dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Wote wamepata mabwna wako busy na kuhudumia ndoaNasikitika sijaona comment ya Antonnia
Yey na @nakodori
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wamepata mabwna wako busy na kuhudumia ndoaNasikitika sijaona comment ya Antonnia
Hpn tumekubalina had jpili usku ndio ateremshe kipandeUsiache Friday ikapita iv iv insider ,tuko na alosto tupe dozi poti
Bila Shaka SAS HV insider Ni meneja wa sheli za muajemi East Africa na KatiHatari gani tena inamkumba Iryne daaah ila INSIDER unakismart na heshima uliyonayo kwa Iryne itakufikisha mbali.
Safari ya bagamoyo imekaribia na mama wawili kakuahidi connection ya kazi Muajemi nae huyo na michongo ya hela bado Maggy aisee kuna watu mnabahati.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee mapeNzi Ni upuuzi mno jamaa simu ya iPhone amepewa dereva taxhahahahahaha!! yote 9, kumi ni kwamba wanapewa hata ulivyohonga wewe, utasikia eti ."hiyo simu wewe ichukue tu",,na bado mwanaume umeagizwa mashine za saluni za mamilion (pumbavu kabisa).....
Acha uongo, Sallam hana hela unazotaka kutuaminisha mpaka apige bata la 20m per night.Sallam SK akiingia element anamaliza zaidi ya 20million kwa usiku mmoja, kuna jamaa alitrend sana pale Kidimbwi alitumia kama 54million kwa usiku mmoja, kuna watu wanahela hapa bongo ni vile hatuna connection nao tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio muda mrefu watahoji Mtu gani miaka yote miwili hujajisaidia haja kubwa
Duh!...Acha uongo, Sallam hana hela unazotaka kutuaminisha mpaka apige bata la 20m per night.
Halafu kaka hivi unaijua 54m au umesimuliwa. Hapo kidimbwi hakuna mtu anayeweza kutumia hata 10m kwa siku. Ushamba wako wa mkoani usidhani wote tupo kama wewe. Tumezaliwa mjini na tunaujua mji mengi uliyoyaandika ni uongo umeongeza sifuri ila wajinga wa mkaoni wapenda story za mjini watakuchekelea.
We lete tu story kama changamsha genge ila mengi hayana uhalisia umeongeza chumvi.
Kweli aisee mm binafsi nilivyo ona Hilo igizo nikaona hapna haiwezekani , never on the earth.Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,
hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.
Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 [emoji28][emoji28][emoji38][emoji28][emoji28] you guys na nyie mnaamini kabisa.....
hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.[emoji16][emoji1787][emoji23] afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....
mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....
Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula [emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
[emoji23][emoji23][emoji23] ngumu snaaOff course hata mm nimegundua hilo funika kombe mwanaharamu apite.
Vitu vingi sio uhalisia .
Yaani.mtu Ana mabiashara ya mabilion kutwa yupo kwenye Ka ist ka mshikaji.
Mwambie.Kama unaleta episode nyingine leta ila punguza uongo la sivyo utaendelea kula negative comments wewe na wakolomije wenzio.
Wasukuma wanatuita upinde hawataki Tuhoji .[emoji23][emoji23][emoji23] ngumu snaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti huyo iryn ana pesa lakini siku wamegongwa akashindwa kumpa laki 7 akanyooshe gari mpaka wakamkaba mlevi aliyewagonga akaweka bond iphone.
Bata kwa siku wanapiga mpaka la laki 7 lakini kunyoosha gari mziki.
ImeendaTangu amemuacha mke wake walivyogombana hajawahi kwenda kumuomba msamaha wala kupokea simu yake akipiga yeye na mademu mademu na yeye, hii story jamaa anatupanga haina uhalisia. Huwezi kuwa mke tena ana mtoto mdogo then ukawasahau kabisa kisa mmegombana akarudi kwao halafu uwe na amani kabisa hata kwenda kuwaona ni no lakini upande wa pili kila siku yeye kwa iryn tena mpaka anapika pilau, kwa mtu mwenye familia tena changa anajua huu ni uongo.
Nimetamani kulia ulivyojieleza. Kila la heri mkuuIt seems like you are well connected, naomba nisafirie nyota mkuu. Kama una network ya watu wanaohitaji a delivery guy then I'm the guy.
Me nimemaliza chuo November mwaka jana na degree ya management of social development. Ninaishi Kigamboni na meanwhile nafanya deals za hapa na pale (sourcing, procurement na delivery...yaani watu wananiagiza huku na kule kununua vitu na kuvifikisha kwao kisha wananipatia hela ya kula).
Nina uzoefu wa kuendesha gari kwa miaka 6 now though sina driving license. Nina umri wa miaka 24, na niko very presentable and reliable. Naongea lugha nne(Kiswahili, English, French na sign language) kwa ufasaha mkubwa kabisa.
Hauna kazi mkuu.Is this a delaying strategy?
Maneno yalipoanza, Insider and the opposing side, imekuwa ni malumbano. Na mleta mada kasema mpaka papoe.
At first, he promised it be on early Saturday. To time, hakuna kilichoonekana. Kisingizio, mpaka patulie.
Mkuu INSIDER MAN ina maana pasipotulia, story imeishia hapo?
Anyway!.
Ukilia ndo utamsaidiaNimetamani kulia ulivyojieleza. Kila la heri mkuu
Upo real sana! Nashangaa watu wanaotaka kupinga...hii story ni ya kweli kabisaLeo nimepita eneo ambalo linahistoria kubwa sana kwenye maisha yangu.[emoji23]
View attachment 2702066