Nilikua nawaza hivi yani, hawa haters naona kwa namna moja au nyingine wanachangamsha uzi piaπ coz story zote nilizosoma humu sijawahi kuona watu wanakubaliana mwanzo mwisho.. challenge ni kitu cha kawaida sana kwenye maisha, BM X6 alitukanwa weee na bado hakumind akashusha ma episodesSure, thread ikikosa critisim haiwezi toboa ht, kwnz insider anatakiwa ajivunie maana wafuatiliaji wamekua Ni active na wengi,
Kaka kuweni na ustaharabu kama unahisi anadanganya ni kwanini uko hapa jifunze kutokukwaza wengine itakusaidia maishani mwakoBora tupumzike ww tatizo chai umezidisha Sana sukari!!!
Mjini umekuja huna krismas mbili unabishana na mimi wewe ni fool idiotHauna u smart wowote ....hiyo milion tano aliahidiwa tatu ndio akaongesewa 2 ikawa tano . Mzee watu wanahonga usifanye mchezo kama wakina harmonizer wanahonga range ....wakina musofe walihonga hadi nyumba
Punguza ushamba na ujuaji mkuu
Nainga mkonoINSIDER MAN tunaomba leo utuwekee episode japo moja tu.
Nipo sijapigwaNimegundua hawa mudi nao wanafuatilia hii simulizi kwa karibu sana...π€£
Tena akitokea mtu kazingua wanapiga bani chap...π
Oyoooo Uzi Uzi uziiiiiiiMdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.
Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.
Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.
Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.
Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.
Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.
Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;
1. Niandike Epsode zote then nizipost?
2. Ndani ya week niwe napost episode 3?
Option ipi kwenu itafaa?
BY INSIDER MAN
Oy mnafeli sasa na mawazo zenu ya kibinafc hayoKama vip insider afungue group atulipishe amalizie story
wadanganyika wanapenda chai ,,waende uko FB sio hapa jf .Mnaokuja pm kuniomba nilegeze msimamo wangu sitaki, nimeamua kwa hiari yangu kuwatetea walaji kwa hiyo sishauriki katika hilo, lengo ni kuiona jf yenye maudhui ya kweli na maana sio kunyweshana chai ya moto na joto hili.
tupo jf Kwa sabb tofautitofauti,,but wengine tupo straight hatupend uongo!! Tupo na aregi na kitu inaitwa uongo..Kaka kuweni na ustaharabu kama unahisi anadanganya ni kwanini uko hapa jifunze kutokukwaza wengine itakusaidia maishani mwako
Ikienda haraka hata hao Wanaopenda kuuliza uliza maswali yasiyo na maana wanakosa muda ..ila ikikaa muda mrefu kati ya episode Moja na nyingine ndipo watu huanza kuzozana na to question everything...kwangu naona speed ya ku post uliyokuwa nayo ni nzuri na hata uongeze kidogoMdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.
Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.
Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.
Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.
Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.
Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.
Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;
1. Niandike Epsode zote then nizipost?
2. Ndani ya week niwe napost episode 3?
Option ipi kwenu itafaa?
BY INSIDER MAN
Mkuu shusha vitu ila usikawie sana kutupa ukimnyandua iryn maana wanga watajipanga kuja kukuangasha tena ukatuacha na arosto ππππMdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.
Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.
Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.
Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.
Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.
Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.
Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;
1. Niandike Epsode zote then nizipost?
2. Ndani ya week niwe napost episode 3?
Option ipi kwenu itafaa?
BY INSIDER MAN
Sasa unafanya nini hapa alafu punguza kujikuta mjuaji ni vyema ukamuukiza maswali mtoa mada kuliko kujifanya unajua kuliko mtoa habari,tupo jf Kwa sabb tofautitofauti,,but wengine tupo straight hatupend uongo!! Tupo na aregi na kitu inaitwa uongo..
Bila kujalisha nani anadanganywa!!
Tusipangiane Maisha ....then peleka upumbavu wako uko kama unapendwa kudanganywa ni wewe sio Kila mtu..nishakuambia tupo jf Kwa sabb mbalimbal.. idiot kabisaSasa unafanya nini hapa alafu punguza kujikuta mjuaji ni vyema ukamuukiza maswali mtoa mada kuliko kujifanya unajua kuliko mtoa habari,
Kama unahisi wadanganywa pita mbali na uzi huu,