Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kabila gn wew mkuu, mbn vitu vya kawaida San hv na very enjoyable
 
Kuna watu hamko serious mjue, mnaomba picha ya Iryn DM tafadhali[emoji23][emoji23]
Broo watu wa humu ni mafalar sana asikuambie mtu ....usijaribu na usije ukarogwa mkuu .

Wamenifanyia ujinga na kunipeperushia ndege wangu ila ndio hivyo mimi kontawa hawajaharibia wamenisumbua tu [emoji16][emoji16] ndio kwanza naenda nakula threesome
 
Mzee hiyo hapo chini ni meseji imetumwa na mwanaume kwenda kwa mtu ....alafu mwisho wa siku kaanza kutongoza yeye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Fwd:Ingia mtandao unaitwa www.jamiiforums.com utaona kila kitu. Aliyekuanika anatumia username: miles45.
 
Ahahahahahaha...oya imekuaje tena mzee mpaka wakapata access nae?? πŸ˜‚πŸ˜‚.
Mi nishakueleza utalia mara 2 kesho..ona ushaanza kulialia leo hii πŸ˜†πŸ˜†
 
Ahahahahahaha...oya imekuaje tena mzee mpaka wakapata access nae?? [emoji23][emoji23].
Mi nishakueleza utalia mara 2 kesho..ona ushaanza kulialia leo hii [emoji38][emoji38]
I will handle this. Uzuri nimesha pata details zao.

But nina threesome kesho hiyo ya kwenda kupunguzia hasira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…