Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Hivi hizi clearing company zinakwepwaje.? Maana naona kama tunawalipa pesa za bure tuu pasipo kazi. Pia kuna ujanja wowote wa kuchukua mzigo mapema pindi tuu unapowasili na courier kama UPS na DHL?

Maana ni kawaida kwa mzigo kukaa wiki nzima kwao tokea ufike TZ, na kisingizio huwa wanasema ni TRA wanachelewesha mizigo. Ni jinsi gani ya kukwepa huu uhuni.?
 
Eti ina maanisha adress yangu ya #ComGateway ndo niiweke kama shiping adress yangu kwa ebay ili mzigo uende kwao nao wanitumie?
 
Kwa yoyote yule ambaye atahitaji kuagiza kitu katika online site yoyote ile anaweza kuwasiliana nami kwenye email yangu: imanicarrina@gmail.com
Ninaweza kuwa msaada.

I will only answer genuine questions/concerns.

Asanteni

unafahamu chochote kuhusu gharama za kusafirishia mizigo za hawa curriers jinsi wanavyokokotoa na mifano samples za mizigo please unijulishe?
 
Barclays ndo kila kitu.huduma za bei za kiuchumi and fast.haina longolongo.just advance yourself technologically.i do alot of shopping,i shop like champ,system yao ni more advanced.WOOO!

And am about to buy a car via amazon. I am depositing some funds to my barclays account then after some times i will be able to continue shopping like a champ.
 
Imekuwa ni shida sana kwa watanzania wengi kununua bidhaaa katika masoko haya ya mtandaoni kwani mengi huwa hayakupi fursa ya kutumiwa mzigo wako moja kwa moja Tanzania. baadhi ya thread zilianzishwa na zimeelezea mengi sana kuhusiana na manunuzi haya ya mtandaoni, ila tulipata ufumbuzi mdogo. Nimejaribu kupitia pitia forums nyingi nichanganue namna mbadala ya kupata mizigo bila ya kutumia gharama nyingi. hii ni kwa kutumia FOWARDING COMPANIES ambazo kazi yake ni 1: Kukupatia anuani ya Marekani (au popote iliopo ila nashauri marekani au uingereza UK) au US Shipping Address 2:Kupokea mzigo kwenye soko ulilotumia (eidha amazon,ebay au lolote lile lisilo ship Tanzania) 3:Kukutumia mzigo wewe hapo ulipo kwa wakala kama DHL,FEDEX,UPS,USPS NK baada ya kujua kazi ya fowarding company unahitaji kuwa na vigezo vifuatavyo (kwa wageni wasiofahamu/hawajapitia previous threads:

1:CREDIT CARD (KADI YA BENKI) INAYOFANYA ONLINE PURCHASES;
Hii inapatikana almost bank zote hapa Tanzania (kasoro NMB sina uhakika), ni kadi yeyote ya visa au mastercard unachotakiwa ni kwenda kwenye tawi la benki yako na kuomba fomu ya kuruhusu kadi yako ifanye malipo ya mtandaoni(online purchases) na mara nyingi huchukua maximum 24hours kuactivate.

2:KUJIUNGA NA PAYPAL
Hiii ni kampuni inayolinda malipo yako kwa kutomuonesha muuzaji details (nyaraka) za kadi yako kama number na css ambayo vitampa muuzaji access ya kuchukua pesa zako. Ila kwa paypal utalindwa na kurudishiwa pesa pale panapotokea shida au huduma mbaya.

3:KUJIUNGA NA FOWARDING COMPANY

Hii hatua ni ya wewe kwenda kwenye website (tovuti) za hizi fowarding company na kujiunga (sighnup) nazo/nayo ili zianze kukupatia huduma... nitaelezea chini zaidi kuhusu ipi ni ipi na huduma zao zikoje na faida na hasara za kila moja ili ujichagulie wewe mwenyewe binafsi

4:KUTAMBUA SOKO BORA LENYE HUDUMA NZURI(ONLINE MARKET)
Hapa tunazungumzia website za masoko kama ebay,amazon, bestbuy, apple.com, dell.com, toshiba.com nk.. masoko haya ndipo utakapo nunua bidhaa yako.

