Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
ππππEeee Mungu, hapa ndo utaujua waraka wa hamani uliowafanya wana wa Israel wakashindwa kula na kunywa
Ni tabu sana Nina kakaangu anajua kupika sana mkewe Kuna mda Hana Raha kabisa maana kupika Kuna vitu Bado hajajua vizuri alafu bro anapendaKuna siku nilikua likizo nikaenda Kwa mzazi, Asubuh nikawaambia ngoja niwatolee kitu chapati maji.. nika wamix na vitunguu pale , Kitu kimetoka mkao mafuta kwa mbalii, Wakasema kumbe Ndo maana Imma hauoi.
Et kwan kuna mahusiano gani mi kupika hvyo na kutokuoa wakuu
π€π€π€Hujagugo picha kwel?Karibu sana lakin nilipika mara mbili tu
Ya kwanza ni hii nafikir sikutoa Boko π
Namkaanga kweli akikaa vibaya π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu niwachee emu kwani.
Usinambieee
Nilitaka kuuliza hiyo pan ina shape ya ramani ya Afrika auNa sisi tutawapikia chatapi km ramani ya Africa mpk mkome [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π€£π€£π€£ hatareee mtuvumilie tuNilitaka kuuliza hiyo pan ina shape ya ramani ya Afrika au
Hongera dada from kizimkazeHahha hapana nimepika
Kwamba mwamba ubingwa umetwaliwaSkia Imma nikupange! Kuna vyakula tukiona unajua kuvipika vzr tunaanza kupata wasi wasi na ww
Nina last born wangu ana miaka 45 anatafuta Mchumba, kama utaridhia kuolewa naye nitakuunganisha naye π€ͺEt veta π
Babu hauna mjukuu wako kijana mzuri mzuri huko nishachoka kuwa singleπ
Chakula kingine mambo automatiki ππyakujaga yenyewe nipe hata huyo wa 45 nikamlee akipata kisukari ππNina last born wangu ana miaka 45 anatafuta Mchumba, kama utaridhia kuolewa naye nitakuunganisha naye π€ͺ
Nimeshawahi kuona binti ameolewa hata kuchemsha Chai hajui sembuse kupika Chakula chochoteπ
Kama chakula hajui kupika sina hakika kama kile Chakula kingine kama anajua hata kukiandaa ππππ
Hahahaha...............eti automatic πChakula kingine mambo automatiki ππyakujaga yenyewe nipe hata huyo wa 45 nikamlee akipata kisukari ππ
Fanya hivo Babu maana watoto wanachelewa shule ππHahahaha...............eti automatic π
Wengine wameweka standards, kama hunyumbuliki na ndoa hupati π
Ngoja nitakuunganisha naye Mjukuu, Babu yako nimemisi kula Pilau la sherehe
Kwa kweli bora umzalie mapema ili akifika miaka 60 walau first born wake awe na miaka 14 ππππFanya hivo Babu maana watoto wanachelewa shule ππ
Chapat nazipenda, znafata ndizi, pilau, na ugalii alooh..... [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] ulijuaje wii? Pishi la ndizi sijamaliza kufanya, leo umeibuka na chapati za maji!!
Ila zinaonekana tamu [emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sahivi ndo nimezidi kubangukaaa, juzi nilimtumia text mtu had anasema ulichobakiza ni kuokota makopoo na kutembea uchi.Hivi hivi hutoboi Kuna mtu ana akili km zako kanitumia sms juzi nimecheka balaa[emoji23][emoji23]nikakukumbuka[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]