Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Bila Shaka SAS HV insider Ni meneja wa sheli za muajemi East Africa na Kati
 
hahahahahaha!! yote 9, kumi ni kwamba wanapewa hata ulivyohonga wewe, utasikia eti ."hiyo simu wewe ichukue tu",,na bado mwanaume umeagizwa mashine za saluni za mamilion (pumbavu kabisa).....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee mapeNzi Ni upuuzi mno jamaa simu ya iPhone amepewa dereva tax
 
Sallam SK akiingia element anamaliza zaidi ya 20million kwa usiku mmoja, kuna jamaa alitrend sana pale Kidimbwi alitumia kama 54million kwa usiku mmoja, kuna watu wanahela hapa bongo ni vile hatuna connection nao tu.
Acha uongo, Sallam hana hela unazotaka kutuaminisha mpaka apige bata la 20m per night.

Halafu kaka hivi unaijua 54m au umesimuliwa. Hapo kidimbwi hakuna mtu anayeweza kutumia hata 10m kwa siku. Ushamba wako wa mkoani usidhani wote tupo kama wewe. Tumezaliwa mjini na tunaujua mji mengi uliyoyaandika ni uongo umeongeza sifuri ila wajinga wa mkaoni wapenda story za mjini watakuchekelea.

We lete tu story kama changamsha genge ila mengi hayana uhalisia umeongeza chumvi.
 
Duh!...
 
Kweli aisee mm binafsi nilivyo ona Hilo igizo nikaona hapna haiwezekani , never on the earth.

Anyway acha aendele kutelemsha had mwisho mnk mm Bado sijaona kiini Cha story hii
 
Off course hata mm nimegundua hilo funika kombe mwanaharamu apite.


Vitu vingi sio uhalisia .

Yaani.mtu Ana mabiashara ya mabilion kutwa yupo kwenye Ka ist ka mshikaji.
[emoji23][emoji23][emoji23] ngumu snaa
 
Kama unaleta episode nyingine leta ila punguza uongo la sivyo utaendelea kula negative comments wewe na wakolomije wenzio.
Mwambie.

Naona ana misukule mingi imeshakula arosto inamwamini Sana.

Kiukweli apunguze chumvi tu.


Nadhalia ni nyingi kuliko ukweli.

Sijawahi kuwa na mashaka.na stori za analyse au.umughaka zinabeba uhalisia Ila story za jamaa hapa siasa tu
 
Imeenda
 
Is this a delaying strategy?

Maneno yalipoanza, Insider and the opposing side, imekuwa ni malumbano. Na mleta mada kasema mpaka papoe.

At first, he promised it be on early Saturday. To time, hakuna kilichoonekana. Kisingizio, mpaka patulie.

Mkuu INSIDER MAN ina maana pasipotulia, story imeishia hapo?

Anyway!.
 
Nimetamani kulia ulivyojieleza. Kila la heri mkuu
 
Hauna kazi mkuu.

Mbona unakuwa kama maskini fulani kufuatilia story muda wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…