Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Rafiki yangu mi naishi uhalisia hiyo ccm unayoitaja naijua rangi ya bendera yao tu ni kijani, kiufupi sifuatilii siasa hata chembe, hivyo hapo unansingizia fuatilia hata comments zangu huwezi kuta nimeshobokea siasa sijui bandari sijui kuuzwa kama kuuzwa tushauzwa kitambo hapo ni kubadilishiwa mteja tu.
Sema mi napenda uhalisia usitupange simulizi ya ukweli afu ndani uhalisia hamna, na katika kazi ya fasihi inatakiwa iburudishe, ielimishe ili watu waifuatilie lazima isisimue sio unasoma story za mtu za daily routine ye kila siku ni anakutana na zali la mentali tu, hata wanaotumia ndumba (hata masonia) au wanaomtegemea mungu kuna ups and down za kutosha, kujisifu kwingi sijui gentlemen sijui mstaarabu hizo promo tunazijua. Mi mwenyewe nikiamua kukufunga kamba kwa story nakufunga na hamna boya anashtuka ila ukiona mtu kashtukiwa na watu wawili watatu ujue kuna walakini
Sisi tunafuatikia hadithi ya insider ninyi mnafuatilia maisha yake. Wanaume hamna haya nyie
 
Usifikiri wote tuna maisha magumu kama wewe fala, niko nje ya nchi kabla hujajiunga jf, nina biashara za kueleweka hapo mjini kwenu, nina exposure kubwa na mwaka huu nilikuwepo huko kununua mashamba morogoro. Usifikiri tunavyocomment wote tuko kama wewe jobless, wengine jf ni zaidi ya mtandao ndio maana tunapoona kuna wajinga wanakuja kuharibu mtandao kwa kuleta uongo hatuwezi kuvumilia.View attachment 2703002
Ungepiga picha upande wa visa zinapogongwa..wengi tuna passport pia tukiamua kuzitupia hapa..weka pages za visa zilipogongwa
 
Hapa wewe ndio unaonekana mtoto pampja na kuwa u member humu Toka enzi zile SUMAYE,LOWASSA, KINGUNGE wakiimba slogan ya Mabadiliko Lowasa... MUNGU anakosolewa kwa lipi Sasa? Na wapi huko hukosolewa??
hata haqa jf kuna nyuzi kibao zimeandlkwa za kumkosoa Mungu, zitafute utaziona.
 
Rafiki yangu mi naishi uhalisia hiyo ccm unayoitaja naijua rangi ya bendera yao tu ni kijani, kiufupi sifuatilii siasa hata chembe, hivyo hapo unansingizia fuatilia hata comments zangu huwezi kuta nimeshobokea siasa sijui bandari sijui kuuzwa kama kuuzwa tushauzwa kitambo hapo ni kubadilishiwa mteja tu.
Sema mi napenda uhalisia usitupange simulizi ya ukweli afu ndani uhalisia hamna, na katika kazi ya fasihi inatakiwa iburudishe, ielimishe ili watu waifuatilie lazima isisimue sio unasoma story za mtu za daily routine ye kila siku ni anakutana na zali la mentali tu, hata wanaotumia ndumba (hata masonia) au wanaomtegemea mungu kuna ups and down za kutosha, kujisifu kwingi sijui gentlemen sijui mstaarabu hizo promo tunazijua. Mi mwenyewe nikiamua kukufunga kamba kwa story nakufunga na hamna boya anashtuka ila ukiona mtu kashtukiwa na watu wawili watatu ujue kuna walakini
Hoja yako ina mashiko mkuu, wanaopinga hii story sio wajinga na wanaikubali nao sio wajinga. Kila mmoja anaifuatilia hadithi kwa mtazamo wake, mwingine anataka tu kuburudika basi akalale ila mwingine anapima je hadithi ina uhalisia au la, kama msimualiaji alisema kuwa ni hadithi ya kweli basi lazima apate upinzani pale watu wanapoona uhalisia umepotea.
 
The best thing was to ignore them as shule za kata zimezalisha kizazi kinacho jifanya kinajua kila kitu kwa kuhoji hoji ...ila ni criticism ya mambo yasiyo na msingi...kwenye mambo ya msingi kama bandari, katiba, ajira hutawaona kwakuwa hawana uwezo wa to analyze critical issues... So wewe fikisha lengo lako litimie Kuna wengi wako upande wako na wanafurahia kile umekiwa wakifanya.
Shule za kata tena?
 
Hivi unapata shida gani huko moyoni juu ya hii story? Mbona ccm inakudanganya Kila siku na bado unaitikia hewala🤲.

Kama mnaona hii story inauongo Basi mtuambia ukweli ni upi.
Afu siwezi pata shida moyoni kwa mtu nisiyemjua wala kumtambua, wanangu wana chakula cha kutosha miezi mbili mbele na emergency juu,
Sema siku zote msema ukweli hapendwi watu wanapenda constant reassurance kwamba what they believe is true even if its not as long as it's their comfort zone ukikosoa tu fita mura, hilo ni tatizo kisaikolojia 'cognitive resonance' I know what I'm dealing with
 
Nadhani lawama na hasira zote nizielekezee kwa moderators, namshukuru aliyumpaa ban yule mbaba anajiita 2025.


