Na wewe ulikuwa waziri mwaka gani?Uongo tu. Hakuna ukweli. Mwinyi alijiuzuru 1977 na aliyembadili ni Hassan Moyo.
Mwinyi alipelekwa kuwa Balozi. Sio kweli kwamba hakuwa na kazi.
Hassan Moyo Ali kuwa waziri mambo ya ndani muda mfupi.
Mwinyi alirudi kuwa waziri 1983
Stories za vijiweni
Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 83 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka zanzibar anaitwa mzee natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.
Natepe alipoingia tu officen alimtaka waziri aliemtangulia kutoka katika nyumba ya waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama waziri.
Ilikuwa shida kidogo maana waziri alieondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.
Ikampasa mzee mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya serekali.
Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya serekali kweli mzee mwinyi akaviacha akaondoka.
Baada ya miezi kadhaa tu mzee mwinyi akateuliwa kuwa Rais zanzibar Natepe wakati ana jifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia mzee mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa JMT.
Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwakuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea mzee mwinyi.
Mzee mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua baraza la mawaziri akamteua tena Natepe kuwa waziri pale pale mambo ya ndani.
Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe sio kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.
Siku moja mzee mwinyi yupo ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie??
Ndipo akaambiwa umetoka kwa natepe mzee mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
Story tamu sana
Tupe ukweli mkuu, unaruhusiwa kufanya editingKama ni ya kweli inafurahisha na kufikirisha...lakini sidhani kama ni kweli, na kama upo ukweli basi inawezekana ni asilimia 20 mengine ni exaggeration tu
Tunataka hizo inputs zakoKatika simulizi hii ya kufurahisha sana, cha ukweli ni Mzee Mwinyi kujiuzulu uwaziri tu!
Vilivyobakia kama mwaka 1983, Natepe kuchukua nafasi yake, mzigo kwenda ikulu nk. ni uongo mtupu.
Tunatakiwa kuwa makini sana mitandaoni kuna watu wanatunga mambo kwa kuunganisha na matukio ya ukweli na sisi bila kufanya utafiti tunasambaza mambo hayo ya uongo.
Ongezea penye mapungufuStory nzuri sana lakini hapo mwisho kuna kamba nyingi! Yaani malori yaende ikulu bila taarifa? Wewe kupita karibu na lango kuu ni shida!!
900 itapendeza
HahahahNa wewe ulikuwa waziri mwaka gani?
Anaitwa brigedia generali abdallah natepeHuyo Natepe ana jina moja tu, kama Madona?
Soma hiyo barua ya mzee ilikuwa lini? Is it 76 kama unavyosema?Story ya uongo na ya kutungwa
Mzee Mwinyi alijiuzulu 1976 sio 1983
1983-1984 aliekuwa Waziri wa mambo ya Ndani hakuwa Natepe alikuwa Dr Salmeen Amour Juma ( Komandoo )
Kuna mtu alinirushia kwa Wasap nikam challenge akaishia kuniambia yeye alifowadiwa nae kaifoward
Ally Hassan Mwinyi baada ya kujiuzulu Uwaziri aliempa notes ya kuhama kwenye Nyumba ya Waziri alikuwa Waziri wa Nyumba aliekuwa anahusika na Shirika la Nyumba ambayo ndio walikuwa wamempa Nyumba na ilijulikana baadae kuwa huyo Waziri alikuwa amepokea maelekezo toka juu
Ally Hassan Mwinyi akiwa hajui afanyaje aliokolewa na Hayati Mzee Kitwana Kondo aliemsitiri kwa kumpa Nyumba yake akae bure mpaka siku akiamua kwa hiyari yake kutoka
Natepe hakuhusika kwa namna yoyote ile na Mwinyi ‘kufukuzwa ‘ kwny ile Nyumba
Marekebisho kidogo comradeStory ya uongo na ya kutungwa
Mzee Mwinyi alijiuzulu 1976 sio 1983
1983-1984 aliekuwa Waziri wa mambo ya Ndani hakuwa Natepe alikuwa Dr Salmeen Amour Juma ( Komandoo )
Kuna mtu alinirushia kwa Wasap nikam challenge akaishia kuniambia yeye alifowadiwa nae kaifoward
Ally Hassan Mwinyi baada ya kujiuzulu Uwaziri aliempa notes ya kuhama kwenye Nyumba ya Waziri alikuwa Waziri wa Nyumba aliekuwa anahusika na Shirika la Nyumba ambayo ndio walikuwa wamempa Nyumba na ilijulikana baadae kuwa huyo Waziri alikuwa amepokea maelekezo toka juu
Ally Hassan Mwinyi akiwa hajui afanyaje aliokolewa na Hayati Mzee Kitwana Kondo aliemsitiri kwa kumpa Nyumba yake akae bure mpaka siku akiamua kwa hiyari yake kutoka
Natepe hakuhusika kwa namna yoyote ile na Mwinyi ‘kufukuzwa ‘ kwny ile Nyumba
Umeeleza vizuri sanaAlipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 1983 kama sijakosea nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka zanzibar anaitwa mzee natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.
