Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

unafanya kwa Credit Card...Aliexpress hamna PAYPAL ila wana ESCROW ambao wao wanashika pesa kama Brokers mpaka buyer a confirm mzigo umefika na uko na similar descriptions wakati ananunua....

then ukishaupata una confirm umepokea ndio wanamlipa PESA YAKE MUUZAJI

na unaweza kufungua KESI (dispute) ikiwa una mashaka na item yako uliyopokea LI EXPRESS wakishirikiana na ESCROW watakusaidia kupata aidha refund au new item from seller

naomba contacts zako nahitaji kufahamu zaidi kuhusu Aliexpress na mimi niagize mzigo
 
Kama title inavyosema, nataka kufanya manunuzi online (amazon) ya laptop..nataka kujuzwa mchakato mzima unaendaje mpka napata bidhaa hyo..vilevile ningependa kujua kama laptop inatozwa kodi.
 
Mimi nimewahi tumia MyUS. Kweli wana ship hata kabla hujalipa au hata kama account yako haina kitu. Shida yao kubwa ni gharama ya usafirishaji. Japo walinikopesha, lakini vifurushi nilivilipia kwa gharama kubwa.
 
Naomba kuuliza kama ni kiac gan cha mzigo ambao ni kias cha chini kuagiza,, eti hata labda simu tu naweza kuagiza kwa majaribio tu kupata japo experience??
 
Mimi nataka niagize simu kupitia site ya ally baba zile zinazouzwa kwa mtindo wa minada, je nikiweka credit card yangu haitakuwa risk??

pia namna ya kuupata mzigo ndo shida inaanzia hapo nimesoma ila sijaelewa, ntashukuru kama utanielekeza
 
Hivi, kuna umuhimu gani wa kuwa na akaunti ya Paypall? na je tofauti yao na benki ni nini?

je unaweza kufanya international transfer kupitia paypall ? au wana restrictions
 
  • Katika list ya forwarding company ongeza hii " ComGateway"
  • Iko safi zaidi - ukilinganisha na myusu.com
  • Tena wana application yao ya android inayokuwezesha kufanya ulinganifu wa bei toka masoko tofauti tofauti.
  • Iko salama zaidi, hakuna charges zilizojificha, Kujiunga ni free JZHOELO
comgateway.png

Thnxs mwl
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimewahi tumia MyUS. Kweli wana ship hata kabla hujalipa au hata kama account yako haina kitu. Shida yao kubwa ni gharama ya usafirishaji. Japo walinikopesha, lakini vifurushi nilivilipia kwa gharama kubwa.
Je vilipofika bongo ulilipia ushuru?
 
Hivi, kuna umuhimu gani wa kuwa na akaunti ya Paypall? na je tofauti yao na benki ni nini?

je unaweza kufanya international transfer kupitia paypall ? au wana restrictions

PayPal ni secure payment, ambayo humlinda buyer and seler.

Kwa mfano umenunua bidhaa eBay or Any website, mzigo wako Kama hujapata unaweza ku claim kwa paypal kupata refund yako bila ya usumbufu.
Kama umenunua bidhaa ambayo iko tofauti na description unaweza ku claim refund kutoka kwa seller akikataa unafungua case kwa paypal ili urudushiwe pesa yako.
 
wakuu nina mpango wa kuagiza iPhone 5......naombeni mnisaidie gharama zote mpk ifike mkononi....ningewishi niipate kwa njia ya posta
 
Kwa mfano tv au home theater...ukubwa huo...mf. smart tv nchi 32 nikitaka kuagiza

Tumia makampuni ya kusafirishia mizigo kama dhl, fedex etc. Hii itasaidia sana kwenye handling yake, kwasababu huo mzigo ni fragile sana ukitumia posta ni majanga
 
Tumia makampuni ya kusafirishia mizigo kama dhl, fedex etc. Hii itasaidia sana kwenye handling yake, kwasababu huo mzigo ni fragile sana ukitumia posta ni majanga

Mkuu Bulldog nashukuru sana,kwa mfano ebay nataka kununua ki2 je,njia ya ku-ship mzigo je,seler ndio anaangalia njia gani ya kuship au mimi buyer ndio namwambia njia ya kutuma mzigo?...nitoe ushamba mkuu Bulldog
 
Back
Top Bottom