Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,456
Yani ukitoka Apo kilombero ukashuka mtaa unaitwa Eso nyumba za tope kibao ..huko matejoo na kwingineko ndo usiseme.Halafu nilimshangaa jiji kuwa na nyumba za tope na makazi holela yasiyokuwa na barabara za mtaani.
ni kweli hata ukienda manzese, tandale vingunguti nyumba ni zile zile za zamani na zimechoka ila bado halizuii uhalisia Arusha ni jiji la pili kwa maendeleo nyuma ya darYani ukitoka Apo kilombero ukashuka mtaa unaitwa Eso nyumba za tope kibao ..huko matejoo na kwingineko ndo usiseme.
Hata sehem za starehe bado Ni zilezile kawaida Sana miaka nenda Rudi...!
🤣🤣🤣 nae anavuta bangiNa uzuri hata Demu wangu ni wa huko.
hawajajipanga wala nini ishu mji ni mdogo changamoto wanazimudu kirahisi wachagga tusingeishia Arusha mfano mdogo tu nikupe ndani ya miaka 10 tu hii Arusha wamejenga km za lami zaidi ya 100 sasa hizo zingejengwa moshi si lami ingekua hadi vichochoroni? kwahio moshi tunaipenda ila bado ni padogo sana huwezi kulinganisha changamoto zake na za ArushaMoshi wamejipanga sana Vema
Sio kweli kabisa ndani ya miaka 10 tu Arusha jiji imejenga km za lami zaidi ya 100 kuna majengo yenye 10+ buildings zaidi ya 20 hamna mji unaweza tia pua kwa Arusha nje ya Dar boss next time ukifika Arusha utembee kidogoArusha unaweza kusafiri ukaa hata miaka kumi ukija kurudi unakuta kwa asilimia kubwa jiji liko vilevile hakuna kilichoboreshwa au kubadilika.
Kwamba ikitoka Dar inafata Arusha!??. Basi sawa mkuuni kweli hata ukienda manzese, tandale vingunguti nyumba ni zile zile za zamani na zimechoka ila bado halizuii uhalisia Arusha ni jiji la pili kwa maendeleo nyuma ya dar
View attachment 2019285
View attachment 2019286
Acha uongo nimekaa Arusha mda nyumba nyingi mbovu hata miundo mbinu ni duni tofauti na sifa za mtandaoni wenye nyumba nzuri Arusha ni wameru tu huko mjini nyumba duni tu.uyo ameuliza kwa chuki binafsi ndio nilikua na sema pamoja na changamoto tulizonazo Arusha bado kwenye nyanja zingine tupo bora sana mfano halmashauri ya Arusha jiji ndio inayoongoza kwa kuwa na makazi bora nchi nzima sasa uyo anayesema aliona nyumba ya udongo Arusha basi ujue huko alipotoka kuna utitiri wa hizo nyumba na ndio maana hapa watu wenye constructive arguments ni wachache mtoa mada kasema Arusha hamna vituo mtu anachangia eti Arusha aliona nyumba ya udongo seriously [emoji1787] ni kweli Arusha inachangamoto na kubwa ni taa za barabarani ambazo mwezi huu wa 12 wanaanza kufunga mpya manake sio kwamba zilikua hazipo zilikuwepo ila zilikua haziwaki na kuhusu stendi ya kilombero it's just a temporary thing japo kama halmashauri kuna uzembe stendi haiwezi kuachwa kuwa vile lakini hilo haliondoi uzuri wa mengi ambao Arusha inao na bado ndio halmashauri iliyoendelea zaidi nje ya dar. Naomba kuwasilisha
View attachment 2019268
View attachment 2019269
Ni kweli mji ambao hujachangamana na wageni huwa doro sana aisee, hafu na uhalifu uliokubuhu kiukweli Arusha inabidi ichangeYani ukitoka Apo kilombero ukashuka mtaa unaitwa Eso nyumba za tope kibao ..huko matejoo na kwingineko ndo usiseme.
Hata sehem za starehe bado Ni zilezile kawaida Sana miaka nenda Rudi...!