Nailaumu jf haisimamii haki,hailindi watumiaji. Baadaya yule na wenzake kupigwa ban bado niliona mtu kaandika ujinga Tena nahisi INSIDER MAN hata WhatsApp unaweza ukatupa ujuzi huu ulialoanza kutupa hapa.

Tupatie link wadau tutakuja. Ni wazo langu.

Lkn sitaacha kuilaumu jf na hata ikitaka inipe ban tu. Kuwakosa watu wastaarabu kama INSIDER MAN na Kuna mtunzi mwingine anaitwa UMUGHAKA yaani waandishi nyie muwastaarabu sana. Mungu awalipe mnachostahili
Hii story inahamasisha watu kujiunga na uber. Kitu ambacho ni kizuri kwa kuongeza ajira na vipato. sasa wale wenye ubinafsi waliopo humo uber hawataki watu wajue waingie. Ndio chanzo cha kumshambulia mleta mada. Mleta mada angelijua hili lisingemsumbua kuwaignore hawa watu.
Mleta mada kuwakomoa watu wa aina hii wewe ungeendelea kwa nia ya kuwasaidia wengine wapate mwanga. Kusitisha ni sawa na kuwaacha wenye nia ovu washinde.
cc. INSIDER MAN
 
Sasa kama ni kweli mtu hawezi kusimulia matukio yote yakawa kweli na lazima atwist story yake, hapo story inabaki kiwa ni ya kweli au ya kutunga?

Me nadhani medecin anachotaka mwandishi aseme kuwa hii sio story ya kweli, kuna matukip ya kutengeneza ili kuvutia wasomaji.
Vipi asiposema? Medecin atakufa? Atapungua urefu?

If you can't stand the heat, you get out of the kitchen. Mbona maisha ni rahisi mazee!
 
Hii story inahamasisha watu kujiunga na uber. Kitu ambacho ni kizuri kwa kuongeza ajira na vipato. sasa wale wenye ubinafsi waliopo humo uber hawataki watu wajue waingie. Ndio chanzo cha kumshambulia mleta mada. Mleta mada angelijua hili lisingemsumbua kuwaignore hawa watu.
cc. insider man
Hawa jamaa kumbe ni Uber wenzie, dah
 
Ndugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo.

Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story, napoteza muda wangu kuwapa watu story kilichonitokea na mpaka nikaamua kuandika lakini inaonekana ni 0,

Nafikiri kila mtu aendelee na mambo yake kwa stage iliyofikia kumaliza story itakua ngumu, nafikiri tuishie hapa. Kama mtu ameshasema story ni chai kuna haja gani ya kuendelea kuandika?.

Kwa wale tuliokuwa pamoja ahsanteni kwa muda tulionza pamoja ila mimi binafsi nimeshindwa kuendelea kuandika, maana watu wanakatisha sana tamaa.

Story haijaisha hapo niko na matukio ya March, lakini mtu kashaaanza kutukana, haters wamekua wengi, lakini hii ni JF kila mtu anahaki ya kuongea. Ustaarabu mngesubiri story iishe hapo ndo muanze kujudge, maana hivi vyote nilivyoandika na ushahidi navyo kwa picha, Contracts nilizoingia nawateja zangu zote ninazo mpaka Iryn.

Story haijaisha mtu watu wameanza kukosoa anyway ndo wabongo walivyo, sinaga muda na JF ila haya matukio yalinitokea ni kweli na nilikua ndo nimeanza kuingia kwenye kiini cha story na nilikua nimepanga kuandika Epsodes 30 tu.

Wabongo tunakosa kitu kinaitwa patient hapa ndo tunafeli sana, story haijaisha hata mjue lengo la kichwa cha story lakini watu wameanza kushout. Siwezi endelea kuandika kwa style hii inakatisha tamaa, ndomana story nyingi za JF zinaishia njiani.

Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.

ALL THE BEST
Bro@InsiderMan,,kwel unaacha kutupa ,,historia yenye mapito na mafanikio kwa ajili ya wajinga wachache,,,,,,loh binafs utakuwa umeniumiza mno,,hii story nimeanza kusoma jana ,,,now ndo nafika kwenye utamu Halisi unaistopisha,Bro badili mawazo tafadhal,,,hapo ni dunia kuna kila aina ya watu laiti ungekuwa unamsikiliza kila. Mtu hata maisha yako usingetusua jombaaa Tafadhal endelea Ndg
 
Ndugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo.

Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story, napoteza muda wangu kuwapa watu story kilichonitokea na mpaka nikaamua kuandika lakini inaonekana ni 0,

Nafikiri kila mtu aendelee na mambo yake kwa stage iliyofikia kumaliza story itakua ngumu, nafikiri tuishie hapa. Kama mtu ameshasema story ni chai kuna haja gani ya kuendelea kuandika?.