Natepe alipoingia tu officen alimtaka waziri aliemtangulia kutoka katika nyumba ya waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama waziri.
Ilikuwa shida kidogo maana waziri alieondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.
Ikampasa mzee mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake wala sio mali ya serekali.
Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya serekali kweli mzee mwinyi akaviacha akaondoka.
Baada ya miezi kadhaa tu mzee mwinyi akateuliwa kuwa Rais zanzibar Natepe wakati ana jifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia kabla ya kufikiria njia mzee mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa JMT.
Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwakuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea mzee mwinyi.
Mzee mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua baraza la mawaziri akamteua tena Natepe kuwa waziri pale pale mambo ya ndani.
Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe sio kwamba nakupenda sana hapana ila napenda kazi yako unavyofanya endelea kufanya kazi.
Siku moja mzee mwinyi yupo ikulu kapumzika akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu mh Rais akashtuka mbona sijaagiza kitu mie??
Ndipo akaambiwa umetoka kwa natepe mzee mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu zingine mrudishieni tu.
Hapa kuna masomo makubwa ma tatu vema viongozi wetu wa sasa wakajipambanua kwayo ili tuende kwa weledi na umakini sana. Hata kwetu sisi wanadamu ni somo zuri sana la kujifunza.
Kitwana Kondo (Mwenyezi Mungu amrehemu) alikuwa Meya wa JijiPosition ya Bashite kwa sasa ndiyo mzee Kitwana Kondo alikuwa nayo enzi zile
Lumumba na wachumia tumbo ,wakikujibu nitag.MAFISADI PAPA ni MTUPOLI/LIJIZI na kundi lake/MIJIZI linalo MUABUDU na KUMSUJUDIA la wazalendo Feki, walikua wanapatikana pande zipi ”nyakati” hizo?! nauliza tu. ..
Wametupora Tanganyika yetu, wanatuteka, kuua, kututesa na kutupiga risasi, wanajifanya wanauchungu nayo saaaana.
Naona uamuzi wa kujiuzulu ulimchanganya mzee Ruksa hadi akajikuta akiandika MWALUMU badala ya Mwalimu. Hivi huo mwandiko kwenye barua ni wa typewriter au mwaka huo tayari ofisi za serikali zilikuwa zimeanza kutumia kompyuta?Soma hiyo barua ya mzee ilikuwa lini? Is it 76 kama unavyosema?View attachment 1161542
Huyo Natepe ana jina moja tu, kama Madona?
Kumbe mzee Ruksa na KK walifahamiana siku nyingi. Hivi yule binti mdogo mrembo na mwanafunzi wa aidha Zanaki au Forodhani secondary aliyedaiwa kuolewa na mzee Ruksa kipindi akiwa rais si alikuwa mtoto wa huyo huyo KK? Mzee Ruksa akipita na msafara wake vijana wanafunzi wa secondary wanamdhihaki kwa kumwita shemeji huyo.Story ya uongo na ya kutungwa
Mzee Mwinyi alijiuzulu 1976 sio 1983
1983-1984 aliekuwa Waziri wa mambo ya Ndani hakuwa Natepe alikuwa Dr Salmeen Amour Juma ( Komandoo )
Kuna mtu alinirushia kwa Wasap nikam challenge akaishia kuniambia yeye alifowadiwa nae kaifoward
Ally Hassan Mwinyi baada ya kujiuzulu Uwaziri aliempa notes ya kuhama kwenye Nyumba ya Waziri alikuwa Waziri wa Nyumba aliekuwa anahusika na Shirika la Nyumba ambayo ndio walikuwa wamempa Nyumba na ilijulikana baadae kuwa huyo Waziri alikuwa amepokea maelekezo toka juu
Ally Hassan Mwinyi akiwa hajui afanyaje aliokolewa na Hayati Mzee Kitwana Kondo aliemsitiri kwa kumpa Nyumba yake akae bure mpaka siku akiamua kwa hiyari yake kutoka
Natepe hakuhusika kwa namna yoyote ile na Mwinyi ‘kufukuzwa ‘ kwny ile Nyumba
Warioba alijaribu kumng'oa Kondo,alikiona cha moto!
HahahahahahMAFISADI PAPA ni MTUPOLI/LIJIZI na kundi lake/MIJIZI linalo MUABUDU na KUMSUJUDIA la wazalendo Feki, walikua wanapatikana pande zipi ”nyakati” hizo?! nauliza tu. ..
Wametupora Tanganyika yetu, wanatuteka, kuua, kututesa na kutupiga risasi, wanajifanya wanauchungu nayo saaaana.