Au ndo kama vile siku hyo unasingizia unauwamwa ππππππHatari sana mm nashukuru Mungu wakija rafikizangu au wageni hata nijikaushe utasikia kwani Leo hupiki Cha ajabu hata Sina Cha maana nachopika vyakula vya kawaida tuππ
Acha tu atakayenioa namuonea huruma πππNa siku ukitaka kupika inabidi umtafte uanze ivi ulisema tunachangia ya vitunguu saumu vingapiπ shida ya wanafunzi hawasomi notes
ππππHahha najifanyaga Nina safari ila uzuri lazima hata bites ziwepo wanakula wanaridhika ππ
Nitapika weekend π₯±Natumaini mkopoa
Tujifunze namna ya kupika chapati za maji Kwa njia rahisi na haraka pia ni moja ya vitafunwa ambavyo havina mambo mengi
Mahitaji
Ngano robo au kias unachopenda Kulingana na familia Yako
Iriki au vanilla
Sukari /chumvi ni vile upendavyo
Yai moja au mawili
Maji ya baridi
Hatua
Chukua bakuli safi na kavu weka ngano na sukari Changanya kidogo Kisha Anza kuweka Maji ya baridi kidogo kidogo huku unakoroga had utapoona ngano Yako imekuwa uji mzito hakikisha hauna mabonge
Ongezea mayai pamoja na iriki au vannila endelea kukoroga kama itakuwa Bado nzito ongezea maji kidogo Ili upate uji ambao sio mzito Wala mwepesi Sana
JINSI YA KUPIKA
Weka pan Yako jikoni subir ipate moto hakikisha moto sio mkali
Kama pan sio non stick ipake mafuta kidogo ikipata joto
Weka uji wako wa ngano katika pan acha Kwa dakika 1 au 2 had uone Inakuwa kavu kidogo geuza upande wa pili nao acha kidogo Kisha weka mafuta nusu kijiko Chakula upande mmojaKisha geuza upande mwingine nao hivo had uone imebadilika rangi
Toa chapat zako jikoni zitakuwa tayari
Sio mjuzi sana wa mapishi karibuni pia kuongezea maoni
Unaweza kunywa na chai ya rangi hata maziwa View attachment 2791077
Pia sikuna somo la vitendo tunataka tuthibitishe kweli ama ndo hataki kutupa ujuziwewe unajua kupika sana π ππ
Muulize Kantry akwambie π€£π€£π€£wewe unajua kupika sana π ππ
Au ndo ile akipita mtaani utasikia jaman dada mzuri ila mchoyo kumbe hajui kipikaπHataki tu uyo ila anajua
Mzee Hilo umeliona eeh..... Kupika sifa kuu ya mwanamk anaetak kuwa muke ya mutuMoja ya sifa ya kuwa mke bora ni kujua kupika. Congrats shemu
Tatizo me nikizipika sijui nakosea wapi,zinakuwa rojo rojoUpate na maharage ya Nazi [emoji3]
Kumbe bado acha nikutaftie kijana, nina kijana wangu mstaarabu mpole ,hana makuu ana kila sifa mrefu kidogo ila hana hela ebu mfikirie , katika orodha mwandike alafu unipe jibu kwa kuninong'onezaAcha tu atakayenioa namuonea huruma πππ
Likijitokeza nitasema tuuuu πKaribu
Kama Kuna lingine sema tu tushushe nondo π