Boss naomba unieleweshee..Mnataka mkopo rahisi kaombeni hela kwa wazazi wenu. Mnadanganyana usikope je unabima ya kazi yako, au ndio ukifa asubuhi taarifa zishatumwa hazina unatolewa kwenye payroll. Kopa fanya maendeleo hio ndio nguzo kwa familia yako.
NimeshangaaYaani mkopo wa milioni 6 kwa miaka 8 huyo jamaa ni mpuuzi [emoji2][emoji2957] si achukue miaka miwili atakatwa kila mwezi 285,251 kwa miaka miwili na riba itakuwa 846,024 sawa na 6,846,024 kwa riba ya 13% huyo itakuwa mwalimu ndo wanapenda shida[emoji23][emoji23]
Sio kweli.Mkuu yaani acha tuu.
Wanachokifanya kwenye ule mkataba just wanakuambia just usaini sehemu yako na shahidi wako tu. Ile sehemu utalipa kiasi gani wanajaza wao wakati haupo, apo utakachoambiwa ni makato ya mwezi ni kiasi gani.
Ni mtumishi mwenyewe azidishe makato ya mwezi na idadi ya miezi ya mkataba, hapo ndipo anaweza kugungua huu wizi.
Sahihi kabisa watumishi wanajilipua 50 Milion kwa hiyo miaka 8 sio kwa 6 mil hii hata mwaka unavunja.Nimeshangaa
Nikasema analipwa mshahara kila cha chini nini? Hawezi kumaliza kwa muda mfupi.
Anaona benki inamwibia kumbe yeye ndio ameshindwa kufanya mahesabu.
NakaziaMikopo ni gharama
Kuiba maana yake nini?Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.
Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.
5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Ndio maana kuna bima ya mkopo hata ukifa, wataulipa wenyeweBoss naomba unieleweshee..
Hivi kimfamo mtu ukakopa lets say 70M(mdhamini ni mwajiri kupitia mshahara wako, specifically serikalini) ukarejesha kiasi halafu baada ya mda ukaafukuzwa kazi au ukaacha nini kitatokeaa...?
18%×miaka unayokopaUko sawa huwa sielewagi kabisa wakisemaga mkopo ni asilimia 18%. Kifupi kabaila hajawahi kuwa rafiki wa watu masikini.
Shida ni wazazi wetu masikini hawakutuachia kitu tunajikuta kama vitoweo mbele ya makabaila
Mabenki haya ya serikal ina hisa zake, sasa wakisema wakope bure watakosa helaMikopo ni gharama
Mabenki haya serikal ina hisa zake, sasa wakisema wakope bure serikal watakosa helaMikopo ni gharama
Msalimie rafiki yako!Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini.
Ukiacha mwenyewe kwa mapenzi yako mwajiri atakwambia lipa deni kwanza, Ukifukuzwa bima italipa, ukifa bima italipa na familia inabidi ipewe gawio la faida, ukifa benki watataka cheti cha kifo ili wakadai malipo bima, vilevile ukifukuzwa watahitaji barua ya kufukuzwa kutoka kwa muajiri. Mwisho wa siku kama muajiriwa wewe kopa tu ufanye yako ajira ni yako si ya familia yako. Ukifa kabla hujazikwa kitengo chako kashapewa mtu vilevile wanaanza kukuteta ofisini jinsi ulivyokua unawasumbua kutoa michango ya harusi. Kiufupi kazini hamna urafiki it's all about unafiki 1st class.Boss naomba unieleweshee..
Hivi kimfamo mtu ukakopa lets say 70M(mdhamini ni mwajiri kupitia mshahara wako, specifically serikalini) ukarejesha kiasi halafu baada ya mda ukaafukuzwa kazi au ukaacha nini kitatokeaa...?
Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.
Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.
5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Asante SanaaUkiacha mwenyewe kwa mapenzi yako mwajiri atakwambia lipa deni kwanza, Ukifukuzwa bima italipa, ukifa bima italipa na familia inabidi ipewe gawio la faida, ukifa benki watataka cheti cha kifo ili wakadai malipo bima, vilevile ukifukuzwa watahitaji barua ya kufukuzwa kutoka kwa muajiri. Mwisho wa siku kama muajiriwa wewe kopa tu ufanye yako ajira ni yako si ya familia yako. Ukifa kabla hujazikwa kitengo chako kashapewa mtu vilevile wanaanza kukuteta ofisini jinsi ulivyokua unawasumbua kutoa michango ya harusi. Kiufupi kazini hamna urafiki it's all about unafiki 1st class.