Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Mkuu Bulldog nashukuru sana,kwa mfano ebay nataka kununua ki2 je,njia ya ku-ship mzigo je,seler ndio anaangalia njia gani ya kuship au mimi buyer ndio namwambia njia ya kutuma mzigo?...nitoe ushamba mkuu Bulldog

MARA NYINGI PALE KWENYE SHIPPING UTAONA SELLER ANA SPECIFY ATATUMIA NJIA GANI KUSHIP HUO MZIGO. kUNA WENGINE WANATOZA HELA KUBWA HALAFU WANATUMIA HIZI COURIER KUBWA. UKIONA FREE SHIPPING UJUE NI POSTA HIYO.
 
MARA NYINGI PALE KWENYE SHIPPING UTAONA SELLER ANA SPECIFY ATATUMIA NJIA GANI KUSHIP HUO MZIGO. kUNA WENGINE WANATOZA HELA KUBWA HALAFU WANATUMIA HIZI COURIER KUBWA. UKIONA FREE SHIPPING UJUE NI POSTA HIYO.

Ok.kwa hiyo akiweka shiping cost it means ni option ya kumpa njia nayo taka mimi atumie
 
HUU UZI UMENISAIDIA SANA, KWANI NILIKUWA NATAKA KUNUNUA TV eBAY, HAPA IMENIPA MWANGA SANA, HATA HIVYO UKIINGIA ALIBABA ANGALIA HIYO BIDHAA KAMA IPO KWENYE ESCROW AU PAYPAL LKN UKIONA WESTERNUNION HAPO UWE MAKINI KULIPIA
 
Wewe ndo unawasiliana nao.

Asante Bulldog,sasa nimejaza form ya kuruhusu akaunt yangu ya crdb online purchase(internet)lakini kwa eneo nililopo ktk bank wahudumu wageni/hawajawi kufanya huduma hii ilibidi waombe form kutoka tawi jingine kwa fax kisha nikaje .....baada ya kujaza waliniambia baada siku 2 ntaunganishwa naombs kujua hivi baada ya kijaza form ni kitu gani natakiwa kupata ili nijaze kwenye akaunti yangu ya ebay?..
 
PayPal ni secure payment, ambayo humlinda buyer and seler.

Kwa mfano umenunua bidhaa eBay or Any website, mzigo wako Kama hujapata unaweza ku claim kwa paypal kupata refund yako bila ya usumbufu.
Kama umenunua bidhaa ambayo iko tofauti na description unaweza ku claim refund kutoka kwa seller akikataa unafungua case kwa paypal ili urudushiwe pesa yako.

Asante ,sasa nimejaza form ya kuruhusu akaunt yangu ya crdb online purchase(internet)lakini kwa eneo nililopo ktk bank wahudumu wageni/hawajawi kufanya huduma hii ilibidi waombe form kutoka tawi jingine kwa fax kisha nikaje .....baada ya kujaza waliniambia baada siku 2 ntaunganishwa naombs kujua hivi baada ya kijaza form ni kitu gani natakiwa kupata ili nijaze kwenye akaunti yangu ya ebay?..
 
Asante ,sasa nimejaza form ya kuruhusu akaunt yangu ya crdb online purchase(internet)lakini kwa eneo nililopo ktk bank wahudumu wageni/hawajawi kufanya huduma hii ilibidi waombe form kutoka tawi jingine kwa fax kisha nikaje .....baada ya kujaza waliniambia baada siku 2 ntaunganishwa naombs kujua hivi baada ya kijaza form ni kitu gani natakiwa kupata ili nijaze kwenye akaunti yangu ya ebay?..

Sijakufahamu vizuri.

Ispokuwa kama unataka paypal. Ni simple sana kama Upo na visa card or credit card
Ingia website ya Paypall, register, katika hio paypal ipo sehemu maalumu ya kuweka account yako.

