Black Legend
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 174
- 301
አንተም መልካም ምሽት ይሁንልህ Mr INSIDER MANመልካም ሌሊት ሕዝቤ🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
አንተም መልካም ምሽት ይሁንልህ Mr INSIDER MANመልካም ሌሊት ሕዝቤ🙏
Halikua swali, yalikua maoni yake.Wewe unasema huamini mtu halafu unataka mama 2 akuamini wakati kuna ushahidi kua unamhonga binti yake kwa mlango wa nyuma bila mama mtu kujua...
Hata mimi ningekua mwamba ningesamehe tu, shit happens
Kwa haya maneno yako..ni kweli umerukia swali la huyo mkuu hapo
Nimesoma vizuri, na hayo ndio maoni yangu kwa ukichoandika.Wewe ni kiaz... heb soma vizuri ndio ujib..Acha kurukia rukia
Good night my peopleመልካም ሌሊት ሕዝቤ🙏
Kuoa wake wengi kwa wakristo kunaonekana dhambi kubwa saana yet waliotuletea dini zetu hizi wameachana nazo na sasa wanahamsisha ndoa za jinsia moja. Sisi watu weusi hatuna budi kukaa chini na kujiuliza ikiwa njia tunayoiendea ni sawa, kabla ya Yesu mke zaidi ya mmoja ilikuwa ruksa sawa na mila nyingi za kiafrika. We need to go back to our roots,Insider hujaeleza siku ulipomsikia mama J akiongea na mwanaume na ukahisi huenda anachepuka,hujatuliza nyoyo zetu hapo.
Mama wawili hakuolewa mpaka akazalishwa na mtu mwingine?
Shemeji yako mume wa sister wa Arusha hajashtukia mchezo mpaka mtoto ana mwaka na miezi mitatu na nyongeza ya mimba?
Mama yako ni muumini wa dhehebu gani?
Ushauri
Usifunge ndoa mapema na mama J mpaka pale utakapogundua kuwa ameridhika kwa kiasi kikubwa kuolewa ndani ya mitala.
Usifunge ndoa ya Kikristo
Kwenye maamuzi ya kuoa pokea ushauri asilimia kumi,inayobaki angalia moyo wako na tumia akili na maono yako binafsi.
Usijaribu kumshirikisha Mungu kwenye haya mambo,kwa uliyoyafanya rafiki yako Shetani ataigiza kama Mungu atakupa ushauri utakaokuingiza chaka.
Wakristo hawaruhusiwi Kiowa wake wawili, je wazazi WA mama j huoni kuwa wanaweza kumrudisha binti yao nyumbani na wewe kurudishiwa mahari yako?Daah! Niliplan kuzungumzia hili pindi nitakapokuja na Season 3. Naamini kufikia disemba mwakani kila kitu kitakuwa sawa, nitakuja kuwapa mrejesho. Tutamaliza utamu mapema sana, vumilia swirry, 🥰
Lakini, hajawahi kumtumia picha, pia alibadilisha namba ya simu. Inshort ni kwamba mama J nishamuandaa vya kutosha kisaikolojia, na anahisi nina mtoto na Iryn.
Suala la mama J linaniumiza sana kichwa, huko ukweni jinsi wanavyoniamini wakija kupata hizi taarifa sijui watanifanya nini.
Kama haifanyi kazi vizuri nenda Kwa wamasai wanadawa nzuri watakusaidiaTunausubili sana huo uzi wa dawa uliyotumia ukapona
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wewe dogo ni hatari sana.Hawa uliowataja nikikupa sidhani kama utakumbuka Condom mkuu. Mambo mengine yabaki kuwa personal.
Kwenye hii story baadhi ya wanawake hawafurahii mwanamke mwenzao( mama j) kuibiwa mume wake. Nadhani wanamlaani Sana Iryn.Hongera Iryn
Pole mamaJ
Hata mimi sifurahii mama J kuwa abandonedKwenye hii story baadhi ya wanawake hawafurahii mwanamke mwenzao( mama j) kuibiwa mume wake. Nadhani wanamlaani Sana Iryn.
Unajua hizi ni grounds za kubatilisha ndoa? Hata iwe katoliki? Amuambie kabla hajaoaUshauri wangu kama una Nia ya dhati ya kutokumpoteza mama Junior Bora usimwambie chochote zidisha Mapenzi tangaza ndoa halalisha akijua ukweli anaweza aka give up ukabaki na Iryn.
Hata akija kujua tayari keshafunga ndoa sio rahisi akuache
Iryn Iko kipindi atakuacha hasa kama atagundua unamcheat
Naona unaandika kihabeshiመልካም ሌሊት ሕዝቤ🙏
Sorry ,naomba nitofautiane kidogo na wewe.Nafikiro Iryn alianza kumuelewa INSIDER MAN toka siku alipo mpeleka kwake akiwa kalewa chakari na akabaki anamhudumia mpaka asubuhi na hakumgusa.Pia,pamoja na kwamba aligundua ana pesa lkn mshikaji hakushoboka.Sperm donor wapo wengi na kama usimamizi wa biashara angeweza kuajiri Manager mzuri tu...naamini Iryn kampenda mwamba kwa ile tabia lkn pia pamoja na hayo Insider kamuweka Iryn kwen ya nafasi ya mwanamke,hajaruhusu ampande.Iryn anajua mshikaji mchepukaji but she is still there..whyNawaza tu, simfahamu Iryn wala mama J lakini moyo wa mtu kichaka, giza nene
1. Mama J akipima akaona jinsi ume'faidika' kutoka kwa Iryn, anaweza akaweka kwenye mzani akaona sio mbaya. Wacha mfaidike wote, akubali aolewe aache lipite kwa makubaliano hautakuwa na makandokando mengine
2. Hell hath no fury as a woman scorned. Mama J mtoto wa kaskazini kule. Anaweza akakubali kuolewa na kuvumilia just kwaajili ya issue za mali. Kumbuka kuna influence za ndugu na nani, muda si muda ukapigwa na tukio. Nadhani unaelewa nisiende mbali, jiongeze...
3. Iryn doesn't need you, she wants you mipango yake iende sawa. You just happened to be the right guy for the job, both jobs (sperm donor na msimamizi mzuri wa mali)
4. Sikiliza mama insider atakachokuambia, mama zetu wanaona mbali