Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)


Umetumia campany gani kukuletea ?
 
Inamaana sikuhizi paypal wakirudisha hela inaingia kwenye acount tena? sababu hapo juu mliwahi kusema kwamba wakirudisha hua account bado haipokei kwamba tz bank hazina uwezo wa kupokea. hebu weka wazi vizuri hapa mkuu

Mdau hapo juu alisema kwa upande wa crdb, lakin barclays hakuna kusuasua
 
Account ya bank utakayotumia kujiunga na paypal ni lazima iwe ya USD au hata ya kibongo inafaa?

hata ya kibongo ila kuna changamoto fulani hivi. kuna ufafanuzi wa kina sehemu fulani ebu soma mwenyewe uone kuhusu swali lako hilo, soma website hii http://www.kalumbilo.co.tz/fahamu/fahamu_0006.html
 
Mkuu umefanya kazi nzur sana, vp kuhusu malipo ya ushuru kwa hapa kwetu?, yan mzigo ukifika vp kuhusu TRA?

Mkuu kuhusu ushuru TRA inategemea aina ya mzigo uliouagiza upo kwenye category gani. Huenda upo kwenye "zero rating" au "exempted supplies".

Kama mzigo upo kwenye exempted hautalipa ushuru wote ila VAT tu. Mifano ya subcategories ambazo zipo chini ya exempted supplies ni kama:
1. Food and crops
2. Pesticides and fertilizers
3. Educational supplies
4. Veterinary supplies
5. Transport services
6. Computers
7. Agricultural equipments nakadhalika.
Kwa hiyo utaangalia mzigo wako upo sehemu gani, huenda na computer au spea zake hiyo ipo pale kwenye namba 6. Au labda ni incubator, hiyo ipo kweny namba saba. Kwa hiyo ipo hivyo.
Kama mzigo wako haupo kweny category ya zero rating au exemped basi jiandae kulipa ushuru ufuatao.
1. Import Duty 25%
2. Excise duty 5% au 10%
3. VAT 20%

Kwa kifupi ni hayo. Ukitaka kujua mambo mengi zaidi kuhusu kuuza au kununua online, tembelea tovuti ya kiswahili inayotoa elimu maalumu kwa mambo haya
www.kalumbilo.co.tz/fahamu/
 

Pamoja na msaada utakaopatiwa na wataalamu uliowataja hapo, na mimi nimeona nijitokeze maana ni miongoni mwa watu wenye weledi. Nakualika tembelea tovuti maalumu ambayo inatoa miongozo mingi ya namna ya kuuza na kununua online.

Ni Tovuti ya kibongo na mada zimeelezwa kwa kiswahili, fungua hapa www.kalumbilo.co.tz/fahamu/
 
Wakuu nahitaji kusaidiwa namna ya kununua kwa hawa jamaa pamoja na masuala ya kusalama ya kuzingatia.

Asante.

Kama umeshajisajili, tafuta bidhaa unayoitaka kwa 'Gold suppliers' tu! Kama mitandao mengine yote, kuna matapeli pia. Baada ya negotiations nakushauri ulipe kupitia 'Alipay' (inachaji kidogo lakini inakuhakikishia usalama wa hela yako).

Kwa maswali zaidi kuna online customer service kwenye website yao, ukifata maelekezo yao huwezi kutapeliwa.
 
Ngoja waje wauza vitu feki watakujuza mkuu

Hahahahaa, wabongo tuna tabu sana! Jamaa kaomba msaada huna la kumsaidia kaa pembeni, lazima u-comment?
Hapo ulipo juu mpaka chini umevaa hivyo ulivyouziwa na 'wauza vitu feki'. Acha dharau dogo..
 
Wakuu nahitaji kusaidiwa namna ya kununua kwa hawa jamaa pamoja na masuala ya kusalama ya kuzingatia.

Asante.

Unawatumia tuu hela then wao wanakutumia kitu unachotaka hadi nchi uliyopo. Hawawezi kukuibia.

Ikiwa unachotaka kununua ni kitu kikubwa na cha gharama, nakushauri unicheki nikupe mtu afanye hiyo. Lakini uwe tayari kulipia.
 
Najaribu kuingiza adress yangu ya comgateaway ebay inaniletea hizo error. Help please.
 
Najaribu kuingiza adress yangu ya comgateaway ebay inaniletea hizo error. Help please.

utakuwa umekosea, watumie email comgateway uwambie wakusaidie ujue postal au zip code ni ipi watakuelekeza.
 
Hivi kuagiza camera mfano canon 5d na kisha utumie njia ya posta ya kawaida si risky kubwa sana?
 
wadau naombeni msaada kidogo hapa, nimefanya shopping amazon kwa kutumia anuani ya comgetway, na baada ya kujaza kila kitu, hapa mwisho kabisa amazon wameniletea order total tshs 170000, je hii fedha ina include shipping kutoka comgetway mpaka hapa bongo? au inabidi niwalipe tena comgetway kunifanyia shipping mpaka hapa bongo.

ASANTENI
 
Wajamvi kuna hii campuni ya china post air mail, naona inafanya free shipping from china to tanzania, vip inauhakika wa kupokea mzigo?
 

HAPANA mkuu, hiyo ni order total ya amazon. amazon wao ndio wataship kwenda kwenye address ya comgateway.. baada ya hapo mzigo wako utatumwa na amazon kwenda comgateway, wao comgateway watakutumia email wakipokea mzigo wako.. hapo ndio utapatiwa bei ya kutuma mzigo kuja tanzania..
 
nafulah san kupata mambo kam haya kwan ndio mla yang ya kwanza nimejifunza jap kiuchache2 nahitaji kujifunza zaid ili niwe miongone mwatu wngine zaid tunaweza kuwasilian kwa simu ya kiganjan 0655186071
 

Mkuu umezungumza vizuri kuhusu kununua (Import) ila hujasema lolote kuuza bidhaa Amazon kwa FBA kutoka Alibaba. Nina uhakika kwa jinsi ulivyoeleza hata kuuza unajua. Sisi wengine tunajua ila kuelezea inakuwa shida kweli. Tafadhali wajulishe na jinsi ya kuingia kwenye soko kubwa Dunia linalouza karibia $100 Billion kwa mwaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…