Or other way register paypal, unaweza kufanya transfer moja kwa moja na kuingiza pesa yako ndani ya paypal as account. Sijui kama nitaeleweka, yaani sio lazima uingize au register visa card yako.

Mimi mwenyewe nime register card yangu ya bank katika paypal, nina po fanya payment, paypal wanachukua automatically katika account yangu.
 
Sijakufahamu vizuri.

Ispokuwa kama unataka paypal. Ni simple sana kama Upo na visa card or credit card
Ingia website ya Paypall, register, katika hio paypal ipo sehemu maalumu ya kuweka account yako.

Or other way register paypal, unaweza kufanya transfer moja kwa moja na kuingiza pesa yako ndani ya paypal as account. Sijui kama nitaeleweka, yaani sio lazima uingize au register visa card yako.

Mimi mwenyewe nime register card yangu ya bank katika paypal, nina po fanya payment, paypal wanachukua automatically katika account yangu.

Asante miunda....mimi tayari crdb wameniunganisha na on line parchasing sasa shida yangu ni namna ya kununua vitu ebay sehemu ya paypal sioni place ya kuweka akaunt ndio nikahoji au kuna taratibu nyingine inafata baada ya kadi ya kuruhusiwa kununua bidhaa mtandaoni?...ni ilo tu
 
Asante miunda....mimi tayari crdb wameniunganisha na on line parchasing sasa shida yangu ni namna ya kununua vitu ebay sehemu ya paypal sioni place ya kuweka akaunt ndio nikahoji au kuna taratibu nyingine inafata baada ya kadi ya kuruhusiwa kununua bidhaa mtandaoni?...ni ilo tu

Sikiza kijana Nikwambie, unachotakiwa ili uweze kulipa kwa PayPal kwanza kwa kutumia hiyo ac yako ya crdb ambayo imewezeshwa kununua online uisajili PayPal ingia kwenye website ya PayPal kisha ufanye reg ya account yako
Ukishafanya ukamaliza PayPal wakukata usd 1.95 kama kielelezo kwamba credit card yako inafanya kazi kisha huo muamala Uta generate code ya digit 4 ambozo watu wa kadi benk husika ukiwaomba baada ya siku 2 watakupa piga customer care (sijui lakini crdb nbc ndivyo wanafanya). Hatua ya mwisho ukishapata hiyo code kwenye website ya PayPal ukiwa ume login kwenye account yako gonga mahali palipoandikwa verify account kisha ingiza digit 4ulizo pewa and your good to gooooo!
 
Sikiza kijana Nikwambie, unachotakiwa ili uweze kulipa kwa PayPal kwanza kwa kutumia hiyo ac yako ya crdb ambayo imewezeshwa kununua online uisajili PayPal ingia kwenye website ya PayPal kisha ufanye reg ya account yako
Ukishafanya ukamaliza PayPal wakukata usd 1.95 kama kielelezo kwamba credit card yako inafanya kazi kisha huo muamala Uta generate code ya digit 4 ambozo watu wa kadi benk husika ukiwaomba baada ya siku 2 watakupa piga customer care (sijui lakini crdb nbc ndivyo wanafanya). Hatua ya mwisho ukishapata hiyo code kwenye website ya PayPal ukiwa ume login kwenye account yako gonga mahali palipoandikwa verify account kisha ingiza digit 4ulizo pewa and your good to gooooo!

Ni simple kabisa baada ya ku fungua account ya paypal, aende sehemu inaitwa walet - itampeleka katika page ya ku add account.
Click add
Atahitajika kuandika long number ya card yake.
Csc number- security number ipo katika card yake back.
Expires date Imo katika card
Na address or sanduku ya post ulio register bank kama address yako ya account.
 

