Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

Ni tabu sana Nina kakaangu anajua kupika sana mkewe Kuna mda Hana Raha kabisa maana kupika Kuna vitu Bado hajajua vizuri alafu bro anapenda
Mwanaume jua kupika kiasi isizidi
 
Kwa mapishi hayo matamu, atakayekuja kuleta barua ya Posa lazima tumtajie mahari kubwa.

Hayo mapishi wengine wanaenda kujifunzia VETA
 
Kwa mapishi hayo matamu, atakayekuja kuleta barua ya Posa lazima tumtajie mahari kubwa.

Hayo mapishi wengine wanaenda kujifunzia VETA
Et veta πŸ˜€
Babu hauna mjukuu wako kijana mzuri mzuri huko nishachoka kuwa singleπŸ˜€
 
Et veta πŸ˜€
Babu hauna mjukuu wako kijana mzuri mzuri huko nishachoka kuwa singleπŸ˜€
Nina last born wangu ana miaka 45 anatafuta Mchumba, kama utaridhia kuolewa naye nitakuunganisha naye πŸ€ͺ

Nimeshawahi kuona binti ameolewa hata kuchemsha Chai hajui sembuse kupika Chakula chochoteπŸ™Œ

Kama chakula hajui kupika sina hakika kama kile Chakula kingine kama anajua hata kukiandaa πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Chakula kingine mambo automatiki πŸ˜€πŸ˜€yakujaga yenyewe nipe hata huyo wa 45 nikamlee akipata kisukari πŸ˜€πŸ˜€
 
Chakula kingine mambo automatiki πŸ˜€πŸ˜€yakujaga yenyewe nipe hata huyo wa 45 nikamlee akipata kisukari πŸ˜€πŸ˜€
Hahahaha...............eti automatic 😁

Wengine wameweka standards, kama hunyumbuliki na ndoa hupati πŸ™ˆ


Ngoja nitakuunganisha naye Mjukuu, Babu yako nimemisi kula Pilau la sherehe
 
Hahahaha...............eti automatic 😁

Wengine wameweka standards, kama hunyumbuliki na ndoa hupati πŸ™ˆ


Ngoja nitakuunganisha naye Mjukuu, Babu yako nimemisi kula Pilau la sherehe
Fanya hivo Babu maana watoto wanachelewa shule πŸ˜€πŸ˜€
 
Fanya hivo Babu maana watoto wanachelewa shule πŸ˜€πŸ˜€
Kwa kweli bora umzalie mapema ili akifika miaka 60 walau first born wake awe na miaka 14 πŸ˜πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Kwa kweli bora umzalie mapema ili akifika miaka 60 walau first born wake awe na miaka 14 πŸ˜πŸƒπŸƒπŸƒ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Angalau tuwe tunamtuma kuchota maji bombani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ulijuaje wii? Pishi la ndizi sijamaliza kufanya, leo umeibuka na chapati za maji!!
Ila zinaonekana tamu [emoji39][emoji39]
Chapat nazipenda, znafata ndizi, pilau, na ugalii alooh..... [emoji16]
 
Hivi hivi hutoboi Kuna mtu ana akili km zako kanitumia sms juzi nimecheka balaa[emoji23][emoji23]nikakukumbuka[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sahivi ndo nimezidi kubangukaaa, juzi nilimtumia text mtu had anasema ulichobakiza ni kuokota makopoo na kutembea uchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…