Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Mpumbavu babaako na mamaako. Kariakoo watu wanakula mchana bila shida acha uzushi wako. Hiyo sheria ya kulazimisha watu Bara ilitungwa lini na Bunge lipi? Juha mkubwa wewe
Juha ni wazazi wako wote wawili waliofuga kafiri kubwa kama wewe
 
Poleni sana

Ila hawa watu wabaguzi jamani
Lengo la mtoa mada ni kuchonganisha watu wenye dini zao kisha yeye kakaa pembeni kimya anaangalia watu wanavyopigishana kelele hapa,huku yeye nafsi yake iko kwatu na kufurahi pale inapofikia watu wanapotukanana hapa kwenye uzi.
 
!

Kwani mlilazimishwa kwenda kuteseka huko au tamaa zenu ndiyo zinawapeleka.
Mleta mada amesema ameenda kikazi mbona ishu ndogo watu mnaweka akili pembeni. Halafu mtu kutembelea sehemu kwa sababu ya tamaa ina faida sana kwa eneo husika. Mfano wazungu wanavyo kuja kutalii kinacho waleta ni tamaa ya kuona vivutio. Ni ngumu sana kutetea kitu cha kijinga, itabidi uongee ujinga matokeo yake ndiyo kama haya. Wote mnao tetea hiki kitu hamna hoja, siyo kidini wala kisheria mnaishia kushusha ufahamu wenu nakutoa pumba
 
Wapi:Bible inaonyesha yesu anasema mm ni mungu [emoji23][emoji23]hongera faiza
Akili zako ndipo zilipoishia hapo. Kuabudu kwako hakustahili kuingilia haki ya binadamu mwingine kupata haki zake za kibinadamu kama kupata mlo wakati wewe umefunga. Ni wapumbavu kama wewe tu ndiyo mnapotoka na kuunga mkono huo ujinga. Jaribuni kupiga fimbo Bara muone kazi. Pumbafu.
 
Wewe ni kafiri pia ambaye unataka kuzuia haki za binadamu wengine eti kwa sababu wewe umefunga. Mpumbavu sana wewe na wazazi wako wote kwa kuunga mkono ujuha eti nenda Kariakoo! Mpuuzi wewe! Bunge lipi na lilikaa lini kupitisha sharia ya Kariakoo au Bara au Zenj kutoruhusu watu kula mchana mwezi wa Ramadhan? Acheni ujinga wenu wa kuunga mkono upuuzi ambao haupo kwenye sheria za nchi.

Juha ni wazazi wako wote wawili waliofuga kafiri kubwa kama wewe
 
Everything you need to
know about eating in
Dubai during Ramadan
If you happen to visit Dubai during
Ramadan, you'll have the
opportunity to witness the city in
one of its most reflective and
peaceful states. Ramadan is the
ninth month of the Islamic
calendar, during which Muslims
fast from sunrise to sunset for 29
or 30 days. Visitors are asked to
respect this time and refrain from
eating or drinking in public – but
the city also caters well to those
who are not fasting. Here's what
you need to know.
What do I need to know about
eating in Ramadan?
Eating, drinking (including water),
smoking and listening to music are
not allowed in public during the
daylight hours between sunrise
and sunset. However, a number of
dining spots remain open and
discreetly serve food to non-
Muslims, particularly in shopping
malls and hotels, as well as a
handful of independent eateries.
These venues are curtained off and
obstructed from public view.
Can I drink water?
To be respectful to those who are
fasting, you are expected to refrain
from drinking water in public. The
same applies for chewing gum.
Children, pregnant women, the
elderly and those suffering from
illness are exempt from observing
the fast, but it is recommended to
consume food and drink in private.
 
Mkuu kuna mijamaa imeingia dini alafu inaingiza tabia zao binafsi na kusingizia eti ni taratibu za dini, dini inatutaka tufunge na funga ni miongoni mwa nguzo 5 za uislam na muongozo hausemi tushurutishe watu kufuata tunachotaka watu tulofunga.
Asante!
 