PROCESS NZIMA KUANZIA UNANUNUA MPAKA MZIGO UNAKUFIKIA IKOJE?
hii iko hivi.... 1:Ingia katika soko lako ulilolichagua au unalopendelea, hapa nasuggest kutumia sana amazon(ndilo ninaloliamini) amazon ukiingia utakuta bidhaa nyingi ila kuwa makini kuchukua zile bidhaa zilizo na alama ya prime chini...alama hiyo inamaanisha kuwa huo mzigo unauzwa, utapakiwa, na kutumwa na amazon wenyewe, so no utapeli hapo, yani u get what u wanted. 2:Nunua na kuagiza kitu kwenda kwenye address ya fowarding company ulioichagua, hivyo mzigo ulioununua utaenda moja kwa moja kwenye company yako, wao wakishaupata watakutumia e-mail uthibitishe au uchague courier wa kukutumia mzigo wako, hapo ndio utachagua either dhl,ups,fedex nk.wao watakutumia na kuchukua kiasi chao cha pesa ya huduma na kukutumia mzigo pamoja na kukupatia tracking number ya kujua mzigo wako ulipo na utaupokea vyema.

FOWARDING COMPANIES ZENYEWE:

1: MYUS.COM link- MyUS.com - #1 International Shipping, Mail and Package Forwarding Service - MyUS.comhii ni company niliyoitumia na nina expirience nayo ya mizigo miwili, hawa ni waaminifu wana charge pesa kidogo na huwa hawachukui muda kukutumia mzigo wako. yaani unafika leo hata ukitaka utumwe leo unatumwa, na utafika upesi sana bila ya zengwe lolote.
Ubaya wao: wanatumia sana DHL ambayo kwa mizigo mikubwa ni gharama sana kwa mtanzania wa kawaida, kiasi cha dola kumi kujiunga na huduma zao
Uzuri wao: watakutumia mzigo hata kama utakuwa hauna pesa kwenye account yako, watakujulisha ni duka lipi lina discount ya kutumia huduma zao, watakukumbusha kulipa deni lao, utapewa muda wa miezi miwili kulipa pesa yao,

2:COMGATEWAY
link-http://comgateway.com/ hawa pia ni fowarding company nzuri sana (thanks tu Mwl.RCT), nimepitia site yao na uona wana policy nzuri sana,cha kwanza ni sales tax-free U.S. online shopping yaani punguzo la kodi ya kufanya manunuzi marekani,hii inapelekea huduma zao kuwa nafuu zaidi,pia wana ushirika na shipping courie DHL na FEDEX hivyo kufanya huduma zao kuwa rahisi zaidi.pia wanakupa habari kuhusu discount za masoko mbalimbali kama myus..

3:BORDERLINX
link- Buy in the USA, ship to Belgium with Borderlinx hawa pia ni wazuri sana na hawana tofauti sana na stackry ... wanawiana ingawa ni competitors wakubwa hivyo inakupa urahisi wa kuwatumia..hawa pia hawana registration fee na wanakupa option tofauti tofauti za kutumiwa mzigo wako.

4:SHIPITO
link-USA Address & Mail Forwarding – Shipito.com | English hii pia ni kampuni kongwe ya fowarding na wao gharama zao ni nafuu sana ingawa wanapokea malalamiko mengi sana kutoka kwa wateja wao ukiangalia kwenye forums nyingi.ila kiujumla ni wazuri kwasababu malalamiko ni madogo kulinganisha na ufanisi na pia wanajua na ni wazoefu sana na kazi yao

5:STACKRY
link- Stackry - US shopping, global shipping hii nayo haina tofauti na myus isipokuwa hawa wao hawana kiasi cha kulipia kujiunga nao na wao pia wanakupa option nyingi za kutumia mizigo yako na mabo yao pia ni mazuri kulinganisha na comment wanazopokea kutoka kwa wateja wao. waungwana ni hayo tu niliyo nayo, kazi kwenu ni kufanya utafiti na pia kuangalia na kuchunguza mabo kabla ya kuchukua uamuzi. STACKRY na BORDERLINX walikuwa recommended sana na wanasifiwa mno angalia hii link -http://tech-vise.com/10-parcel-forwarding-services-for-international-shoppers/ pitia hizo websites na ujionee mwenyewe chagua moja na utazame kama wanakufaa.

HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI WAKUU please evaluate kindly.

nilikuwa nataka kuonyesha steps ila naona thread haitoshi . maana nimeagiza mzigo na nimechukua hatua zote ili mpate kuona ila ithink there r limits.. help Mwl.RCT


Asante mkuu kwa hii shule kweli umenifungua sana big up..
 
Wanaohitaji kununua bidhaa ni wengi lakini kikwazo ni procedures zinazohitaji kuwa na bank account, hakuna uwezekano wa kufanya malipo kwa kutumia huduma za mitandao ya simu kama vile tigo pesa, m-pesa nk?
 
Wanaohitaji kununua bidhaa ni wengi lakini kikwazo ni procedures zinazohitaji kuwa na bank account, hakuna uwezekano wa kufanya malipo kwa kutumia huduma za mitandao ya simu kama vile tigo pesa, m-pesa nk?

Sasa mkuu tgo pesa itakupeleka wapi wakati supermarket za bongo tu haitumii.... Request mastercard or visa from your bank
 
Kwanza nashukuru kwa elimu hii. je ununuzi wa njia hii una faida zipi? je unafuu katika bei ukoje ukilinganisha na soko la ndani? kwa mfano bidhaa ya shilingi laki 5 kwa hapa tanzania, naweza kuipata kwa kiasi gani kwa njia hii ya uagizaji baada ya gharama zote?
 
Imekuwa ni shida sana kwa watanzania wengi kununua bidhaaa katika masoko haya ya mtandaoni kwani mengi huwa hayakupi fursa ya kutumiwa mzigo wako moja kwa moja Tanzania. baadhi ya thread zilianzishwa na zimeelezea mengi sana kuhusiana na manunuzi haya ya mtandaoni, ila tulipata ufumbuzi mdogo. Nimejaribu kupitia pitia forums nyingi nichanganue namna mbadala ya kupata mizigo bila ya kutumia gharama nyingi. hii ni kwa kutumia FOWARDING COMPANIES ambazo kazi yake ni 1: Kukupatia anuani ya Marekani (au popote iliopo ila nashauri marekani au uingereza UK) au US Shipping Address 2:Kupokea mzigo kwenye soko ulilotumia (eidha amazon,ebay au lolote lile lisilo ship Tanzania) 3:Kukutumia mzigo wewe hapo ulipo kwa wakala kama DHL,FEDEX,UPS,USPS NK baada ya kujua kazi ya fowarding company unahitaji kuwa na vigezo vifuatavyo (kwa wageni wasiofahamu/hawajapitia previous threads:

1:CREDIT CARD (KADI YA BENKI) INAYOFANYA ONLINE PURCHASES;
Hii inapatikana almost bank zote hapa Tanzania (kasoro NMB sina uhakika), ni kadi yeyote ya visa au mastercard unachotakiwa ni kwenda kwenye tawi la benki yako na kuomba fomu ya kuruhusu kadi yako ifanye malipo ya mtandaoni(online purchases) na mara nyingi huchukua maximum 24hours kuactivate.

2:KUJIUNGA NA PAYPAL
Hiii ni kampuni inayolinda malipo yako kwa kutomuonesha muuzaji details (nyaraka) za kadi yako kama number na css ambayo vitampa muuzaji access ya kuchukua pesa zako. Ila kwa paypal utalindwa na kurudishiwa pesa pale panapotokea shida au huduma mbaya.

