INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
- Thread starter
- #1,601
Hpn tumekubalina had jpili usku ndio ateremshe kipande
Nafikiri tufate ushauri wa dokta au mnaonaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hpn tumekubalina had jpili usku ndio ateremshe kipande
Mkuu,Hauna kazi mkuu.
Mbona unakuwa kama maskini fulani kufuatilia story muda wote
Tukiza mshonoKama unaleta episode nyingine leta ila punguza uongo la sivyo utaendelea kula negative comments wewe na wakolomije wenzio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nafikiri tufate ushauri wa dokta au mnaonaje?
Nafikiri tufate ushauri wa dokta au mnaonaje?
Nafikiri tufate ushauri wa dokta au mnaonaje?
Hapo ndg utakuwa hujafanya sawa maana ulitoa ahadi ya jumamosi mapema sana lakini ukakutana na changamoto za wahafidhina humu ndani ukaahidi utarejea pakitulia lakini sasa unataka kubadilika tena ndg, hakika hapa utakuwa umetukisea wasomaji wako, embu fanya kama vile ambavyo mpango wako ulikuwa hapo awali na siyo kwakupangiwa na watu humu ndaniNafikiri tufate ushauri wa dokta au mnaonaje?
Then why are you here?Hauna kazi mkuu.
Mbona unakuwa kama maskini fulani kufuatilia story muda wote
Kipindi Cha nyuma nilikuwaga mkozoaji ktk story za watu nikapata upinzani mkubwa mno Basi nikaacha SAS HV mm nikusifiaaa tu mwanzo mwisho of which wadau hawataki ukosoe Wala kuhojihojiWasukuma wanatuita upinde hawataki Tuhoji .
Uchawa at it's best. Hakuna namna mkuu lazima tujaribu bahati kwa waliotutangulia.Nimetamani kulia ulivyojieleza. Kila la heri mkuu.
Historia ipi mkuu au hi hi unayosimulia au Kuna nyingine utaletaLeo nimepita eneo ambalo linahistoria kubwa sana kwenye maisha yangu.[emoji23]
View attachment 2702066
Alfu insiders nilikuomba dili la kusupply vifaaa vya ujenzi kwenye site yako huku makulu hujanijibua mkp leo hi si dharau kbsa mkuuLeo nimepita eneo ambalo linahistoria kubwa sana kwenye maisha yangu.[emoji23]
View attachment 2702066
Historia ipi mkuu au hi hi unayosimulia au Kuna nyingine utaleta
Alfu insiders nilikuomba dili la kusupply vifaaa vya ujenzi kwenye site yako huku makulu hujanijibua mkp leo hi si dharau kbsa mkuu
Alfu insiders nilikuomba dili la kusupply vifaaa vya ujenzi kwenye site yako huku makulu hujanijibua mkp leo hi si dharau kbsa mkuu
[emoji120]Nakuombea mungu mkuuMungu akijalia mwakani naanza ujenzi wa nyumba yangu ya kukaa tutafanya kazi.