Attachments

  • 1417714953850.jpg
    1417714953850.jpg
    56.7 KB · Views: 334
  • 1417714975815.jpg
    1417714975815.jpg
    20.6 KB · Views: 329
  • 1417714993704.jpg
    1417714993704.jpg
    8.7 KB · Views: 321
  • 1417715039610.jpg
    1417715039610.jpg
    28.9 KB · Views: 312
Sikiza kijana Nikwambie, unachotakiwa ili uweze kulipa kwa PayPal kwanza kwa kutumia hiyo ac yako ya crdb ambayo imewezeshwa kununua online uisajili PayPal ingia kwenye website ya PayPal kisha ufanye reg ya account yako
Ukishafanya ukamaliza PayPal wakukata usd 1.95 kama kielelezo kwamba credit card yako inafanya kazi kisha huo muamala Uta generate code ya digit 4 ambozo watu wa kadi benk husika ukiwaomba baada ya siku 2 watakupa piga customer care (sijui lakini crdb nbc ndivyo wanafanya). Hatua ya mwisho ukishapata hiyo code kwenye website ya PayPal ukiwa ume login kwenye account yako gonga mahali palipoandikwa verify account kisha ingiza digit 4ulizo pewa and your good to gooooo!

Asante sana mdau ..umenifumbua sasa.be blessed
 
Asante Bulldog,sasa nimejaza form ya kuruhusu akaunt yangu ya crdb online purchase(internet)lakini kwa eneo nililopo ktk bank wahudumu wageni/hawajawi kufanya huduma hii ilibidi waombe form kutoka tawi jingine kwa fax kisha nikaje .....baada ya kujaza waliniambia baada siku 2 ntaunganishwa naombs kujua hivi baada ya kijaza form ni kitu gani natakiwa kupata ili nijaze kwenye akaunti yangu ya ebay?..

Ukishajaza hyo form inachukua 24 hours hadi kuwa activated, unaenda paypal unajoin na kuweka details za kadi yako. hapo unakuwa umekamilisha kila kitu. Ukiingia ebay unajoin na kujaza ur address na ukinunua kitu paypal ndo wanahusika kukukata hela na kuwalipa hao ulionunua kwao. Ila ukiingia amazon wao wanakata direct kwenye card. ila ni trustworth.

Onyo; Kumbuka kutojiunga kwenye mitandao ya kienyeji na kuweka details za kadi yako, wanajikatia hovyo. so far wa kuwatrust ni amazon tu kuwapa details za kadi yako wengine wote tumia paypal as a medium of payment.
 
Ukishajaza hyo form inachukua 24 hours hadi kuwa activated, unaenda paypal unajoin na kuweka details za kadi yako. hapo unakuwa umekamilisha kila kitu. Ukiingia ebay unajoin na kujaza ur address na ukinunua kitu paypal ndo wanahusika kukukata hela na kuwalipa hao ulionunua kwao. Ila ukiingia amazon wao wanakata direct kwenye card. ila ni trustworth.

Onyo; Kumbuka kutojiunga kwenye mitandao ya kienyeji na kuweka details za kadi yako, wanajikatia hovyo. so far wa kuwatrust ni amazon tu kuwapa details za kadi yako wengine wote tumia paypal as a medium of payment.

Asante Bulldog....be blessed kwa elimu ulitupa hapa jakwaaani.
 
Imekuwa ni shida sana kwa watanzania wengi kununua bidhaaa katika masoko haya ya mtandaoni kwani mengi huwa hayakupi fursa ya kutumiwa mzigo wako moja kwa moja Tanzania. baadhi ya thread zilianzishwa na zimeelezea mengi sana kuhusiana na manunuzi haya ya mtandaoni, ila tulipata ufumbuzi mdogo. Nimejaribu kupitia pitia forums nyingi nichanganue namna mbadala ya kupata mizigo bila ya kutumia gharama nyingi. hii ni kwa kutumia FOWARDING COMPANIES ambazo kazi yake ni 1: Kukupatia anuani ya Marekani (au popote iliopo ila nashauri marekani au uingereza UK) au US Shipping Address 2:Kupokea mzigo kwenye soko ulilotumia (eidha amazon,ebay au lolote lile lisilo ship Tanzania) 3:Kukutumia mzigo wewe hapo ulipo kwa wakala kama DHL,FEDEX,UPS,USPS NK baada ya kujua kazi ya fowarding company unahitaji kuwa na vigezo vifuatavyo (kwa wageni wasiofahamu/hawajapitia previous threads:

