Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Sure, thread ikikosa critisim haiwezi toboa ht, kwnz insider anatakiwa ajivunie maana wafuatiliaji wamekua Ni active na wengi,
Nilikua nawaza hivi yani, hawa haters naona kwa namna moja au nyingine wanachangamsha uzi pia😂 coz story zote nilizosoma humu sijawahi kuona watu wanakubaliana mwanzo mwisho.. challenge ni kitu cha kawaida sana kwenye maisha, BM X6 alitukanwa weee na bado hakumind akashusha ma episodes
 
INSIDER MAN
wapuuzi wa5 wasifanye watu 10,000 wakose uhondo!

Asante kwa kuamua kuimalizia story, andika yote uitupie episodes zote.

Ukikwama bando twaweza changia.
 
Hauna u smart wowote ....hiyo milion tano aliahidiwa tatu ndio akaongesewa 2 ikawa tano . Mzee watu wanahonga usifanye mchezo kama wakina harmonizer wanahonga range ....wakina musofe walihonga hadi nyumba


Punguza ushamba na ujuaji mkuu
Mjini umekuja huna krismas mbili unabishana na mimi wewe ni fool idiot
 
Episode 5 kwa wiki mkuu itakua dose nzuri tunajifunza mengi wahuni wapotezee
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Oyoooo Uzi Uzi uziiiiiii
 
Uzi kukatika haiumi sana, kinacho uma zaidi ni ile chupi ya rangi ya pink iliyoonekana kule hotelini.... Insider hajanyandua
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Ikienda haraka hata hao Wanaopenda kuuliza uliza maswali yasiyo na maana wanakosa muda ..ila ikikaa muda mrefu kati ya episode Moja na nyingine ndipo watu huanza kuzozana na to question everything...kwangu naona speed ya ku post uliyokuwa nayo ni nzuri na hata uongeze kidogo
Ila nadhani usijali kusoma comments za watu na kuzijibu Bali u concrete ktk kile ambacho umepanga kukifanya
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Mkuu shusha vitu ila usikawie sana kutupa ukimnyandua iryn maana wanga watajipanga kuja kukuangasha tena ukatuacha na arosto 😄😄😄😄
 
tupo jf Kwa sabb tofautitofauti,,but wengine tupo straight hatupend uongo!! Tupo na aregi na kitu inaitwa uongo..

Bila kujalisha nani anadanganywa!!
Sasa unafanya nini hapa alafu punguza kujikuta mjuaji ni vyema ukamuukiza maswali mtoa mada kuliko kujifanya unajua kuliko mtoa habari,
Kama unahisi wadanganywa pita mbali na uzi huu,
 
Sasa unafanya nini hapa alafu punguza kujikuta mjuaji ni vyema ukamuukiza maswali mtoa mada kuliko kujifanya unajua kuliko mtoa habari,
Kama unahisi wadanganywa pita mbali na uzi huu,
Tusipangiane Maisha ....then peleka upumbavu wako uko kama unapendwa kudanganywa ni wewe sio Kila mtu..nishakuambia tupo jf Kwa sabb mbalimbal.. idiot kabisa
 
Back
Top Bottom