3:KUJIUNGA NA FOWARDING COMPANY

Hii hatua ni ya wewe kwenda kwenye website (tovuti) za hizi fowarding company na kujiunga (sighnup) nazo/nayo ili zianze kukupatia huduma... nitaelezea chini zaidi kuhusu ipi ni ipi na huduma zao zikoje na faida na hasara za kila moja ili ujichagulie wewe mwenyewe binafsi

4:KUTAMBUA SOKO BORA LENYE HUDUMA NZURI(ONLINE MARKET)
Hapa tunazungumzia website za masoko kama ebay,amazon, bestbuy, apple.com, dell.com, toshiba.com nk.. masoko haya ndipo utakapo nunua bidhaa yako.

PROCESS NZIMA KUANZIA UNANUNUA MPAKA MZIGO UNAKUFIKIA IKOJE?
hii iko hivi.... 1:Ingia katika soko lako ulilolichagua au unalopendelea, hapa nasuggest kutumia sana amazon(ndilo ninaloliamini) amazon ukiingia utakuta bidhaa nyingi ila kuwa makini kuchukua zile bidhaa zilizo na alama ya prime chini...alama hiyo inamaanisha kuwa huo mzigo unauzwa, utapakiwa, na kutumwa na amazon wenyewe, so no utapeli hapo, yani u get what u wanted. 2:Nunua na kuagiza kitu kwenda kwenye address ya fowarding company ulioichagua, hivyo mzigo ulioununua utaenda moja kwa moja kwenye company yako, wao wakishaupata watakutumia e-mail uthibitishe au uchague courier wa kukutumia mzigo wako, hapo ndio utachagua either dhl,ups,fedex nk.wao watakutumia na kuchukua kiasi chao cha pesa ya huduma na kukutumia mzigo pamoja na kukupatia tracking number ya kujua mzigo wako ulipo na utaupokea vyema.

FOWARDING COMPANIES ZENYEWE:

1: MYUS.COM link- MyUS.com - #1 International Shipping, Mail and Package Forwarding Service - MyUS.comhii ni company niliyoitumia na nina expirience nayo ya mizigo miwili, hawa ni waaminifu wana charge pesa kidogo na huwa hawachukui muda kukutumia mzigo wako. yaani unafika leo hata ukitaka utumwe leo unatumwa, na utafika upesi sana bila ya zengwe lolote.
Ubaya wao: wanatumia sana DHL ambayo kwa mizigo mikubwa ni gharama sana kwa mtanzania wa kawaida, kiasi cha dola kumi kujiunga na huduma zao
Uzuri wao: watakutumia mzigo hata kama utakuwa hauna pesa kwenye account yako, watakujulisha ni duka lipi lina discount ya kutumia huduma zao, watakukumbusha kulipa deni lao, utapewa muda wa miezi miwili kulipa pesa yao,

2:COMGATEWAY
link-http://comgateway.com/ hawa pia ni fowarding company nzuri sana (thanks tu Mwl.RCT), nimepitia site yao na uona wana policy nzuri sana,cha kwanza ni sales tax-free U.S. online shopping yaani punguzo la kodi ya kufanya manunuzi marekani,hii inapelekea huduma zao kuwa nafuu zaidi,pia wana ushirika na shipping courie DHL na FEDEX hivyo kufanya huduma zao kuwa rahisi zaidi.pia wanakupa habari kuhusu discount za masoko mbalimbali kama myus..

3:BORDERLINX
link- Buy in the USA, ship to Belgium with Borderlinx hawa pia ni wazuri sana na hawana tofauti sana na stackry ... wanawiana ingawa ni competitors wakubwa hivyo inakupa urahisi wa kuwatumia..hawa pia hawana registration fee na wanakupa option tofauti tofauti za kutumiwa mzigo wako.