1:CREDIT CARD (KADI YA BENKI) INAYOFANYA ONLINE PURCHASES;
Hii inapatikana almost bank zote hapa Tanzania (kasoro NMB sina uhakika), ni kadi yeyote ya visa au mastercard unachotakiwa ni kwenda kwenye tawi la benki yako na kuomba fomu ya kuruhusu kadi yako ifanye malipo ya mtandaoni(online purchases) na mara nyingi huchukua maximum 24hours kuactivate.

2:KUJIUNGA NA PAYPAL
Hiii ni kampuni inayolinda malipo yako kwa kutomuonesha muuzaji details (nyaraka) za kadi yako kama number na css ambayo vitampa muuzaji access ya kuchukua pesa zako. Ila kwa paypal utalindwa na kurudishiwa pesa pale panapotokea shida au huduma mbaya.

3:KUJIUNGA NA FOWARDING COMPANY

Hii hatua ni ya wewe kwenda kwenye website (tovuti) za hizi fowarding company na kujiunga (sighnup) nazo/nayo ili zianze kukupatia huduma... nitaelezea chini zaidi kuhusu ipi ni ipi na huduma zao zikoje na faida na hasara za kila moja ili ujichagulie wewe mwenyewe binafsi

4:KUTAMBUA SOKO BORA LENYE HUDUMA NZURI(ONLINE MARKET)
Hapa tunazungumzia website za masoko kama ebay,amazon, bestbuy, apple.com, dell.com, toshiba.com nk.. masoko haya ndipo utakapo nunua bidhaa yako.

PROCESS NZIMA KUANZIA UNANUNUA MPAKA MZIGO UNAKUFIKIA IKOJE?
hii iko hivi.... 1:Ingia katika soko lako ulilolichagua au unalopendelea, hapa nasuggest kutumia sana amazon(ndilo ninaloliamini) amazon ukiingia utakuta bidhaa nyingi ila kuwa makini kuchukua zile bidhaa zilizo na alama ya prime chini...alama hiyo inamaanisha kuwa huo mzigo unauzwa, utapakiwa, na kutumwa na amazon wenyewe, so no utapeli hapo, yani u get what u wanted. 2:Nunua na kuagiza kitu kwenda kwenye address ya fowarding company ulioichagua, hivyo mzigo ulioununua utaenda moja kwa moja kwenye company yako, wao wakishaupata watakutumia e-mail uthibitishe au uchague courier wa kukutumia mzigo wako, hapo ndio utachagua either dhl,ups,fedex nk.wao watakutumia na kuchukua kiasi chao cha pesa ya huduma na kukutumia mzigo pamoja na kukupatia tracking number ya kujua mzigo wako ulipo na utaupokea vyema.

FOWARDING COMPANIES ZENYEWE:

1: MYUS.COM link- MyUS.com - #1 International Shipping, Mail and Package Forwarding Service - MyUS.comhii ni company niliyoitumia na nina expirience nayo ya mizigo miwili, hawa ni waaminifu wana charge pesa kidogo na huwa hawachukui muda kukutumia mzigo wako. yaani unafika leo hata ukitaka utumwe leo unatumwa, na utafika upesi sana bila ya zengwe lolote.
Ubaya wao: wanatumia sana DHL ambayo kwa mizigo mikubwa ni gharama sana kwa mtanzania wa kawaida, kiasi cha dola kumi kujiunga na huduma zao
Uzuri wao: watakutumia mzigo hata kama utakuwa hauna pesa kwenye account yako, watakujulisha ni duka lipi lina discount ya kutumia huduma zao, watakukumbusha kulipa deni lao, utapewa muda wa miezi miwili kulipa pesa yao,

