Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Hiyo hizo Lugha za mashariki ya kati,zinarndana,ukristo umetoka mashariki ya kati na uislamu umetoka,kwa hiyo Allah na Eloi ni neno moja,matamko tofauti,kama mwafrika kusema Mungu na Murungu,tumia akili,yote yana maana moja.Tafakari,chukuwa hatua.'Eli, Eli, lama sabachthani. Eli tafsiri yake Ni Mungu. Na usijidanganye ni allah.
Yesu ni mwana wa Mungu na mtoto wa Mungu ni Mungu.
Kumbuka Yesu hakuzaliwa kwa njia ya Zinaa.
Ni mpole kweli. Yaani mpole haswa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mungu atusaidie jamani. Kuna mmoja nilimuuliza hivi unapokuwa unaomba toba huku unafikiria kuwa mwezi ukiisha naenda kuendelea na dhambi toba yako inapokelewa kweli? Akaniambia inapokelewa...nikasema basi Mungu wenu mpole sana
Utakuwa na ufinyu wa mawazo,guest ni nyumba za wageni,wakati wasiku kuu,wapo wanaokwenda ugenini,kusherehekea siku kuuu.Cha ajabu mnajinasibu mnafunga mwezi mzima kutubu, cha ajabu dhambi zote mmezitamani mmeziweka kiporo mkisubiri mwezi uishe muanze kuzitenda.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Siku ya idi gesti na lodge na majumba yote ambayo hayajaisha huwa yanajaa.
Wanaofanya biashara za kitimoto hiyo siku zinatoka kuliko kawaida.
Unafiki tuu.
Kwa maana hiyo unataka kusema Allah na Mungu ni tofauti siyo? Maana sijakuelewa.Hiyo hizo Lugha za mashariki ya kati,zinarndana,ukristo umetoka mashariki ya kati na uislamu umetoka,kwa hiyo Allah na Eloi ni neno moja,matamko tofauti,kama mwafrika kusema Mungu na Murungu,tumia akili,yote yana maana moja.Tafakari,chukuwa hatua.
Haswaa hiyo ndio maana halisi ya kufungaWakristo wakifunga kwaresma hawamzuii yeyote kula.Kufunga Ni kushinda nafsi hata mbele ya pilau linalonukia vizuri .Kufunga kwa wakristo Ni pamoja na kujizuia matamanio mbele ya kinachotamanisha.Mtu aweza weka kuku choma mbele yako na usimtamani Wala kumla sababu umefunga SI chakula tu bali na matamanio kuwa hata chakula au kinachotamanisha vipi kiwe mbele yako hutakula Wala kutamani.Ndio maana Mkristo akifunga SI rahisi hata kumjua sababu hajitangazi ,hanuni na kufoka foka kufokea wengine kuwa kafunga!!! Wakristo hufunga siku nyingi kuliko waislamu na hawana mbwembwe.Wakristo hufunga siku 40 wakati waislamu Ni mwezi mmoja.Wa siku 40 hawana mayowe wa mwezi mmoja uwiiiii!!! Kelele kila Kona nimetunga nimefunga sitaki ule mbele zangu nk eee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka eti Mungu wetu anajua hadi kinyakyusa. HaswaaKwa maana hiyo unataka kusema Allah na Mungu ni tofauti siyo? Maana sijakuelewa.
Yaani nyie ni watumwa ndiyo maana mpaka Leo mnaamini mungu ni wa waarabu na nyie ni wakimbizi.
Ndiyo maana mpaka Leo usipoongea kiarabu haujaswali bado, mungu wenu mfu anajua lugha moja tuu ya kiarabu.
Teh teh
Mungu wetu sisi anajua hadi Kinyakyusa.
Na hapo ndipo tofauti ilipo ya Mungu na vimiungu vya kiarabu.
