Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.

Mkuu kwa niaba na heshima ya waungwana wote tuliokuwa pamoja nawe kila hatua, nakuomba umalizie mkuu...

Wabongo wengi hawajaumbiwa uvumilivu lakini wewe kupitia stori hii katika hayo unayoyasimulia yaonesha ni mtu mvumilivu, hivyo wapuuzie wanaosema ni chai...

JamiiForums na Maxence Melo kama kuna uwezekano, wekeni functionality kwa mleta mada kuwa na uwezo wa ku-admin uzi wake ikiwemo kuban au kuhide uzi wake kwa baadhi ya watu...

JF ya sasa ina tabaka fulani la watu wenye kujawa na matusi, kauli mbaya mbaya, kujihesabia haki na wote wa namna hiyo...
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Muhimu uwe unaandika vitu vya kweli la sivyo spana ziko palepale, hatuwezi kukuona unawadanganya watu eti kwa sababu tu waburudike ikiwa mwenyewe umesema ni story ya kweli. Ukidanganya matukio tutaendelea kukusakama maana ndio kazi yetu kurekebisha tabia. Mtu mzima kudanganywa tena na mtu hata humjui ni ujinga.
 
Ana

Anapenda kunywesha watu chai hataki wahoji kwann imezidi sukari ha aha haaa...!!na mitanzania inapenda Sana kudanganywa thus why kile chama kinatawala milele
Mkuu hawa misukule ni ngumu kuibadilisha, watu wanadanganywa ila wanakenua tu. Nimeshamwambia mtunzi azingatie matukio yawe na uhalisia au aweke wazi mapema tu kuwa ni story ya uongo. Haiwezekani watu na pumbu zetu tukae chini tusome uongo unaodaiwa ni kweli.
 
Shusha vitu achana na hao wasengelema wachache wasio na exposure na kukatia mauno maisha ya watu.
 
Muhimu uwe unaandika vitu vya kweli la sivyo spana ziko palepale, hatuwezi kukuona unawadanganya watu eti kwa sababu tu waburudike ikiwa mwenyewe umesema ni story ya kweli. Ukidanganya matukio tutaendelea kukusakama maana ndio kazi yetu kurekebisha tabia. Mtu mzima kudanganywa tena na mtu hata humjui ni ujinga.
OYA KAMA UNAONA NI UONGO SI UPITE KUSHOTO MTOTO WA KIUME UNATOA WAPI TABIA ZA KIKE
 
Tena wasichezee kabisa kuleta story za uongo hapa, matukio ya uongo halafu watu wanakenua tu. Mimi nitakuwepo kutwa nzima hapa kuhakikisha jamaa haleti uongo wake hapa.
Hamisi kilo tuliza mshono mtu mwenyewe umepaukiana kama kitumbua cha stendi

Au ndio njia ya kutafuta mabwana..,

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Woyooooooooo
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Mkuu! Hapo twende na option 1 (andika na utupostie episodes zote)
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Episodes tatu ndani ya wiki itakuwa poa..
 
Tena wasichezee kabisa kuleta story za uongo hapa, matukio ya uongo halafu watu wanakenua tu. Mimi nitakuwepo kutwa nzima hapa kuhakikisha jamaa haleti uongo wake hapa.
Acha uboya basi uende peponi fala wewe
 
Sikuwahi kujua kama unaweza kumuignore mtu. Leo nimeignore waktusha. Watu wanakera mno. Ila hongera bro Insider man kwa kuendelea. Just ignore them bro.
 
Sasa unatakiwa uniombe kama wenzio walivyokuja pm kuniomba niache jamaa aendelee na story, bila ya kuniomba nitaendelea kuwatetea walaji wa humu jf wasiokuwa na uwezo wa kusema.
Hebu tutajie walaji waliokuomba uwatete kuwa hii ni chai, unajua ni kiasi gani watu husoma hii story hata kama ni fiction. Kwani ungekaa kimya ungepunguziwa nini?
 
Back
Top Bottom