Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Nakazia Siri ya utajiri ni ubahiliUkiwa Maskini ukawa na Bajeti Kali unaitwa Bahili.
Ukiwa tajiri ukawa na Bajeti Kali unaitwa mchumi
Siri ya utajiri ni ubahili ni KWELI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia Siri ya utajiri ni ubahiliUkiwa Maskini ukawa na Bajeti Kali unaitwa Bahili.
Ukiwa tajiri ukawa na Bajeti Kali unaitwa mchumi
Siri ya utajiri ni ubahili ni KWELI
Mabank hayachezewi Kuna mdau aliwahi elezea darkness kuhusu banks,pesa ukiitoa hata kama utatumia simu ama mfumo mwingine bado ni wewe utakuwa umetoa hivyo kikombe ni chako sio vinginenvyoNa wakikopa kwenye mabenki je? Mabenki yanakufa? Vp ukimrushia kwa simu? Simu zinakufa?
Na hapo kazungumzia mtu baona ya mtu na sio taasisi baina ya mtuMwanzisha thread kakosea anapofungamanisha mikopo na uchawi au imani potofu. Ninachojua mimi ni kuwa kukopa na kukopesha kunatakiwa kusifanywe na watu binafsi bali taasisi zenye kazi hii. Hasa ngozi nyeusi, siyo waaminifu. Wengi tumeshapoteza fedha kwa sababu tu waliokopa walitugeuka.
Sipendi kujaribu jaribu mambo .Maisha ya majaribio siyataki. Katika kampeni zangu nilisema nitakupa sio kukukopesha 😊Naomba unikopeshe.. nione kitakachotokea regards na uzi Certified Hater 😀
Sana mkuu lakini si unajua maisha yetu waswahili.. Kuna watu bila mikopo, michezo, vicoba na kaushal damu hawatoboiMwanzisha thread kakosea anapofungamanisha mikopo na uchawi au imani potofu. Ninachojua mimi ni kuwa kukopa na kukopesha kunatakiwa kusifanywe na watu binafsi bali taasisi zenye kazi hii. Hasa ngozi nyeusi, siyo waaminifu. Wengi tumeshapoteza fedha kwa sababu tu waliokopa walitugeuka.
@kigwangala… nimetafuta hapa sijampata. Ayeijua ID yake, tumtag aje ajibuUsikute ndio maana Mo aligoma kumkopesha Kigwangala pikipiki....muhindi iko janja sana😁
Nilikuwa sina tabia ya Hawa wa mitandao acha tuwakope tu na haturudishi kwa makusudi. Wametuibia sana aisee.Kukopakopa ni laana. Unakopa salio, unakopa songesha, unakopa M Pawa, unakopa ASA, unakopakopa tu, mikopo ya mtandaoni unakopa na hulipi, unajitafutia ufukara kwa mikono yako mwenyewe
😀😀 practice makes perfect. Majaribio hayaepukiki jamani.. nakuja ghetto kukukopa 🤭🏃♀️Sipendi kujaribu jaribu mambo .Maisha ya majaribio siyataki. Katika kampeni zangu nilisema nitakupa sio kukukopesha 😊
Watatoa siri zako. Nasikia wanataka access ya gallery ya simu yakoNilikuwa sina tabia ya Hawa wa mitandao acha tuwakope tu na haturudishi kwa makusudi. Wametuibia sana aisee.
TeacherNikimpa mtu pesa huwa siamini kama zitarudi Kwa 100% Kwa sababu haaminiki maana anaweza jugeuka au anaweza kufa so nikimpa mtu pesa naamini lolote linaweza kutoka.
Mpira unadunda.
Monetary doctor Poor Brain
Huduma gani ambayo sadaka hazitoshi?SAdaka wanalipa wahudumu na kulipia gharama za uendeshaji wa kanisa mkuu.
Na muda mwingi hizo sadaka hazitoshi kuna watu hujitolea kuendesha huduma
Ngoja mgeni wangu anapika pilau aondoke zake nishamchoka🤣🤣.ukaribie Jirani yangu😀😀 practice makes perfect. Majaribio hayaepukiki jamani.. nakuja ghetto kukukopa 🤭🏃♀️
😂😂 kwishaaaNgoja mgeni wangu anapika pilau aondoke zake nishamchoka🤣🤣.ukaribie Jirani yangu