Wakristo sio wote wanafunga Kwaresma,ni wakatoliki tu,madhehebu mengine ya kikirsto hawakubaliani na hii funga,tofauti na uislamu,kufunga Ramadhani ni madhehebu yote ya waislamu,na ibada zote karibia waislamu wanafanya pamoja,kwa madhehebu yote,bila utofautiWakristo wakifunga kwaresma hawamzuii yeyote kula.Kufunga Ni kushinda nafsi hata mbele ya pilau linalonukia vizuri .Kufunga kwa wakristo Ni pamoja na kujizuia matamanio mbele ya kinachotamanisha.Mtu aweza weka kuku choma mbele yako na usimtamani Wala kumla sababu umefunga SI chakula tu bali na matamanio kuwa hata chakula au kinachotamanisha vipi kiwe mbele yako hutakula Wala kutamani.Ndio maana Mkristo akifunga SI rahisi hata kumjua sababu hajitangazi ,hanuni na kufoka foka kufokea wengine kuwa kafunga!!! Wakristo hufunga siku nyingi kuliko waislamu na hawana mbwembwe.Wakristo hufunga siku 40 wakati waislamu Ni mwezi mmoja.Wa siku 40 hawana mayowe wa mwezi mmoja uwiiiii!!! Kelele kila Kona nimetunga nimefunga sitaki ule mbele zangu nk eee
Ukiangalia mwezi wa ramadhani kusema Ni mwezi wa Kufunga so kweli Ni mwezi wa kufungishwa.Unafungishwa kwa nguvu hufungi kwa hiari . Unalazimisha.Kwa hiyo siku ya IDD ikifika unasherekea uhuru wa kutoka gereza la kufungishwa mwezi mzima.Hata waislamu wanajua kuna wakaidi wanaolazimishwa Kufunga Hawa kufaidi kwao Ni siku ya IDD.Kuna ule msemo usemao mwana mkaidi hafaidi Hadi siku ya Idd.Siku ya IDD ndio siku ya wakaidi wote walioshinikizwa kutunga kufaidi.Pombe,umalaya nk hiyo ndio siku yao waislamu wakaidi wote waliolazimishwa Kufunga kuonyesha ukaidi wao kwa kulewa ,kufanya umalaya ,kula kitimoto nkRafiki yangu ameombwa papuchi na mpenzi wake, hawajaoana naona wamekubaliana siku ya idd wakapeane na waende disco.
Kwa maana hiyo unataka kusema Allah na Mungu ni tofauti siyo? Maana sijakuelewa.
Yaani nyie ni watumwa ndiyo maana mpaka Leo mnaamini mungu ni wa waarabu na nyie ni wakimbizi.
Ndiyo maana mpaka Leo usipoongea kiarabu haujaswali bado, mungu wenu mfu anajua lugha moja tuu ya kiarabu.
Teh teh
Mungu wetu sisi anajua hadi Kinyakyusa.
Na hapo ndipo tofauti ilipo ya Mungu na vimiungu vya kiarabu.
Kijijini kwetu huko ibadi zinaongozwa hadi kinyakyusa na Mungu anajibu maombi kama mafuriko nakwambia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka eti Mungu wetu anajua hadi kinyakyusa. Haswaa
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Usinidanganye,hakuna anayelazimishwa kufunga,uislamu una utaratibu wake,ndio maana watu kama nyinyi msio na dini huwa mnaumia sana,mkiona uislamu Katika ibada zake zina utaratibu maalumu na sheria zake.Ni hii ndio imepelekea waislamu wa dunia nzima,kokote utakako kwenda,ibada zao ni,moja,ndio muislamu wa Tanzania,hata akienda Malasiya au Urusi au Ujerumani,hapati tabu ya kufanya ibada kwenye msikiti.Tofauti na wengine,utakuta kuna English service,Swahili service,nk.Kwa hiyo asiyejuwa kiswahili hawezi kuingia kwenye kanisa la kiswahili,na asiyejua kiingereza hawezi kuingia kanisa la kiingereza.Tumia akili,Tafakari,chukuwa hatua.Ukiangalia mwezi wa ramadhani kusema Ni mwezi wa Kufunga so kweli Ni mwezi wa kufungishwa.Unafungishwa kwa nguvu hufungi kwa hiari . Unalazimisha.Kwa hiyo siku ya IDD ikifika unasherekea uhuru wa kutoka gereza la kufungishwa mwezi mzima.Hata waislamu wanajua kuna wakaidi wanaolazimishwa Kufunga Hawa kufaidi kwao Ni siku ya IDD.Kuna ule msemo usemao mwana mkaidi hafaidi Hadi siku ya Idd.Siku ya IDD ndio siku ya wakaidi wote walioshonikizwa kutunga kufaidi.
Na ni kweli wanalazimishwa. Ndiyo maana ambao hawafungi wanaogopa hata kwenda kununua chakula.Ukiangalia mwezi wa ramadhani kusema Ni mwezi wa Kufunga so kweli Ni mwezi wa kufungishwa.Unafungishwa kwa nguvu hufungi kwa hiari . Unalazimisha.Kwa hiyo siku ya IDD ikifika unasherekea uhuru wa kutoka gereza la kufungishwa mwezi mzima.Hata waislamu wanajua kuna wakaidi wanaolazimishwa Kufunga Hawa kufaidi kwao Ni siku ya IDD.Kuna ule msemo usemao mwana mkaidi hafaidi Hadi siku ya Idd.Siku ya IDD ndio siku ya wakaidi wote walioshonikizwa kutunga kufaidi.
