Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Hebu acha upumbavu wa kutoka nje ya mada. Kinachojadiliwa hapa na ushoga wapi na wapi? Nyie ndiyo huwa mnafeli mitihani kwa upumbavu wa hali ya juu. Mjadala unahusu mtu kukosa sehemu ya kula kwa sababu tu ya Ramadhan na weye unaleta upuuzi wako usiohusu kitu kwenye uzi huu.

Nchi za kikristo zinazolazimisha ushoga kwakuwa kwao ni tendo takatifu hujaziona?
 

Mbona mahotel kibao tu tena bufe Poa kabisaa
 
Mpuuzi zaidi ni wewe muathirika wa ushoga. Umeharibu tamaduni zako kwakuwapenda wazungu na unataka na wengine wawe kama ninyi.
Mmeitwa Zanzibar? Huo ni utamaduni wao kila ukifika mwezi huo. Kama ilivyokwenu kudharau na kutukana kila asiye wa imani yenu.
 
Wewe ni mpumbavu wa kutupa. Acha kurukia watu humu usiowajua kwa kujifanya unawajua. Huu uzi hauhusu ushoga lakini zwazwa wewe huelewi. Kama ungeona michango yangu kuhusu kuupinga ushoga usingeandika huu UPUUZI WAKO kama huna cha maana cha kuandika kuhusu mjadala husika kaa kimya badala ya kuonyesha ujuha wako hadharani. Pimbi wewe.

 
Juha zaidi ni wewe usieheshimu imani za wengine. Unadhani kutukana utamtisha nani we nyumbu.
Nikujue inisaidie nini kwa mpuuzi kama wewe mwenye akili za kuendea chooni na kuvukia barabara tuu
 
tatizo hapa,hiyo ni desturi wamejiwekea wao wenyewe wananchi wa zanzibar,wana hofia wakilegeza desturi zao zittamezwa,kwa hiyo japo sheria yao haielekezi hivyo,bali wananchi wao ndo wanataka iwe hivyo,kama inakukera rudi nyumbani kumenoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…