Jihadhari sana kabla hujamkopesha mtu, Kuna wengine kila anayemkopesha anakufa au anapata ugonjwa mbaya sana

Na hapo kazungumzia mtu baona ya mtu na sio taasisi baina ya mtu
 
Sana mkuu lakini si unajua maisha yetu waswahili.. Kuna watu bila mikopo, michezo, vicoba na kaushal damu hawatoboi
 
Ndio maana nchi masikini zina Laana
Kazi ya kukopa kopa hiyo
Ila cha ajabu hii ni opposite yaani wanaotukopa wala wanadunda tu
Na kuwaroga hamuwezi ili wasahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…