213007