Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Hakuna kufunga bali kuahirisha muda wa kula, usiku wanashindilia hatari, ndio maana hata bei za vyakula hupanda.
Mbona nyie mnashindwa, mnabakia kufanya utapeli na ujanja ujanja tuu wenyewe mnaita 'kwaresma' ! Haijulikani funga inaanza saa ngapi inaisha saa ngapi. Eti mtu anaacha kula nyama anasema kafunga ! Ujanja ujanja tu na uhuni.
 
Huyu sio mkristo,ni jitu lisilokuwa na dini,mara nyingi hawa wanatumia ID tofauti,mara anakuja na ID ya kukashifu wakristo anajifanya muislamu,mara anakuja na ID anajifanya mkristo anakashifu uislamu.Watu kama hawa ni wa kuwaogopa kama Ebola.
Anataka kutumbia Zanzibar nzima,anayekula mchana mwezi wa Ramadhani ni yeye peke yake,wakati katika uislamu wapo walioruhusiwa kula hata kama ni muislamu:
Wagonjwa
Wanawake waliojifunguwa
Wazazi wanaonyonyesha
Watoto wadogo
Wasafiri
Mwanamke aliye katika siku zake
Wazee sana,wasiojiweza
Hao waliotajwa hapo juu,itakuwa Zanzibar nzima hakuna?
Nafsi zao zinawasuta, wanajua Uislaam ni dini ya haki. Badala ya kujiunga wanajenga chuki
 
Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Hayo mabaa wazungu wanapokula na kunywa umezuiwa kuingia?
 
kama haya usemayo ni kweli basi itakuwa mamlaka za Zanzibar bado haziujui Uislamu!

mimi ni Mkristo by the way lakini nina ndugu Waislamu na ni watu wema sana kiasi najiuliza kwa nini dini hizi 2 zitofautiane kwa kiwango ambacho baadhi yetu tunaonyesha...
Hao ndugu zako watakuwa waislamu kutoka mikoa inayojielewa lkn si wa huku pwani
 
Kwani ukifunga nikila mbele yako unatamani au?
Fungeni kwa moyo na siyo kwa kulazimishwa.
Kwahiyo kama umeacha kuiba, mimi nikiiba na wewe unatamani na wewe uibe?
Ukifunga kwa Moyo hata uone chakula hamna shida.

Naona umemzungumzia mwanaume Yesu Kristo. Nilisikia mashetani wakitaja Yesu wanaungua na ndiyo maana umeogopa kumtamka wazi.

Yesu ni Mwanaume, Simba wa Yuda. Alikufa na alifufuka. Nani mwingine amewahi kuvunja hiyo record?

Nasikia mtume wanu mlisubiri afufuke akaishia kuliwa na nguruwe. Poleni.
Utaratibu wa kufunga sie tumepangiwa na Mola wetu, na si kufuata maoni kama yako.
Uhuni wenu ndio maana nyie m'meshindwa kufunga. Eti unaacha kula nyama uanakula mchicha kisha unadai umefunga, wenyewe mnaita kwaresima ! Upuuzi mtupu.
 
Nope!!!

Ndo uislam unavyofundisha na unavyotaka,ingekuwa tofauti na hivyo angetokea hata shehe mmoja akalikataza hilo ila lina baraka zote za kidini.

Nadhani hii dini ina mambo fulani ya kutisha tisha asiyekuwa nayo aingie either kumbana kwa vile avipendavyo sometimes hata kwa kuuwa,haiwezekani majority nzima Zanzibar wamejaa Waislam tena wanaojiita wamesoma kitabu then wasikemee ujinga huu,dini ndo inavyotaka.
Huyu mleta uzi sio mkristo,wala hana dini,wamo watu humu jf,wanabadilisha ID,mara anajifanya muislamu anakashifu ukristo,na wakati mwingine anajifanya mkristo anakashifu uislamu.
Funga ya uislamu ina masharti yake,mwiongoni mwa masharti
1:Anayefunga lazima awe muislamu
2.Alifikia umri wa kubaleghe(sio mtoto mdogo)
3.Asiwe mgonjwa
4.Msafiri ameruhusiwa kutokufunga
5.Mwanamke aliye kwenye siku zake hafungi
6.Aliyejifunguwa mtoto au mimba imetoka ,hafungi
7:Anayenyonyesha amepewa ruhusa kutofunga
8:Mzee sana,asiyejiweza,hafungi
Kwa hiyo katika viprngele hivyo vyote,Zanzibar nzima itakuwa hakuna watu wenye dharura za hapo juu?Au itakuwa mleta uzi ,alionekana ni mtu wa kuja,mshamba,ndio akakutana na wajanja wa mjini,kutoka na na muonekano wake wa kishamba au wa mtu wa kuja,wakamtia Nash kash za kimjini.Maana hata shule ukiwa mpya secondary,waliokutangulia lazima wakuingiza mjini.Wapo waliondeshwa mchaka mchaka wa kilometa si chini ya 50,walipoanza form five,kwa shule za hostel,na wabafunzi wenzao wa form six,kwa kujifanya ni waalimu,wapo waliofulishwa nguo na madhuka ya wenzao nk.Kwa hiyo huyu mleta uzi akubali tu,anekutana na watoto wa mjini wamemuingiza mjini,na si ajabu na hela katoa za kutaka aachiwe,hapo ameficha tu.Mjini shule,ukija na jembe utalima lami.
 
