Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

Braza acha tu.. hakua hiv nafikiri alijitahid kuigiza ila hiibtabia sikuwah kuijua.
Tena ni msomi mwenzangu na ni muajiriwa kabisa.
Ukimuona hata huwez amini.
Tena ni mlokole kabisaaa
mmmh huyo sio mlokole, maandiko mbona hayasemi hivyo, mlokole gani hata samahani haijui huyo hata ulokole anaufake
 
Wenyewe wanasema tuwape hela...wee unakuja na mlolongo mrefuuuu 😂😂😂😂
 
Yote haya bila kumpa hela watakusaidia...
 
Huu usanii sio kwa Hawa wanawake manguchiro ya kitanzania
 
Pesa
Pesa
Pesa

Hii ndio furaha ya mwanamke, kwa ba tamu ake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…