Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ubongo mpaka ufunguliwe na mtu.
 
UJUE WEWE NIMPUMBAVU SANA UNAHOJI UPUMBAVU USHAPEWA FACT BADO HUAMINI UNATAKA UINGIZIWE TANGO KWENYE KINYEO NDIO UAMINI? MAISHA YAKO YATABU UNADHANI NIWATU WOTE? ACHA KUHOJI UPUMBAVU WAKO, WE KAMA UNAMAISHA MAGUMU ACHA KUWEKA MASWALI KICHWANI HUNA PESA REALAX, MJINI MIPANGO, SASA IRYN HATA KAMA ALIBAGAIN UNATAKA KWA KUWA ANAPESA BASI AWE ANAMWAGA TUU PESA HOVYO SABABU ANAHELA, KINA MO WANABAIN IJEKUWA IRYN? MPUMBAVU KABISA WEWE. ACHA UJINGA. JIPINGE KIFUA CHUKUA KIDOLE CHAKO CHA KATI INGIZA NYUMA AFU UJINUSE UJUE HARUFU YAJO CHOKO WEWE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mbn unaongea pumba
Nyamazaa bana

Kama hela huna piga kimyaaa waache wenye hela waenjoy
Watu wanahelaa sasa
Million 3 wewe kwako mtaji mwezio hela ya kula siko moja sasa wapi na wapi

Use ur common sense
 
Huyo Iryn unasema alikuwa inamaana now sio mzuri or alisha R.I.P?
 
Sallam SK akiingia element anamaliza zaidi ya 20million kwa usiku mmoja, kuna jamaa alitrend sana pale Kidimbwi alitumia kama 54million kwa usiku mmoja, kuna watu wanahela hapa bongo ni vile hatuna connection nao tu.
Ha ha ha nimecheka kuhusu Sallam SK. Namjua vizuri hana hela hizo unazoongea ndugu yangu. Halafu kutumia milioni 54 Kidimbwi nayo ni kamba. Hivi unajua stock ya milioni 54 ni canter mbili za pombe. Hao watu wa kunywa hizo pombe za gharama say Moet za milioni 54 wana matumbo au mapipa.

Tuwe tunafikiria kidogo masela mavi

Ila usikonde INSIDER MAN, mie stori yako naipenda na kila nusu saa nachungulia kuona kama umepost kiroho safi.

Unatuburudisha mno iwe uhongo iwe kweli mie umenikamata mno
 
Umasikini mbaya sana tutafute pesa tu,mtu anashangaa mtu kuhonga necklace na bracelet ya mil 30 wakati kuna watu wanahonga gari ya mil 100.
Mfano kampuni ya heko pharmacy hawa ni importers wa madawa nchini wana mtoto wao ambaye ndio msimamizi wa hiyo kampuni anatumia mpaka mil 100 kwa siku kwa kucheza kamari tu,ndio ushangae mtu kuhonga mil 30?
Aisee hapa bongo kuna watu wana pesa aiseee.
 
Inseder kasema anasubiri humu patulie ndiyo aendelee na story kama vipi embu wanandugu tumpe muda bila kuchangia lolote mpaka hapo atakapo kuwa na utayari huo, maana aliahidi ni leo mapema sana na mpaka sasa ni saa 12:37pm bado hajaleta muendelezo,
Nafikiri tutulie ili aweze kuja na mwendelezo lakini tukiendelea kuchangia hapa anaweza asilete mwendelezo
 
😂😂😂Mkuu mods wasikuone
 
12:41
 
Bora umemrudisha INSIDER MAN mchezoni maana kuna wapuuzi wanataka kumtoa mchezoni na hawa wapuuzi wapo toka enzi za Analyse wakapita pia kwenye njia za UMUGHAKA tukajakukutana nao kw BM X6 na hawakuishia hpo wakatokea kw marehemu leadermoe r.i.p huku wala si wakuwashangaa hawa na wajinga hawataisha milele so tuishi nao huku tukiendelea kuwaelimisha km hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…