Yani ww utaanza kula moto hapa duniani ukifa na bado huko mbele ya safari yni ww usipobadilika na imani yko potofu iyo utaishia pabayaBinafsi ninapenda utamaduni wa Maiti kuchonwa Moto Tu
Ili kuhifadhi mazingira na ardhi kwa matumizi ya baadae.
kwaio maiti zenu mkishawavisha masuti wakijinyea hamuwasafishi? na vile mnavo kaa nao mawiki sijui iyo harufu inakuaje au mnajua kua atainuka tena kukaa nae mawiki na miezi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hapana aisee hiyo ya kukamua mbolea iko kwa waislam tu
Mkuu unataka maiti zinukie?unataka kumla?kwaio maiti zenu mkishawavisha masuti wakijinyea hamuwasafishi? na vile mnavo kaa nao mawiki sijui iyo harufu inakuaje au mnajua kua atainuka tena kukaa nae mawiki na miezi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mm sijasema zinukie ila m nimegusia kwnye point ya Usafi ambayo wakristo wanaona sio sahihi maiti kusafishwa kma wafanyavo waislamuMkuu unataka maiti zinukie?unataka kumla?
Mfu ni mfu tu ndugu,akizikwa na lake limeisha.
Ha...ha...haYani ww utaanza kula moto hapa duniani ukifa na bado huko mbele ya safari yni ww usipobadilika na imani yko potofu iyo utaishia pabaya
Sasa ww asa mjingaHa...ha...ha
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio jukumu lako kuhukumu watu.
Na uwache kabisa kuusingizia Uislamu.
Hakuna mahali Waislamu wanaamrishwa matendo ya kukamua.
Hizo ni mila za Baadhi ya Waarabu tu na sio wote.
Kwamba kukosekana kwa miti ya mbao ndio walishindwa kutengeneza majeneza...??Ni dhahiri waislm wengi wanafuata utamaduni wa waarabu wa kale, utamaduni wameufanya ni sehemu ya imani, uarabuni sababu ya uhaba wa miti ya mbao walikuwa wanazika bila jeneza imeingia kwenye dini, kuzika maiti ubavu imeingizwa pia kwenye dini. MTU ULIYESTAHARABIKA HAIWEZEKANI KUKAMUA MAVI YA MAITI ILI IWEJE... MWARABU KAWAWEZA SANA
Acha kuchafua imani za watu ukiambiwa uthibitishe kuwa hizi ni porojo na hakuna uhalisia utaweza. Punguza chukiHa...ha...[emoji38][emoji38][emoji38]
Huwa wanakamulia kwenye masufuria. Yaani vyombo hivi tunavyotumia.
Halafu wanafukia Uchafu tu ndani ya chumba.
Hizo sufuria zinaoshwa na maji ya Moto na sabuni na zinatumika tena Kwa matumizi ya kawaida.
Inawezekana zikatumika kwenye mapishi ya hapo hapo msibani.
Na wanafanya Kwa siri sana na hakuna kutangaza tangaza.
Yaani Mavi yanafukiwa Chumbani Maiti inafukiwa makabulini maana hawaendi makabulini na huo Uchafu.
Ukiona chumba sakafuni kina ka mduara, ujue tayari kuna Marehemu mpangaji aliyetangulia kaacha Uchafu wake hapo.
Nyie mnaotafuta vyumba lazima mchunguze kwanza vimduara vipya ukubwa wa mfuniko wa ndoo ya maji au Dumla.
Hawa jamaa ni noma sana [emoji38][emoji38][emoji38]
Wakitoka nje utasiki "nyie ni makafiri tu"
"Chunguza ukiona kamduara ahirisha kupanga hako kachumba na hata ukiuliza huambiwi chochote"
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Nishamwambia uyo izo ni chuki zake tu uyo hna hojaAcha kuchafua imani za watu ukiambiwa uthibitishe kuwa hizi ni porojo na hakuna uhalisia utaweza. Punguza chuki
Basi Basi, nitasilimu niwe Mwislamu Safi kabisa.Nishamwambia uyo izo ni chuki zake tu uyo hna hoja
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] karibuuBasi Basi, nitasilimu niwe Mwislamu Safi kabisa.
Asante Sana.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] karibuu
Sawa sawa we karibu sana m nitakufundisha mengi kwenye dini ya haki ambayo watu wanaichukia sana dini hiiAsante Sana.
Hakuna kisicho wezekana chini ya Jua.
Kitu kinaenda fukiwa uko chini mavumbini,unasafisha nini mkuu?Mm sijasema zinukie ila m nimegusia kwnye point ya Usafi ambayo wakristo wanaona sio sahihi maiti kusafishwa kma wafanyavo waislamu
katika imani ya Uislamu ni kua ukishakufa ww unaenda mbele ya haki na haina budi kwenda huko ukiwa msafiKitu kinaenda fukiwa uko chini mavumbini,unasafisha nini mkuu?
@Ambition plus jibu umeliona?katika imani ya Uislamu ni kua ukishakufa ww unaenda mbele ya haki na haina budi kwenda huko ukiwa msafi
Sasa nyie mnavozika na majeneza ya gharama na.masuti na mashela yote ya kazi gani hayo wakati yanaenda kuozeana?
Kitu kinaenda fukiwa uko chini mavumbini,unasafisha nini mkuuusl
MASWALI.katika imani ya Uislamu ni kua ukishakufa ww unaenda mbele ya haki na haina budi kwenda huko ukiwa msafi
Sasa nyie mnavozika na majeneza ya gharama na.masuti na mashela yote ya kazi gani hayo wakati yanaenda kuozeana?
1.kikawaida kifo hutokea katika hali tulizozizoea kma kufariki hospitali au mtu kulala asiamke tena. Sasa izo hali ulozitaja wewe ni.hali za dharura ambazo mara chache hutokea na katika Uislamu kuna uoshwaji wa maiti wa kila aina hata kma amepata ajali. Kwaio kuhusu kupokelewa mbele ya haki ilo ni la Mungu mwenyewe na Mja wake kulingana na Matendo yake mja huyoMASWALI.
1. Waliofia kwenye maji waliochomwa moto walioliwa na wanyama mwitu hawa hawatapokelewa huko mbele ya haki kwa sababu tu hawajasafishwa miili yao ya nyama??
2. Kiendacho mbele ya haki ni nini? Roho mwili (mwili wa nyama) nafsi?
2.Kiendacho mbele ya haki ni Roho ya mja na mwili wake. Ukishafariki kwa imani ya Kiislamu Roho inaenda Sehemu yake ambayo ni mbinguni na mwili utaenda kuhifadhiwa kaburini mpka Siku ya UfufuoMASWALI.
1. Waliofia kwenye maji waliochomwa moto walioliwa na wanyama mwitu hawa hawatapokelewa huko mbele ya haki kwa sababu tu hawajasafishwa miili yao ya nyama??
2. Kiendacho mbele ya haki ni nini? Roho mwili (mwili wa nyama) nafsi?