Jinsi ya kupika maharage kwa njia rahisi bila kutumia gharama kubwa

Jinsi ya kupika maharage kwa njia rahisi bila kutumia gharama kubwa

inafanya kazi kweli... lakin waambie ukweli radha ya maharage inakuwa sio sawa na njia ya kawaida..ukweli usemwe
 
Ukipika maharagwe kwa kutumia pressure cooker yaiva kwa dakika chache sana!
Wenzetu nchi Za ulimwengu wa kwanza na wapili wanatumia sana !
Wanakoa matumizi ya nishati mbadala!
Ukitumia gesi kwa muda mfupi utatumia kwa muda mrefu bila kununua nyingine kwa hiyo utaokoa matumizi ya fedha ya familia!
 
Ukipika maharagwe kwa kutumia pressure cooker yaiva kwa dakika chache sana!
Wenzetu nchi Za ulimwengu wa kwanza na wapili wanatumia sana !
Wanakoa matumizi ya nishati mbadala!
Ukitumia gesi kwa muda mfupi utatumia kwa muda mrefu bila kununua nyingine kwa hiyo utaokoa matumizi ya fedha ya familia!
Yaa pressure cooker ndo mpango mzima
 
Kuna li mwanangu lilipika maharagwe kwa njia hii yalikuwa kama njugu mawe[emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Ukipika maharagwe kwa kutumia pressure cooker yaiva kwa dakika chache sana!
Wenzetu nchi Za ulimwengu wa kwanza na wapili wanatumia sana !
Wanakoa matumizi ya nishati mbadala!
Ukitumia gesi kwa muda mfupi utatumia kwa muda mrefu bila kununua nyingine kwa hiyo utaokoa matumizi ya fedha ya familia!
Mbona Pressure Cooker yangu inaivisha Maharage kwa LISAA LIMOJA NA NUSU![emoji134] Nakosea wapi? Au inakuwaje?
 
Yanaiva vizuri tu,ni njia nzuri .chemsha maji tia ndani ya chupa isiyopoza,sio mradi chupa yatatoka kama yamelowekwa,chupa isiyopoza.!!!!!
 
Mi natumiaga rice cooker na naivisha Ndani ya dakika 20 tu
 
Nshafanya hyo kitu ni kweli kabsaa mara ya mwisho nimefanya jana
 
Asante kwa uzi nzuri nimeama home Nina miez 4 inakaribia sijawah kula wala kupika maharange kwa huu uzi nitaende kununua maharange ili nipike.

Naomba unifafanulie namba 2 hii " 2. Washa jiko lako kisha tenga maharage yako,
subiri mpaka yachemke kabisa (boiling point)"

Ni unachesha hayo maharange yakichemka unayamiminia na Maji yake kwenye chumba
Correct mkuu
 
Back
Top Bottom