4:SHIPITO
link-USA Address & Mail Forwarding – Shipito.com | English hii pia ni kampuni kongwe ya fowarding na wao gharama zao ni nafuu sana ingawa wanapokea malalamiko mengi sana kutoka kwa wateja wao ukiangalia kwenye forums nyingi.ila kiujumla ni wazuri kwasababu malalamiko ni madogo kulinganisha na ufanisi na pia wanajua na ni wazoefu sana na kazi yao

5:STACKRY
link- Stackry - US shopping, global shipping hii nayo haina tofauti na myus isipokuwa hawa wao hawana kiasi cha kulipia kujiunga nao na wao pia wanakupa option nyingi za kutumia mizigo yako na mabo yao pia ni mazuri kulinganisha na comment wanazopokea kutoka kwa wateja wao. waungwana ni hayo tu niliyo nayo, kazi kwenu ni kufanya utafiti na pia kuangalia na kuchunguza mabo kabla ya kuchukua uamuzi. STACKRY na BORDERLINX walikuwa recommended sana na wanasifiwa mno angalia hii link -http://tech-vise.com/10-parcel-forwarding-services-for-international-shoppers/ pitia hizo websites na ujionee mwenyewe chagua moja na utazame kama wanakufaa.

HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI WAKUU please evaluate kindly.

nilikuwa nataka kuonyesha steps ila naona thread haitoshi . maana nimeagiza mzigo na nimechukua hatua zote ili mpate kuona ila ithink there r limits.. help Mwl.RCT

Hivi gadgets kama iPhone ikifika hapa through courier kama fedex nalipa ushuru?
 
  • Katika list ya forwarding company ongeza hii " ComGateway"
  • Iko safi zaidi - ukilinganisha na myusu.com
  • Tena wana application yao ya android inayokuwezesha kufanya ulinganifu wa bei toka masoko tofauti tofauti.
  • Iko salama zaidi, hakuna charges zilizojificha, Kujiunga ni free JZHOELO
comgateway.png

Mkuu me nakuaminia sana katika suala zima la tech... Ningependa kujua umejiunga na prime ya amazon na je faida zake ni zipi?
 
Last edited by a moderator:
Ningependa kujua umejiunga na prime
  • Hapana sijajiunga
je faida zake ni zipi
  • Zipo faida nyingi mfano kupata baadhi ya huduma bure ambazo ungetakiwa kulipia, Pia mzigo wako utaupata ndani ya saa 24- 48 baada ya kuweka order na kulipia kwa baadhi ya miji USA na Canada.
Code:
 http://www.amazon.com/gp/help/customer/display.html/188-5681499-0162522?ie=UTF8&nodeId=13819211
  • Kumbuka kuna free Trial ya Amazon prime
    Code:
     http://www.amazon.com/gp/help/customer/display.html?nodeId=200444170
Mkuu me nakuaminia sana katika suala zima la tech... Ningependa kujua umejiunga na prime ya amazon na je faida zake ni zipi?
 
Ningependa kujua umejiunga na prime
  • Hapana sijajiunga
je faida zake ni zipi
  • Zipo faida nyingi mfano kupata baadhi ya huduma bure ambazo ungetakiwa kulipia, Pia mzigo wako utaupata ndani ya saa 24- 48 baada ya kuweka order na kulipia kwa baadhi ya miji USA na Canada.
Code:
 http://www.amazon.com/gp/help/customer/display.html/188-5681499-0162522?ie=UTF8&nodeId=13819211
  • Kumbuka kuna free Trial ya Amazon prime
    Code:
     http://www.amazon.com/gp/help/customer/display.html?nodeId=200444170

Asante sana kwa taarifa mkuu
 
Sasa mkuu tgo pesa itakupeleka wapi wakati supermarket za bongo tu haitumii.... Request mastercard or visa from your bank
Na baada ya kupata hiyo kadi,

Ndipo ataweza kufanya Top Up katika kadi yake kwa kutumia Hizi huduma zaTigo pesa, mpesa

