Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Wewe yanakuhusu nini?
 
Off course hata mm nimegundua hilo funika kombe mwanaharamu apite.


Vitu vingi sio uhalisia .

Yaani.mtu Ana mabiashara ya mabilion kutwa yupo kwenye Ka ist ka mshikaji.
Hili linafikirisha, millionaire bila gari zito??? Hata kama hawezi endesha/hapendi angeajiri dereva!!
Anyway shusha story tuendeleee ....😄😄
 
Jf imekua na majitu mengi ya hovyo sana, majitu vijana hayana Exposure, mashambashamba yametoka makwao huko umasikini umegandana na ngozi sasa yanadhani ulimwengu ni sawa na kule swekeni kwao. Hapa Tz kuna vijana wadogo wana pesa mingi, wanatumia na haziishi kabisa. Kuna watu wanaingia maksino huko wanamwaga milion 20 na zinaliwa na anaondoka anaenda mahala kula maisha na kesho tena anaenda. Kuna hoteli hapa mjini chumba milion na nusu na kila siku vimejaa, na hawashangai sasa mtu ushazoea kula magimbi kwenu mashambani huko unadhani dunia nzima kama kwenu. Alaf unajitutumua kueleza na kukataa vitu ambavyo huvijui. Ushamba mzigo
 
Hii nchi ina watu wa ajabu sana so umeona uwatukane kabisa bwana wao.
 
Yap hapo umenena. Kuna watu waajabu sans humu.yaani utadhani ssio wanaume....huyu 2025DG SI was mblock?
 
Ni kweli maisha ni magumu kiasi cha kuona wenye nafuu kama si wenzetu. Lakini kamwe tusiruhusu hali zetu ngumu zitutie upofu, wivu, husda na chuki kwa wenye nafuu. Nafsi yenye wivu na chuki haifanikiwi kamwe. Tufungue nafsi zetu, mioyo yetu itakuwa na furaha na amani, akili zetu zitakuwa huru na kutupa fikra chanya, ambazo ndio huona fursa. TUFUNGUE NAFSI.
 
Wewe Una Exposure gani ya maana hadi muda huu ?
 
Hauna kazi za kufanya mkuu hadi.unasubiri story
 
Kwa hiyooo sisi wengine tuna vifoo? [emoji26][emoji26][emoji26]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…