MKAKA HALISI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 631
- 1,263
Yani umenikumbusha niliwahi kwenda Zanzibar kipindi kama hiki ilikua no shida tupu kula ilikua 12 jioni then mpaka kesho muda kama huo maana mm huwezi kuniamsha eti nile msosi 11 alfajiri ningum Kwahiyo mwezi kama huu kwa hawa ndugu zetu usiende Zanzibar