Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mjeshi Mkristu akila hadharani naye watamkamata?
Mbona nyie mnashindwa, mnabakia kufanya utapeli na ujanja ujanja tuu wenyewe mnaita 'kwaresma' ! Haijulikani funga inaanza saa ngapi inaisha saa ngapi. Eti mtu anaacha kula nyama anasema kafunga ! Ujanja ujanja tu na uhuni.Hakuna kufunga bali kuahirisha muda wa kula, usiku wanashindilia hatari, ndio maana hata bei za vyakula hupanda.
Hebu jifunze mgalatia !Hakuna kufunga bali kuahirisha muda wa kula, usiku wanashindilia hatari, ndio maana hata bei za vyakula hupanda.
Nafsi zao zinawasuta, wanajua Uislaam ni dini ya haki. Badala ya kujiunga wanajenga chukiHuyu sio mkristo,ni jitu lisilokuwa na dini,mara nyingi hawa wanatumia ID tofauti,mara anakuja na ID ya kukashifu wakristo anajifanya muislamu,mara anakuja na ID anajifanya mkristo anakashifu uislamu.Watu kama hawa ni wa kuwaogopa kama Ebola.
Anataka kutumbia Zanzibar nzima,anayekula mchana mwezi wa Ramadhani ni yeye peke yake,wakati katika uislamu wapo walioruhusiwa kula hata kama ni muislamu:
Wagonjwa
Wanawake waliojifunguwa
Wazazi wanaonyonyesha
Watoto wadogo
Wasafiri
Mwanamke aliye katika siku zake
Wazee sana,wasiojiweza
Hao waliotajwa hapo juu,itakuwa Zanzibar nzima hakuna?
Hayo mabaa wazungu wanapokula na kunywa umezuiwa kuingia?Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Hao ndugu zako watakuwa waislamu kutoka mikoa inayojielewa lkn si wa huku pwanikama haya usemayo ni kweli basi itakuwa mamlaka za Zanzibar bado haziujui Uislamu!
mimi ni Mkristo by the way lakini nina ndugu Waislamu na ni watu wema sana kiasi najiuliza kwa nini dini hizi 2 zitofautiane kwa kiwango ambacho baadhi yetu tunaonyesha...
Utaratibu wa kufunga sie tumepangiwa na Mola wetu, na si kufuata maoni kama yako.Kwani ukifunga nikila mbele yako unatamani au?
Fungeni kwa moyo na siyo kwa kulazimishwa.
Kwahiyo kama umeacha kuiba, mimi nikiiba na wewe unatamani na wewe uibe?
Ukifunga kwa Moyo hata uone chakula hamna shida.
Naona umemzungumzia mwanaume Yesu Kristo. Nilisikia mashetani wakitaja Yesu wanaungua na ndiyo maana umeogopa kumtamka wazi.
Yesu ni Mwanaume, Simba wa Yuda. Alikufa na alifufuka. Nani mwingine amewahi kuvunja hiyo record?
Nasikia mtume wanu mlisubiri afufuke akaishia kuliwa na nguruwe. Poleni.
Huyu mleta uzi sio mkristo,wala hana dini,wamo watu humu jf,wanabadilisha ID,mara anajifanya muislamu anakashifu ukristo,na wakati mwingine anajifanya mkristo anakashifu uislamu.Nope!!!
Ndo uislam unavyofundisha na unavyotaka,ingekuwa tofauti na hivyo angetokea hata shehe mmoja akalikataza hilo ila lina baraka zote za kidini.
Nadhani hii dini ina mambo fulani ya kutisha tisha asiyekuwa nayo aingie either kumbana kwa vile avipendavyo sometimes hata kwa kuuwa,haiwezekani majority nzima Zanzibar wamejaa Waislam tena wanaojiita wamesoma kitabu then wasikemee ujinga huu,dini ndo inavyotaka.
