Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nafikiri tufate ushauri wa dokta au mnaonaje?
Hapo ndg utakuwa hujafanya sawa maana ulitoa ahadi ya jumamosi mapema sana lakini ukakutana na changamoto za wahafidhina humu ndani ukaahidi utarejea pakitulia lakini sasa unataka kubadilika tena ndg, hakika hapa utakuwa umetukisea wasomaji wako, embu fanya kama vile ambavyo mpango wako ulikuwa hapo awali na siyo kwakupangiwa na watu humu ndani
Samahani kama nitakuwa nimesema vibaya ndg,
 
Wasukuma wanatuita upinde hawataki Tuhoji .
Kipindi Cha nyuma nilikuwaga mkozoaji ktk story za watu nikapata upinzani mkubwa mno Basi nikaacha SAS HV mm nikusifiaaa tu mwanzo mwisho of which wadau hawataki ukosoe Wala kuhojihoji

So kakaa sifiaaa hta Kama unaona chai usiandike hapa utatukanwa na mtu Hadi wa namanyiree au namtumbo huko
 
Dah! Siamini kama toka page ya 71 hadi 81 hakuna muendelezo bali kutafuta uthibitisho kama Iryn ana hela ama la. INSIDER MAN tupatie muendelezo halafu tutachagua wenyewe kama tuendelee kubisha au tusoma story.
 
Jaman watu acheni ushamba na umaskini Kuna watu wana pesa ile mbaya ni sisi tu background zetu mbovu.
Mimi nilipataga ufadhili kusoma shule fulan ya kitajiri nakumbuka cngozi nyeusi tulikua hatufiki 10 shule nzima. Yani watoto wa matajir wanakuja shule as if wanaenda kazini hayo magari ni shida range sijui Prado Yani hamna gari ambayo sikuijua. Tuliokua hostel ndio maskin.
Mtu mpo olevel lakin ana Mac book apple, gari Prado New model. Yani hata sitaki kusimulia huwa naumia roho bure na shida zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…