Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Habari Wakuu,Nilikuwa Naomba Maelezo Zaidi Juu Ya Ebay Online Shopping,Zaidi Kuhusu Delivery To Tanzania Inakuwaje
 
Baada ya kuwa umeshaagiza mzigo wako unapokea kwa njia ipi???na hawa ebay ofisi zao hapa dar au dodoma ziko wapi???
Mzigo unapokea kwa njia posta, unaenda kuufata posta na kama utahitaji kufanyiwa valuation na Customs TRA utajulishwa. Na kuna wengine wanatuma via DHL au Fedex au EMS au China Post and so on depends na muuzaji. Ila wengi ebay naona go for cheaper options ambazo ndio za postal address boxes(posta) kama una mabavu na unahitaji mzigo wako kwa uharaka unaeza tumia Amazon au ukaagiza kitu kupitia Easybuy Africa ofisi zao zipo Dar wao ni concierge service ila kama hutaki mfuko utoboke unaenda kusurvey ebay. Tho soko limekua saturated sana kupata vitu vya quality nzuri na kwa gharama nafuu imekua kazi. Sahivi Quality is expensive.
 
Na mzigo unapokuwa njiani naweza u-track
 
NAUZA BIASHARA YA CAR WASH:

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
NAMBA YA SIMU: 0717 26 33 77

MAELEZO:

MACHINE ZOTE, UJENZI, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k JUMLA: TZS 7,000,000
NIMEBAHATIKA KUPATA KAZI SERIKALINI NA KITUO CHANGU KIKO MKOANI, SO NIMEAMUA KUUZA HII BIASHARA.
 
Niliona kuna bidhaa kama memory card nyingine min order ni 10 je nafanyaje nafanyaje kwasababu walinambia wanamtaka ajenti wa AirCargo na mm sielewi naweza nikampata vp?

tumia unique aircargo china to tanzania 0758656656
 
Wajuzi wa Alibaba naomba mnijuze hapa Bei halali hapa ni ipi maana naona Kuna tsh 9956 , na Tsh 60285
 
Ulitozwa Ushuri bei Gan Na EMS na Mzigo ulikuwa una uzito gan
 
Naomba kujuzwa Hivi Hakuna Hayo makampuni ya Usafirishaji yaliyoko India,Kwa sisi Tunaotaka Kuagizia Mzigo Kutoka India kuja Tanzania
 
Kwa wazoefu wa kununua bidhaa kutoka Alibaba au Ebay nielekeze inakuaje na gharama zipoje mpka nipate mzigo wangu.

Nataka kununua flat screen alibaba nimeona bei zao ni rahisi sana, anaefahamu anieleweshe kidogo hapo.
 
Kwa wazoefu wa kununua bidhaa kutoka alibaba au ebay nielekeze inakuaje na gharama zipoje mpka nipate mzigo wangu.
Nataka kununua flat screen alibaba nimeona bei zao ni rahisi sana,anaefahamu anieleweshe kidogo hapo.
Alibaba wanauza vitu kwa jumla. Yani kama unataka pc 100 au 1000 hivi..

Angalia aliexpress ndio wanauza kwa bei rejareja
 
Pia naomba kujua ni carrier gani wa uhakika unaweza mtumia kama ukinunua kitu alliexpress unaweza upata mzigo wako bila longolongo yoyote
 
Kwa wazoefu wa kununua bidhaa kutoka alibaba au ebay nielekeze inakuaje na gharama zipoje mpka nipate mzigo wangu.
Nataka kununua flat screen alibaba nimeona bei zao ni rahisi sana,anaefahamu anieleweshe kidogo hapo.
Ila kua Makini Mkuu,
Mwengine mnachart kupitia Alibaba/Aliexpress anaanza kukuomba Contacts za Whatsapp au email. Ukijitusu tu ukampatia means mnahama kutoka Alibaba/AliExpress kuhamia maongezi binafsi ambako huko ndo unaenda kupigwa. Hao wa bei chee ndo wapigaji hao. Hukawii kukuta PS5 kwa US$100.00 tena unatamanishwa Buy 2 get 1 extra free
 
Nited.thanks
 
Kuna vifaa vya maabara havioatikani tz huwa natamani kuviagiza nje ila nashindwa
 
Habar zenu wapendwa, kama kichwa cha habar kinavyo jieleza naombeni msaada wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…