Ila kulipa moja kwa moja hilo haliwezekani KIJANA2013
 
Last edited by a moderator:
Kwanza nashukuru kwa elimu hii. je ununuzi wa njia hii una faida zipi? je unafuu katika bei ukoje ukilinganisha na soko la ndani? kwa mfano bidhaa ya shilingi laki 5 kwa hapa tanzania, naweza kuipata kwa kiasi gani kwa njia hii ya uagizaji baada ya gharama zote?
Je ununuzi wa njia hii una faida zipi ?
  • Kuna baadhi ya bidhaa hazipatikani kabisa hapa nchini hivyo unalazimika kuagiza nje ya nchi.
  • Bei nafuu - Waweza nunua bidhaa kwa bei ndogo usiyo tarajia mfano TONER A85 moja kwa tz ni tsh 110'000 ; wakati kwa ebay/amazon unauziwa usd 35, sawa na TSH takriba 70'000, zikiwa nne (4) na si moja, Na ghalama ya kusafirishia ni chini ua 120'000. Hivyo hapo utakuwa umeokoa kiasi kikubwa cha fedha
  • Hivyo ni faida kuagiza kuliko kununua hapa nchini kwa baadhi ya bidhaa.
Ila kuna bidhaa zingine bora ununue hapa nchini kuliko kununua nje ya nchi.
 
Hivi gadgets kama iPhone ikifika hapa through courier kama fedex nalipa ushuru?
Kwa fedex kuna uwezekano waweza chukua bidhaa yako bila kulipia chochote

Shida ipo iwapo utasafirisha kupitia DHL, unalipia hata vitu visivyotakiwa kulipia.

Pia ilikuepuka maswala ya ushuru kwa vitu vidogo vidogo tumia huduma kama EMS, USPS,
 
NDIO

Hiyo ndio shipping address yako.

Pindi mzigonukipokelewa utajulishwankwa email

Na pia uki login kwenye account yako ya #comgateway utakuta notification ya kukutaka ufanye malipo ili mzigo utumwe.

Mkuu kutoka kwenye screenshot naomba unipe mfano wa kujaza hapo esp. Postcode, addressline 1&2
1428475513248.jpg
 
JZHOELO,Mwl.RCT naombeni ufafanuzi pia juu ya malipo ya fees flan online.ipo hivi: ninataka kulipia fee ya kufanya mitihani ya TOEFL na wao wametoa maelezo kuwa naweza lipia online ingawa pia kuna mawakala wao hapa hapa bongo (nimepiga hesabu nimeona kwa mawakala wao hasa UCC, hamilton college etc ni km gharama ipo juu nami nataka nisave cost japo inapowezekana, nina acc exim bank hivyo nina master card.

Swali ni je ninawezaje kufanikisha mchakato huo? maelezo ya ziada na ushauri juu ya hili utasaidia sana.
 
Last edited by a moderator:
JZHOELO,Mwl.RCT naombeni ufafanuzi pia juu ya malipo ya fees flan online.ipo hivi: ninataka kulipia fee ya kufanya mitihani ya TOEFL na wao wametoa maelezo kuwa naweza lipia online ingawa pia kuna mawakala wao hapa hapa bongo(nimepiga hesabu nimeona kwa mawakala wao hasa UCC,hamilton college etc ni km gharama ipo juu nami nataka nisave cost japo inapowezekana.nina acc exim bank hivyo nina master card,swali ni je ninawezaje kufanikisha mchakato huo?.maelezo ya ziada na ushauri juu ya hili utasaidia sana.
Je kadi yako imefunguliwa kuweza kutumika kufanya malipo online?

Kama jibu ni ndio: Fuata hizi hatua

  • Login in kwenye site husika unayotaka kufanya malipo
  • Chagua njia ya malipo kati ya zilizo orodheshwa - Kama una account ya Paypal na Kadi yako ume_link kwa paypal, Basi paypal ndio chaguo sahihi, Ukichagua paypal utalazimika ku_login kwanza, Kisha chagua lipa kwa paypal.
  • Kama hauna account ya Paypal, Chagua kulipa kwa Master/Visa Card.- Ingiza taarifa zote zinazotakiwa, Kisha ruhusu malipo yafanyike.
  • Hakikisha taarifa zako za kibenki unaingiza kwenye site ambayo ni https , utaangalia kwenye address bar kushoto.
Kama utahitaji msaada zaidi waweza kuuliza kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom