Hayo ya kyline siyafahamu...kwani wewe hujasikia jamaa analia? au ya Mengi na Klyine huyafahamu kwamba alikuwa anatumia pesa za mzee kula maisha na njemba mwingine?
Hapana mkuu kwa huo mshahara sitaoa mambo yakuja kuchapiwa na kina mzabzab hapana kwa kweli😁
Sema tawileeeeee
Madini muhimu sana kuhani wa hekalu jeusiUkisoma hoja zangu utaona maeneo kama kumlisha, kumfanya apendeze, n.k. hayo yôte yanahitaji Pesa lakini siô nyingi kama àmbavyo unàtaka kuaminisha.
Ukifanya Kazi Huwezi shindwa kumhudumia Mwanamke wako. Na hauhitaji Mamilioni ya Pesa kufanya mambo Hilo.
Sina pesa sioi mkuu, hawa wanazingatia maokotoo tu😜Kuchapiwa wanachapiwa hata weñye Pesa.
Ukipata anayekupenda na unampenda OA.
Pesa siô msingi Mkûu wa Ndoa ila Kazi NI msingi WA Ndoa.
Mwanamke anayeolewa Kisa Pesa Hana tofauti na Kahaba WA pale Kimboka
Utoto unakusumbuaMaisha NI igizo àmbalo wachache ndîo hujua kucheza Sawasawa na scripts
Sina pesa sioi mkuu, hawa wanazingatia maokotoo tu😜
Naam MkuuMadini muhimu sana kuhani wa hekalu jeusi
Madogo wa miaka hili ndilo tatizo lenu kubwa hamfundishiki na hamshaurikiSawa.
Wewe uzee unakusumbua
.utulie tuli.
Vipi kama mwanaume nae ni maskini na anataka kuoa?Usioe Mwanamke Maskini wengi mind set zao zipo hivyo
Madogo wa miaka hili ndilo tatizo lenu kubwa hamfundishiki na hamshauriki
😂😂😂Chizi wewe unaniona baadala ya kuja nikupige deki😝Nakuona nakuona
Vipi kama mwanaume nae ni maskini na anataka kuoa?
Wee kichapiwa kupo pale pale ata uwe billionea mwanawaneHapana mkuu kwa huo mshahara sitaoa mambo yakuja kuchapiwa na kina mzabzab hapana kwa kweli😁
Ndio raha ya dunia mwanawane....utelezi na joto la matiti ya mwanamke😁😁😁😁 vijana mpo vizuri asee