Kwa wale tuliokuwa pamoja ahsanteni kwa muda tulionza pamoja ila mimi binafsi nimeshindwa kuendelea kuandika, maana watu wanakatisha sana tamaa.

Story haijaisha hapo niko na matukio ya March, lakini mtu kashaaanza kutukana, haters wamekua wengi, lakini hii ni JF kila mtu anahaki ya kuongea. Ustaarabu mngesubiri story iishe hapo ndo muanze kujudge, maana hivi vyote nilivyoandika na ushahidi navyo kwa picha, Contracts nilizoingia nawateja zangu zote ninazo mpaka Iryn.

Story haijaisha mtu watu wameanza kukosoa anyway ndo wabongo walivyo, sinaga muda na JF ila haya matukio yalinitokea ni kweli na nilikua ndo nimeanza kuingia kwenye kiini cha story na nilikua nimepanga kuandika Epsodes 30 tu.

Wabongo tunakosa kitu kinaitwa patient hapa ndo tunafeli sana, story haijaisha hata mjue lengo la kichwa cha story lakini watu wameanza kushout. Siwezi endelea kuandika kwa style hii inakatisha tamaa, ndomana story nyingi za JF zinaishia njiani.

Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.

ALL THE BEST
Pole dogo achana na watu ambao hako exposed na maisha na wanadhani Kwa kuwa wao hawana Hela basi ni watu wote Kuna watu hapa mjini hawajui shida weka mambo tuendelee kujifunza binafsi hii story imenifundisha mengi
 
Sisi tunafuatikia hadithi ya insider ninyi mnafuatilia maisha yake. Wanaume hamna haya nyie
Angesema hadithi sawa lakini ye katuaminisha mwanzo ni true story ndo alipokosea, hajui kuna watu humu jf hatuna bongo nyepesi yaani hatuangalii Netflix wala hatujashikwa na series za kikorea, hivyo ukisema kitu ni true story tunafuatilia tupate la kujifunza ila ukisema ni hadithi tu pia tutafuatilia labda tutapata la kutuburudisha kama hamna tutaondoka kimyakimya.
Sio unasema true story afu unawafunga kamba watu, lazima tuloshtuka tukupopoe kwa sababu umetupotezea muda tumefuatilia true story isiyo burudisha, elimisha wala kusisimua zaidi ya kujimwambafy na kujipigia promo kwa jf's b*tchz, angetoa tangulizo this is for the ladies, maniqqa tungepita kushoto.
Bandiko lolote litalonipotezea muda kulisoma afu mwisho wa siku nigundue anatufunga kamba lazima nimpe za uso kabla ya kuacha kulisoma.
 
Ndugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo.

Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story, napoteza muda wangu kuwapa watu story kilichonitokea na mpaka nikaamua kuandika lakini inaonekana ni 0,

Nafikiri kila mtu aendelee na mambo yake kwa stage iliyofikia kumaliza story itakua ngumu, nafikiri tuishie hapa. Kama mtu ameshasema story ni chai kuna haja gani ya kuendelea kuandika?.

Kwa wale tuliokuwa pamoja ahsanteni kwa muda tulionza pamoja ila mimi binafsi nimeshindwa kuendelea kuandika, maana watu wanakatisha sana tamaa.

Story haijaisha hapo niko na matukio ya March, lakini mtu kashaaanza kutukana, haters wamekua wengi, lakini hii ni JF kila mtu anahaki ya kuongea. Ustaarabu mngesubiri story iishe hapo ndo muanze kujudge, maana hivi vyote nilivyoandika na ushahidi navyo kwa picha, Contracts nilizoingia nawateja zangu zote ninazo mpaka Iryn.

Story haijaisha mtu watu wameanza kukosoa anyway ndo wabongo walivyo, sinaga muda na JF ila haya matukio yalinitokea ni kweli na nilikua ndo nimeanza kuingia kwenye kiini cha story na nilikua nimepanga kuandika Epsodes 30 tu.

Wabongo tunakosa kitu kinaitwa patient hapa ndo tunafeli sana, story haijaisha hata mjue lengo la kichwa cha story lakini watu wameanza kushout. Siwezi endelea kuandika kwa style hii inakatisha tamaa, ndomana story nyingi za JF zinaishia njiani.

Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.

ALL THE BEST
Hii story imenirudisha jf mkuu imalizie tu. Hao wanaosema chai achana nao hata kuandika paragraph ya kujielezea hawawezi. Tupe muendelezo wengi tunaipenda na imetufunza mengi katika harakati za haya maisha.
 
Hoja yako ina mashiko mkuu, wanaopinga hii story sio wajinga na wanaikubali nao sio wajinga. Kila mmoja anaifuatilia hadithi kwa mtazamo wake, mwingine anataka tu kuburudika basi akalale ila mwingine anapima je hadithi ina uhalisia au la, kama msimualiaji alisema kuwa ni hadithi ya kweli basi lazima apate upinzani pale watu wanapoona uhalisia umepotea.
Afadhali yako Masterpiece umetuelewa
 
Back
Top Bottom