2:COMGATEWAY
link-http://comgateway.com/ hawa pia ni fowarding company nzuri sana (thanks tu Mwl.RCT), nimepitia site yao na uona wana policy nzuri sana,cha kwanza ni sales tax-free U.S. online shopping yaani punguzo la kodi ya kufanya manunuzi marekani,hii inapelekea huduma zao kuwa nafuu zaidi,pia wana ushirika na shipping courie DHL na FEDEX hivyo kufanya huduma zao kuwa rahisi zaidi.pia wanakupa habari kuhusu discount za masoko mbalimbali kama myus..

3:BORDERLINX
link- Buy in the USA, ship to Belgium with Borderlinx hawa pia ni wazuri sana na hawana tofauti sana na stackry ... wanawiana ingawa ni competitors wakubwa hivyo inakupa urahisi wa kuwatumia..hawa pia hawana registration fee na wanakupa option tofauti tofauti za kutumiwa mzigo wako.

4:SHIPITO
link-USA Address & Mail Forwarding – Shipito.com | English hii pia ni kampuni kongwe ya fowarding na wao gharama zao ni nafuu sana ingawa wanapokea malalamiko mengi sana kutoka kwa wateja wao ukiangalia kwenye forums nyingi.ila kiujumla ni wazuri kwasababu malalamiko ni madogo kulinganisha na ufanisi na pia wanajua na ni wazoefu sana na kazi yao

5:STACKRY
link- Stackry - US shopping, global shipping hii nayo haina tofauti na myus isipokuwa hawa wao hawana kiasi cha kulipia kujiunga nao na wao pia wanakupa option nyingi za kutumia mizigo yako na mabo yao pia ni mazuri kulinganisha na comment wanazopokea kutoka kwa wateja wao. waungwana ni hayo tu niliyo nayo, kazi kwenu ni kufanya utafiti na pia kuangalia na kuchunguza mabo kabla ya kuchukua uamuzi. STACKRY na BORDERLINX walikuwa recommended sana na wanasifiwa mno angalia hii link -http://tech-vise.com/10-parcel-forwarding-services-for-international-shoppers/ pitia hizo websites na ujionee mwenyewe chagua moja na utazame kama wanakufaa.

HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI WAKUU please evaluate kindly.

nilikuwa nataka kuonyesha steps ila naona thread haitoshi . maana nimeagiza mzigo na nimechukua hatua zote ili mpate kuona ila ithink there r limits.. help Mwl.RCT

Mkuu nimefanya manunuzi Amazon na kutumia shipping adress hiyo hapo chini, lakini katika kujaza nilisahau tarakimu pale 17146 mimi nikaishia 1714.
 

Attachments

  • 1418890672640.jpg
    1418890672640.jpg
    37.1 KB · Views: 318
Nikaletewa ujumbe kupitia email yangu kunikumbusha kile kilichokosea ambao ni huu;-
 

Attachments

  • 1418890938729.jpg
    1418890938729.jpg
    56.1 KB · Views: 302

Attachments

  • 1418891089171.jpg
    1418891089171.jpg
    82.6 KB · Views: 295
  • 1418891184028.jpg
    1418891184028.jpg
    55.5 KB · Views: 293
  • 1418891212358.jpg
    1418891212358.jpg
    34.4 KB · Views: 281
Ninachoomba namna ya ku-update hiyo anwani ya kampuni yangu ya usafirishaji

Maana kwa jinsi nilivyoelewa wale UPS wamesafirisha mzigo mpaka mji huo wa Portland shida wanatafuta mtaa wa 1714 ambao wameshindwa kuupata sasa wakaniomba nifanye masahihisho ya kukagua namba ya mtaa nikagundua nimesahau tarakimu moja pale mwisho ambayo ni 6
 
Back
Top Bottom