Barabara za lami nyingi zimejengwa kipindi cha hayati magufuli tena kwa vile ni moja ya sera zake la sivyo barabara nyingi zingebaki kuwa za vumbi Hapo sijazungumzia mradi wa east africa kwa kifupi ukitoa hiyo miaka mitano ya magufuli kurudi nyuma Arusha ilikuwa hamna kitu.sio kweli kabisa ndani ya miaka 10 tu Arusha jiji imejenga km za lami zaidi ya 100 kuna majengo yenye 10+ buildings zaidi ya 20 hamna mji unaweza tia pua kwa Arusha nje ya Dar boss next time ukifika Arusha utembee kidogo
Wameru na waarusha Ni wavivu Sana.Ni kweli mji ambao hujachangamana na wageni huwa doro sana aisee, hafu na uhalifu uliokubuhu kiukweli Arusha inabidi ichange
kabisa👏👏 lakini sasa ndio zimejengwa km 100 kwahio hoja yako kwamba kuna mabadiliko umejijibu vyema kabisa na awamu hii serikali imeweka mkazo sana kwenye sekta ya utalii hata leo samia yuko Arusha atazindua hoteli ya nyota 5 kwahio mengi yanakuja mazuri ndugu mdau bila kusahau EAC nao sasa wamepitisha Arusha kuwa makao makuu ya kudumu kwahio mzee the future is promisingBarabara za lami nyingi zimejengwa kipindi cha hayati magufuli tena kwa vile ni moja ya sera zake la sivyo barabara nyingi zingebaki kuwa za vumbi Hapo sijazungumzia mradi wa east africa kwa kifupi ukitoa hiyo miaka mitano ya magufuli kurudi nyuma Arusha ilikuwa hamna kitu.
Ukuaji wa jiji la Arusha hauridhishi kabisa hasa kwenye swala la miundombinu
kabisa👏👏 lakini sasa ndio zimejengwa km 100
wewe unaishi wapi nduguu😂😂Ni kweli mji ambao hujachangamana na wageni huwa doro sana aisee, hafu na uhalifu uliokubuhu kiukweli Arusha inabidi ichange
lakini ndio tumeenda kwenye mji wao sheikh au tungeendelea kuria mbege uku rombo shirimaa😂😂Wameru na waarusha Ni wavivu Sana.
Huo ni ukweli mji wao umetawaliwa na wachagga kila idara wasingehamia huko Hali ingekuwa mbaya, shida ni wanaume kupenda kulelewaWameru na waarusha Ni wavivu Sana.
Niko bongo daslamwewe unaishi wapi nduguu[emoji23][emoji23]
ulvoandika tu hii daslam unaonyesha unakaa vingunguti 🤣 tena we mwenyewe wakuja ndo maana unaweka dp picha za kudownloadNiko bongo daslam
Ma single maza wengi ArushaHuo ni ukweli mji wao umetawaliwa na wachagga kila idara wasingehamia huko Hali ingekuwa mbaya, shida ni wanaume kupenda kulelewa
tabia za miji yote mikubwa mkuu 😀 lazima utakua una ka personal story kako kuhusu Arusha..ila kama nna kumbukumbu nzuri wamama wa rombo walikua wanalalamika wazee wao hawawapi naniliu hadi ikabidi wakatafute wanaume kenya 🤣 hii nayo imekaaje shirimaaMa single maza wengi Arusha
Hahah hao wamama ilibid tuwalete Arusha mkuu waunge mkono juhudtabia za miji yote mikubwa mkuu [emoji3] lazima utakua una ka personal story kako kuhusu Arusha..ila kama nna kumbukumbu nzuri wamama wa rombo walikua wanalalamika wazee wao hawawapi naniliu hadi ikabidi wakatafute wanaume kenya [emoji1787] hii nayo imekaaje shirimaa
sio Arusha tu wachagga tupo popote penye rizki hata kariakoo wachagga ndio tumejaza 🤣Huo ni ukweli mji wao umetawaliwa na wachagga kila idara wasingehamia huko Hali ingekuwa mbaya, shida ni wanaume kupenda kulelewa