Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

SEMA NINI MTOA STORY WE SHUSHA VITU KUNA MACHOKO HELA YA BANDO MPAKA WAMUIBIE SHEMEJI CHENCH NDO WAJE KUSUMBUA WE FANYA KAMA UNATEMANA NAO NAO. WAKIKUA WATAACHA
 
Wapuuzi wawili watatu hawawezi kukutoa kwenye reli.

Wewe weka bandiko acha watukane wewe usiku watalala.

Watu hata sura hawakujui unawahofia Nini

Dawa ya mjinga na mtu mpumbavu ni kumpuuza.
 
Tatizo chai imezidi apunguze uongo au aseme sio story ya kweli.
Wewe utakuwa na jambo la ziada unataka ndg
Mods tunaomba mtuondolee hawa watu, please kuepusha magomvi na matusi kwenye nyuzi za watu tuondoleni watu kama hawa wapo kukwaza wengine
 
Hii Dunia unavyoona sio Kila mtu ni mtu, Kuna majini, vibwengo, mashetani na binadu Hila Kwa macho ya nyama huwezi kuona. Utagundua Kwa matendo kama hayo ya kukatishana tamaa, roho za husda. Mkuu wewe wapotezee Shusha mzigo. Uzi wako ni Bora mno hivyo Wana wivu tu ndo maana una viewer wengi. Kama mtu hataki aache kufatilia. Ukiona mtu anafatilia na kuponda ujue you're the best than them. Wivu tu huo mkuu.
 
Mwambieni aharakishe hiyo episode mpya nataka kuitolea maoni leoleo kabla sijalala.
Wewe na wote mnaosema story hii ni chai, hebu orodhesheni matukio ambayo msimuliaji mnasema amedanganya. Halafu mtuambie ukweli ni upi ?
 
Umeandika ujinga.
We ndo mjinga ondoa hiyo Edina isomeke Mama Mjinga, mama zima linang'ang'ana na hadithi za abunuwas si ajabu huyo mtoto umetelekezewa unatafuta fantasy za kukufariji, ma post yako yenyewe ya kipuuzi tu unaonekana unawashwa, zama pm ukunwe
 
Nakusihi tena ndugu mwandishi utakaporudi na hizo episodes zako hakikisha unaandika vitu vya kweli usitufanye watu wajinga hapa, yaani tukae tusome story tukiamini tunajifunza kumbe wewe unatudanganya hilo halitakubalika.
Wewe jamaa utakuwa wasumbuliwa na msongo wa mawazo
 
Nakusihi tena ndugu mwandishi utakaporudi na hizo episodes zako hakikisha unaandika vitu vya kweli usitufanye watu wajinga hapa, yaani tukae tusome story tukiamini tunajifunza kumbe wewe unatudanganya hilo halitakubalika.
Oya dogo hasani killo tuliza matako hayo basi mbn una jihangaisha hivo. Una shida gani?
 
Mods Mods sasa hivi wamekuwa wa hovyo Sana kiasi kwamba wanaruhusu mashoga kuaribu stories zinazoletwa hum.
 
Asante sana mkuu kwa maamuzi yako, hakika umewahamasisha wengi sema kila mmoja kuja kukwambia jinsi mapambano yako yalivyomuhamasisha ni kazi.

Kwa upande wangu nnaona chaguo la pili ni zuri zaidi ila tuambie tujue katika siku zipi za juma ndio utaweka hizo episode.

Mwisho, usikubali kuvunjwa moyo na kundi dogo la watu. Hata kama hadithi ni ya uongo binafsi nnajali kuelimilimika na kuburudika.

Huwa sichangii maada yeyote humu ndani ila nimechangia leo maana hadithi ni nzuri na ina mafunzo mengi.

PLZ ENDELEA BRO.
 
mm naomba tuwasiliane kama kuna haja ya kulipia mm nipo tayari ndugu please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…