Jinsi ya kufungua kanisa 'la Mchongo' la kilokole na upige pesa Kwa Muda mrefu

Hebu tuinuke tuombe Ooh haleluya bababashakalabobobo sakata tumbaa ai katumba aswaapapapa aswaaa papapaa sakataaa bolokoshokoloo gooooooooooooooooooooooooooooooooooloo hapanaa sio gooli wote tuseme ameen
 
Labda kuanzisha uganga. kanisani siku wewe mchungaji ukiangushwa na pepo ndipo tutashangaa
Mungu anakuwa hayupo hapo! Jina la Yesu linatajwa ila sio kwa imani! Imani sio zile kelele! Kama madhabahu ni ngome ya adui zilitolewa makafara hapo wote mnapumbazika!

Sasa madhabahu za hivyo marufuku kualika watumishi wa kweli na watumishi wataoalikwa wanakuwa wameshachunguliwa kwenye rada zao level ya nguvu alizobeba.

Mnachanganywa na kukemea pepo sasa mkienda kwenye mihadhara ya kiislamu wanavyokemea pepo kwa imani yao si mtasilimu?

Mimi namfahamu mtumishi aliyewahi kumtembelea mwenzake mmoja maarufu na ilipofika muda wa sadaka mkono wa yule mtumishi mgeni uligoma kufunguka kuachia sadaka! Hadi akaghairi, usiku akaota ndoto akionywa asirudie kwenda kwenye ile madhabahu ni ya kishetani! Just be careful msivamie kila huduma ovyo kwasababu wanakemea pepo na shuhuda za hapa na pale.
 
Ameeen, leo Mungu anakwenda kufungua maisha yako...Utapata ile gari ya ndoto zako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!

Nikitazama kipato chako kuna neema naiona, leta mkono wako mama.
Ha haaa halafu unaambiwa utapata gari..ukijiangalia huna kipato cha kueleweka hata kula milo miwili ni shida.
Gari linashuka kimiujiza
 
Ha haaa halafu unaambiwa utapata gari..ukijiangalia huna kipato cha kueleweka hata kula milo miwili ni shida.
Gari linashuka kimiujiza
Aloo hii hela kabisa, hichi kipaji naona nakichezea sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ acha nianze movement
 
Kuna mwanangu kapania sana hii issue, Kila nikikutana nae anasema Kama vyuma vitaendelea kukaza hivi basi mwakani mwaka hauishi atafungua church πŸ˜‚
Mgee namba zangu mwakani tulianzishe,
 
Hahahaha! Wewe jamaa umenivunja mbavu aisee!
 
Hahaaa. Stori ni muhimu sana. "Nilifika pori moja, yapata usiku wa saa sita, pikipiki imeniharibikia, giza zito na wingu vimetanda. Pande zote ni msitu mnene. Nikasema bwana, kwa kuwa nimekuja kufanya kazi yako....." Endeleaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…