Na kinachowaponza ni kuishi kwa Historia.Ndio nikaluambia una akili finyu,ukristo umetoka mashariki ya kati,japo wakristo wengi hamjui,mwajua ukristo umetoka kwa wazungu,uislamu umetoka mashariki ya kati pia,neno Eloi ana Allah ni neno moja,ni tofauti ya matamshi,ni kama waafrika tuko tunaosema Mungu na wapo wanaoita Murungu,yote yakiwa na maana moja.
Kuna nchi gani ya Kikristo duniani? Labda Vatican tu ambako nako ushoga hauruhusiwi.Nchi za kikristo zinazolazimisha ushoga kwakuwa kwao ni tendo takatifu hujaziona?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiangalia mwezi wa ramadhani kusema Ni mwezi wa Kufunga so kweli Ni mwezi wa kufungishwa.Unafungishwa kwa nguvu hufungi kwa hiari . Unalazimisha.Kwa hiyo siku ya IDD ikifika unasherekea uhuru wa kutoka gereza la kufungishwa mwezi mzima.Hata waislamu wanajua kuna wakaidi wanaolazimishwa Kufunga Hawa kufaidi kwao Ni siku ya IDD.Kuna ule msemo usemao mwana mkaidi hafaidi Hadi siku ya Idd.Siku ya IDD ndio siku ya wakaidi wote walioshonikizwa kutunga kufaidi.Pombe,umalaya nk hiyo ndio siku yao waislamu wakaidi wote waliolazimishwa Kufunga kuonyesha ukaidi wao kwa kulewa ,kufanya umalaya ,kula kitimoto nk
Kijijini kwetu huko ibadi zinaongozwa hadi kinyakyusa na Mungu anajibu maombi kama mafuriko nakwambia.
Huyu ndiyo Mungu wa dunia, Mungu wa mataifa na Makabila yote.
Acha kuandika uongo,mnasema chakula mnazuiwa kula,halafu wasema wapo waislamu wanakutuma chakula ukawanunulie,kwa hiyo wewe ni mtumwa wa waislamu,kazi kutumwa tumwa tu,na wauislamu.Na ni kweli wanalazimishwa. Ndiyo maana ambao hawafungi wanaogopa hata kwenda kununua chakula.
Kama umesoma vyuoni utagundua jinsi walivyogeuzwa watumwa. Unakuta mtu anakuomba ukamnunulie chakula, anakula mafichoni halafu anatoka anasema amefunga.
Sasa sijui mungu macho yao hayaoni hadi mafichoni. Sasa ndiyo utagundua wanafunga kwa lazima na siyo kwa kumpendeza mungu.
Asante Mungu namwabudu Mungu ambaye macho yake yanaona hadi sirini.
Kijijini kwetu huko ibadi zinaongozwa hadi kinyakyusa na Mungu anajibu maombi kama mafuriko nakwambia.
Huyu ndiyo Mungu wa dunia, Mungu wa mataifa na Makabila yote.
Acha uongo mjerumani mwislamu saa ya mawaidha au mahubiri msikitini mbona hutolewa kiswahili huyo mjerumani atasikia Nini kinachoongelewa? Ndio maana wakristo huweka English service nk ili asikie Yale mawaidha au mahubiri .Usinidanganye,hakuna anayelazimishwa kufunga,uislamu una utaratibu wake,ndio maana watu kama nyinyi msio na dini huwa mnaumia sana,mkiona uislamu Katika ibada zake zina utaratibu maalumu na sheria zake.Ni hii ndio imepelekea waislamu wa dunia nzima,kokote utakako kwenda,ibada zao ni,moja,ndio muislamu wa Tanzania,hata akienda Malasiya au Urusi au Ujerumani,hapati tabu ya kufanya ibada kwenye msikiti.Tofauti na wengine,utakuta kuna English service,Swahili service,nk.Kwa hiyo asiyejuwa kiswahili hawezi kuingia kwenye kanisa la kiswahili,na asiyejua kiingereza hawezi kuingia kanisa la kiingereza.Tumia akili,Tafakari,chukuwa hatua.
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani nimegundua wewe una utoto mwingi sanaAcha kuandika uongo,mnasema chakula mnazuiwa kula,halafu wasema wapo waislamu wanakutuma chakula ukawanunulie,kwa hiyo wewe ni mtumwa wa waislamu,kazi kutumwa tumwa tu,na wauislamu.