Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje athibitishe mwenyeweAnajua bhana [emoji23][emoji23]
Kama sijakufananisha wewe ni member mzuri sana wa uzi wetu wa vyakula kule 😅Kwa style hii ndio uniambie nikonde sijui nibalance diet, siwezi kukuelewa. Pishi kama hili siezi kuacha kula hasirani, wanipeleke mloganzila nikawekewe puto tu.
Kuna wanawake wenzako hata ugali hawawezi kupika mikucha kama jini mwiko kushika hawawezi.Shukrani nafikiri nikipata simu nzuri kitaonekana vizuri zaidi
We kama mimi, huwa nanunua nyanya sado zinakaa sana sababu nikitumia nyingi basi ni mbili.Asante bestieee naona leo unapika mapemaaaa hutaki shemeji achelewe
Mwenzio sipendagi nyanya kabisaaa naitumia Mara chache hapo ningeweka carot, soya sauce na corn starch na hivyo viungo vingine ningetoa kituuu
On my way Mjukuu 🚶🚶🚶Nitafurahi sana karibu
Kama uko busy na watu wapo sio lazimaWe kama mimi, huwa nanunua nyanya sado zinakaa sana sababu nikitumia nyingi basi ni mbili.
Now nakaa na wadada kama watatu hivi haina haja ya mimi kuingia jikoni aisee napata shida sana na aina yao ya mapishi, nyanya shatashata. Anyways najifunza kuenjoy mikono ya wengine.
Nina kama miezi mi4 sijaingia jikoni. 🤦🏻♀️🤦🏻♀️
😂😂😂Usitake kunigombanisha na mashost zanguKuna wanawake wenzako hata ugali hawawezi kupika mikucha kama jini mwiko kushika hawawezi.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Enhe kuna vikachori mara umefunga sambusa basi tu heka heka, we ni kama mdogo wangu mmoja, she will find a way ya kuingia jikoni hata kama utamwambia leo si zamu yako.Kama uko busy na watu wapo sio lazima
Ila mm siwezi Yani hata kukiwa na watu lazima hata kukoroga nikakoroge Ili mradi tu 😂😂😂
Hapa Leo nishaawaambia wajiandae kula biscuit jion Nina hekaheka balaa
Kabisa aaliyyah wew ni fundi sanaShukrani nafikiri nikipata simu nzuri kitaonekana vizuri zaidi
😍no puedo espectaculo el en publicaNo puedo pasar unbuen rato si no veo mis hermosos ojos😋
comida deliciosa😍no puedo espectaculo el en publica
Utaniua aisee🤣. Siwezi sana
Asante my dearEnhe kuna vikachori mara umefunga sambusa basi tu heka heka, we ni kama mdogo wangu mmoja, she will find a way ya kuingia jikoni hata kama utamwambia leo si zamu yako.
Watu kama nyie mmebarikiwa sana 😍
Verdadero😍comida deliciosa
exactamente mi amor😋🥰Verdadero😍