Kwani ukifunga nikila mbele yako unatamani au?
Fungeni kwa moyo na siyo kwa kulazimishwa.
Kwahiyo kama umeacha kuiba, mimi nikiiba na wewe unatamani na wewe uibe?
Ukifunga kwa Moyo hata uone chakula hamna shida.

Naona umemzungumzia mwanaume Yesu Kristo. Nilisikia mashetani wakitaja Yesu wanaungua na ndiyo maana umeogopa kumtamka wazi.

Yesu ni Mwanaume, Simba wa Yuda. Alikufa na alifufuka. Nani mwingine amewahi kuvunja hiyo record?

Nasikia mtume wanu mlisubiri afufuke akaishia kuliwa na nguruwe. Poleni.
Eti mungu wenu kafa msalabani, kisha anajinsia ya kiume. Sasa mungu anakufaje kufaje kama watu wake aliyewaumba !?
 
kwenye mijadala inayo husiana na hii huwaga maoni yanakuwa tofauti. Mathalani wahamiaji waislam huko ulaya kulazimisha mila zao (uvaaji hijab nk) kukubalika ugenini wakati wenyeji hawataki…
!

Kwani mlilazimishwa kwenda kuteseka huko au tamaa zenu ndiyo zinawapeleka.
 
Kwani ukifunga nikila mbele yako unatamani au?
Fungeni kwa moyo na siyo kwa kulazimishwa.
Kwahiyo kama umeacha kuiba, mimi nikiiba na wewe unatamani na wewe uibe?
Ukifunga kwa Moyo hata uone chakula hamna shida.

Naona umemzungumzia mwanaume Yesu Kristo. Nilisikia mashetani wakitaja Yesu wanaungua na ndiyo maana umeogopa kumtamka wazi.

Yesu ni Mwanaume, Simba wa Yuda. Alikufa na alifufuka. Nani mwingine amewahi kuvunja hiyo record?

Nasikia mtume wanu mlisubiri afufuke akaishia kuliwa na nguruwe. Poleni.
Hahaahaaaaaaa...
Kwa akili kama hizi za kijahili Waislamu inatulazimu tumshukuru sana ALLAH kwa kutupa rehema ya Uislamu.
 
Ni kwann Nile kwa kujificha? Kwan mie mwizi? Kwan wewe kufunga kwako kunanihusu Nini mm? Mbna wakristo wakifunga hawazuii wengine?
Nyie Ni washamba/mbumbumbu hamna elimu ndio maana
Ukristo raha sana mkuu toafauti na hiho dini ya kijinga. Wakristo unakuta kwenye familia wamefunga wawili wengine wote mnapika na kula na wala hakuna shida na huwezi kukuta waliofunga wakilalamika kwasababu wanajua hilo ni suala la imani ya mtu.

Na wakienda kwenye maombi au siku ya kufungulia mnaitwa wote mjumuike kwenye maombi.

Hii myenzetu haijawahi kufunga ila Inabadilisha tu muda wa kula basi! We mtu anaamka saa 11 alfajiri anapakia ugali wa maana alafu ikifika saa 12 jioni anakula tena[emoji23][emoji23][emoji23]

Ujinga mtupu
 
Dawa unapika pilau ndani lakini unahakikisha umetia mdalasini,hiliki na viungo vingine vya kutosha, harufu isikike kuanzia chukwani hadi kiembe samaki
 
Nafsi zao zinawasuta, wanajua Uislaam ni dini ya haki. Badala ya kujiunga wanajenga chuki
Wewe ndio umepiga msumari wa moto,maelezo yako ndio sahihi kabisa.Huyu ananzisha uzi tu wa kuogombanisha wakristo na waislamu,Zanzibar nzima,awe yeye tu ndio anakula mchana wa Ramadhani.Wakati wapo watoto,wagonjwa,wazazi,wazee,wasafiri,wanaonyonyesha watoto,wana ruhusa ya kutokufunga.
 
Utaratibu wa kufunga sie tumepangiwa na Mola wetu, na si kufuata maoni kama yako.
Uhuni wenu ndio maana nyie m'meshindwa kufunga. Eti unaacha kula nyama uanakula mchicha kisha unadai umefunga, wenyewe mnaita kwaresima ! Upuuzi mtupu.
@bandiwe una heri unajiamini umeshaiona pepo,unajikuta kama vile wewe ndiye unamuandalia Mungu chai,kumpa ushauri wa mawili matatu etc!

Safi sana mzee!
 
Back
Top Bottom