Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Shukran Mwl.RCT ngoja niendelee kula nondo[emoji120]
 
Hapahapa mimi niswali kwako mzeee, mbona Amazon application wanatumia lugha ya kichina? Au mimi ndio nmekosea na je nmekosea wapi?
 
Nlishaagiza tablet kwenye e-bey na nguo ya mtoto kwenye alibaba.com, vyote nilivichukulia posta na sikuulizwa masuala ya ushuru wala bargaining yoyote.
Ingawa kunastory kwamba posta ni wapigaji ila sidhan kama kunaukweli
hi naomba nielekeze jinsi ya kununua vitu alibaba na e-bay
 
nimekuelewa
 
Hv mizigo mnayoongelea ni aina gani? Hata mizigo mizito km baiskeli, pikipiki, ream n.k?
 
Naomba wajuzi mnijuze faida ya kununua bidhaa mtandaoni kwa mm mjasiliamali ambaye nahitaji kuboresha biashara yangu ya umachinga yaani duka bila flem wala leseni ya biashara zaidi ya kitambulisho cha mh
 
bidhaa mtandaoni kwa mm mjasiliamali ambaye nahitaji kuboresha biashara yangu ya umachinga yaani duka bila flem wala leseni ya biashara zaidi ya kitambulisho
Hakuna faida, ni vyema ukawa na chimbo kariakoo ambako utakuwa unachukua mzigo wa kuzungusha.
 
natamani kuagiza vitu lkn sijui naanzia wp
 
NAUZA CARWASH MPYA YA KISASA
MAELEZO: UJENZI, MACHINE ZOTE, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k
JUMLA: TZS 8,000,000

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
CALL: 0717 26 33 77
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…