Eti mungu wenu kafa msalabani, kisha anajinsia ya kiume. Sasa mungu anakufaje kufaje kama watu wake aliyewaumba !?Kwani ukifunga nikila mbele yako unatamani au?
Fungeni kwa moyo na siyo kwa kulazimishwa.
Kwahiyo kama umeacha kuiba, mimi nikiiba na wewe unatamani na wewe uibe?
Ukifunga kwa Moyo hata uone chakula hamna shida.
Naona umemzungumzia mwanaume Yesu Kristo. Nilisikia mashetani wakitaja Yesu wanaungua na ndiyo maana umeogopa kumtamka wazi.
Yesu ni Mwanaume, Simba wa Yuda. Alikufa na alifufuka. Nani mwingine amewahi kuvunja hiyo record?
Nasikia mtume wanu mlisubiri afufuke akaishia kuliwa na nguruwe. Poleni.
Wewe nani kafiri mmoja tu !Wajitahidi na huku bara wafanye huo ujinga waone wanavyochakaa
!
Kwani mlilazimishwa kwenda kuteseka huko au tamaa zenu ndiyo zinawapeleka.
Hahaahaaaaaaa...Kwani ukifunga nikila mbele yako unatamani au?
Fungeni kwa moyo na siyo kwa kulazimishwa.
Kwahiyo kama umeacha kuiba, mimi nikiiba na wewe unatamani na wewe uibe?
Ukifunga kwa Moyo hata uone chakula hamna shida.
Naona umemzungumzia mwanaume Yesu Kristo. Nilisikia mashetani wakitaja Yesu wanaungua na ndiyo maana umeogopa kumtamka wazi.
Yesu ni Mwanaume, Simba wa Yuda. Alikufa na alifufuka. Nani mwingine amewahi kuvunja hiyo record?
Nasikia mtume wanu mlisubiri afufuke akaishia kuliwa na nguruwe. Poleni.
Njoo ujaribu we gaidi uone tutavyokunyosha Mtu akila nyie mmefunga inaathiri nini?Wewe nani kafiri mmoja tu !
Hakuna mwanajeshi mpumbavu mpumbavu. Moja ya sifa ya mjeshi ni nidhamu. Kama nidhamu ni kutokula hadharani, basi hatafanya hivyo.Hivi mjeshi Mkristu akila hadharani naye watamkamata?
Ukristo raha sana mkuu toafauti na hiho dini ya kijinga. Wakristo unakuta kwenye familia wamefunga wawili wengine wote mnapika na kula na wala hakuna shida na huwezi kukuta waliofunga wakilalamika kwasababu wanajua hilo ni suala la imani ya mtu.Ni kwann Nile kwa kujificha? Kwan mie mwizi? Kwan wewe kufunga kwako kunanihusu Nini mm? Mbna wakristo wakifunga hawazuii wengine?
Nyie Ni washamba/mbumbumbu hamna elimu ndio maana
Ficha ujinga wako.
Wewe ndio umepiga msumari wa moto,maelezo yako ndio sahihi kabisa.Huyu ananzisha uzi tu wa kuogombanisha wakristo na waislamu,Zanzibar nzima,awe yeye tu ndio anakula mchana wa Ramadhani.Wakati wapo watoto,wagonjwa,wazazi,wazee,wasafiri,wanaonyonyesha watoto,wana ruhusa ya kutokufunga.Nafsi zao zinawasuta, wanajua Uislaam ni dini ya haki. Badala ya kujiunga wanajenga chuki
@bandiwe una heri unajiamini umeshaiona pepo,unajikuta kama vile wewe ndiye unamuandalia Mungu chai,kumpa ushauri wa mawili matatu etc!Utaratibu wa kufunga sie tumepangiwa na Mola wetu, na si kufuata maoni kama yako.
Uhuni wenu ndio maana nyie m'meshindwa kufunga. Eti unaacha kula nyama uanakula mchicha kisha unadai umefunga, wenyewe mnaita kwaresima ! Upuuzi mtupu.