Jinsi ya kupika maharage kwa njia rahisi bila kutumia gharama kubwa

Kiafya inakubalika?
Yes, kitu kinachofanyika hapo in kisayansi zaidi, kwa kuwa maji yakichemka hayazidi nyuzi jota mia, zaidi ya hapo yanakuwa mvuke na unapotea angani, kinachofanyika ni kuzuia evaporation na kumaintain water temperature, then tunakata moto. That's all
 

Umesema dk 10 kisha unasema”Ukirudi toka kazini”.......!!!!Kazi gani ya kutoka na kurudi ndani ya dk 10.
 
Mkuu umechapia kidogo sio dk kumi unatakiwa unayaache usiku mzima au kama unaweka asbh jioni ukitoka kazini ndondo tayari
 
Napenda maharage na wali au na ugali au na chapati kuliko hata navyopenda nyama au samaki, ila issue ni kuyapika huku mjini ni gharama sana mpaka uwe na mkaa.

Hivi kwa mtu aliye bachelor ni bora kununua maharage yaliyopikwa mgahawani au bora kununua maharage na mkaa na kupika? Kipi nafuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nunua pressure cooker kama hauna. Kisha nunua maharage loweka nenda kazini (Kama ni magumu), ila pia sio lazima kuloweka. Tia kwenye pressure cooker maharage yako, washa jiko lako nusu saa yameiva.
 
Nunua pressure cooker kama hauna. Kisha nunua maharage loweka nenda kazini (Kama ni magumu), ila pia sio lazima kuloweka. Tia kwenye pressure cooker maharage yako, washa jiko lako nusu saa yameiva.
Asante sana mkuu presha cooker kwa jiko la mkaa unaweza kutumia mkaa wa pesa ngap?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipenda kitu kuwa tayari kugarimikia

Sent using simu mbovu
 
Nichemsha maharage kiko mbili mara moja kwa mwezi. Yakiiva ninaacha yapoe ninatia kwenye mabakuli ya plastic ya 1/2 kilo ni awe is kwenye freezer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…