Mkiu Kwetu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 261
- 278
Yes, kitu kinachofanyika hapo in kisayansi zaidi, kwa kuwa maji yakichemka hayazidi nyuzi jota mia, zaidi ya hapo yanakuwa mvuke na unapotea angani, kinachofanyika ni kuzuia evaporation na kumaintain water temperature, then tunakata moto. That's allKiafya inakubalika?
Jaribu halafu tupe mrejesho, zingatia maelekezo mkuuUshuhuda zaidi unatakiwa
Hujaelewa mkuu, dk 10 ni za processUnakwenda kazin na kurud ndan ya dakka 10??...
Habari za mapumziko ya mwisho wa wiki,
Leo nimeona bora niwashirikishe jambo moja hasa wale wanaoishi single a.k.a bachelor.
Mara nyingi nimeona watu wa kada hii husumbuka sana katika maandalizi ya chakula na kupelakea kuwa na mahusiano mazuri na wauza chips au Mama lishe ili angalau kuitendea haki miili yao, na mara nyingine wanabuni mboga rahisi kama mayai, dagaa wa kukaanga na mtindi ili kukamilisha zoezi. Lakini napenda kuwajulisha sasa unaweza kupika maharage kwa dk 10 na ukafurahia maisha, fuata maelekezo haya;
1. Andaa maharage yako tayari kwa kupikwa,
2. Washa jiko lako kisha tenga maharage yako, subiri mpaka yachemke kabisa (boiling point)
3. Mimina maharage na maji yake kwenye Thermos (chupa ya chai) hakikisa chupa yako haipozi, na pia hakikisha maji yanajaa mpaka juu.
4. Funika chupa yako vizuri kisha ondoka nenda kazini.
5. Ukirudi toka kazini njoo na nyanya,vitunguu,karoti nk tayari kuunga maharage yako tayari kwa kuliwa.
Nawatakia Siku njema, nasubiri mrejesho.
Stay blessed
Soma vizuri uelewe mkuuUmesema dk 10 kisha unasema”Ukirudi toka kazini”.......!!!!Kazi gani ya kutoka na kurudi ndani ya dk 10.
Sijaona busara ya kutangulia.Jaribu halafu tupe mrejesho, zingatia maelekezo mkuu
Asante sana mkuu presha cooker kwa jiko la mkaa unaweza kutumia mkaa wa pesa ngap?Nunua pressure cooker kama hauna. Kisha nunua maharage loweka nenda kazini (Kama ni magumu), ila pia sio lazima kuloweka. Tia kwenye pressure cooker maharage yako, washa jiko lako nusu saa yameiva.
Asante sana kwa hiiChemsha maji weka kwenye thermos weka maharage yako, yaache kwa masaa 9-12, yatoe yabandike kwenye jiko la gas..Hayachukui muda.
Yanakua na ka harufu flani hivi.Chemsha maji weka kwenye thermos weka maharage yako funika, yaache kwa masaa 9-12, yatoe yabandike kwenye jiko la gas..Hayachukui muda.
Kweli mkuu napenda sanaMkuu mm mwenyewe mdau Mzuri, niliweka order Kabisa kwa dada moja, hvyo ninapotoka job napitia naenda Unga mwenyew less costful and time saving
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawa kbs...umeme ukikata jeeNichemsha maharage kiko mbili mara moja kwa mwezi. Yakiiva ninaacha yapoe ninatia kwenye mabakuli ya plastic ya 1/2 kilo ni awe is kwenye freezer.