Na kwa Zanzibar kuna sheria za Zanzibar na ndio zinazofuatwa. Na vile vile sio sheria zote za Jamhuri zinafuatwa Zanzibar. Kama huamini basi
Hamna kitu kama icho...zanzbar ni sehemu ya tanzania sheria zinazofuatwa ni sheria za jamuhuri ya muungano wa tanzania...hizo unazodhani wewe ni sheria za zanzbar sio kweli...hizo ni sheria za waislamu so kwa kutumia wingi wao wanaona kuwa hizohizo sheria ni halali kama sheria za zanzbar...kama hizo sheria ni za zanzbar njoo hapa niambie mtu anayekula mchana adhabu yake mahakamani ni ipi na nani aliyewahi kushtakiwa na hukumiwa mahakamani zanzbar kwa kosa la kula mchana
 
Hamna kitu kama icho...zanzbar ni sehemu ya tanzania sheria zinazofuatwa ni sheria za jamuhuri ya muungano wa tanzania...hizo unazodhani wewe ni sheria za zanzbar sio kweli...hizo ni sheria za waislamu so kwa kutumia wingi wao wanaona kuwa hizohizo sheria ni halali kama sheria za zanzbar...kama hizo sheria ni za zanzbar njoo hapa niambie mtu anayekula mchana adhabu yake mahakamani ni ipi na nani aliyewahi kushtakiwa na hukumiwa mahakamani zanzbar kwa kosa la kula mchana
Kama hujui basi uwe unaulizaga na sio kubisha tu. Ukiambiwa hadi ukweli unabisha, basi endelea kubisha ila kaa ukijua kuna katiba ya Zanzibar ambayo sheria Zanzibar zinatungwa na Baraza la Wawakilishi. Ndio maana hafi leo hii Zanzibar hata ukikutwa umekaa na mtoto wa watu hata kama ni mjane unafunguliwa kesi wakati bara inaonekana ni kitu cha kawaida.
 
Kama hujui basi uwe unaulizaga na sio kubisha tu. Ukiambiwa hadi ukweli unabisha, basi endelea kubisha ila kaa ukijua kuna katiba ya Zanzibar ambayo sheria Zanzibar zinatungwa na Baraza la Wawakilishi. Ndio maana hafi leo hii Zanzibar hata ukikutwa umekaa na mtoto wa watu hata kama ni mjane unafunguliwa kesi wakati bara inaonekana ni kitu cha kawaida.
Tena hadi hoteli za kitalii migahawa mikubwa kwa midogo huwa wanatumiwa barua rasmi za kujulishwa kuhusu kipindi cha mfungo
 
Zanzibar kula hovyo ni marufuku, hiyo ni amri kutoka kwa Dr Shein !
Who is dr shein??...
Raisi wa tanzania na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu anaitwa magufuli...zanzbar ni sehemu ya tanzania na hakuna nchi inayoitwa zanzbar ila kuna serikali ya mapinduzi ya zanzbar
 
Kwenye ukristo kuna masharti yake mfano kuna fidia ya ubatizo kama hujalipa unaweza kubatizwa?.
Kama ukiwa mlokole hivi Lutheran au wakatoliki watakusalia na kukuzika?
Kwa waislam wao hata uwe shia basi ukifa watakuzika tu hata uwe na dhehebu lipi utadhikwa tu. Kila sehemu na sheria yake usiifanye sheri kuwa njia ya ubaguzi.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Mleta mada kasema hili ni kwa mtu wa rangi hii asili ya kiafrika tu ila kwa watu weupe au watalii weupe sheria hii hai wakamati......
 
Who is dr shein??...
Raisi wa tanzania na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu anaitwa magufuli...zanzbar ni sehemu ya tanzania na hakuna nchi inayoitwa zanzbar ila kuna serikali ya mapinduzi ya zanzbar
Endekeza ujinga tuu !
 
Back
Top Bottom