Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,730
- 2,230
Umetoa mfano mzuriHuo ni ukweli kabisa, ziwa victoria linazidiwa ujazo na ziwa Tanganyika. Hata ziwa Nyasa bado lina maji mengi kuzidi Tanganyika.
Hii ni kwa sababu Ziwa Tanganyika na Nyasa yana kina kirefu kwa sababu yamepitiwa na bonde la ufa. Lakini ziwa Victoria limechukua eneo kubwa lakini lina kina kifupi.
Ziwa Victoria lipo kama sinia, lakini ziwa Tanganyika na Nyasa yapo kama bakuli.
Mkuu ukitaka kuangalia ukubwa wa kitu hauangalii tu upana wake. Ujazo ndiyo kipimo sahihi cha ukubwa wa kitu chochote. Victoria ni kama sahani pana na Tanganyika ni kama bakuli isiyo pana lakini inaingiza mchuzi mwingi zaidi. HaZiwa Tanganyika ni la 2 duniani kwa kuwa na kina kirefu, kwa ukubwa Ziwa Victoria ni la 3 duniani na Tanganyika nazani ni la 5 au 6 kwa ukubwa
Tanganyika linamaji mengi kwasababu kwanza lina outlet moja tu kule Zambia inayopeleka maji mto Congo, pili lina kina kirefu. Disadvantage ya ziwa ni uwepo wa samaki wachache nazani inachangiwa na uwepo wa species chache za samaki
Kwa hiyo hujui kama maji ya Ziwa Tanganyika yana chumvi?Kwanini unatunga mambo?
Suala la uchache wa samaki hata kutokuwepo kwa visiwa vingi ni tatizo maana visiwa ni eneo zuri la mazalia ya samaki, mfano Ziwa Victoria miaka ya zamani visiwa vyote kikiwemo na Ukerewe kulikuwa na samaki wengi sana kabla ya overfishing iliyofanywa na binadamu, kwa suala la Volume nitafanya utafiti nione ziwa lipi lina Volume kubwaMkuu ukitaka kuangalia ukubwa wa kitu hauangalii tu upana wake. Ujazo ndiyo kipimo sahihi cha ukubwa wa kitu chochote. Victoria ni kama sahani pana na Tanganyika ni kama bakuli isiyo pana lakini inaingiza mchuzi mwingi zaidi. Ha
Ni kweli kuwa Tanganyika ina outlet moja, lakini hata ziwa Victoria lina outlet moja, ziwa Tanganyika lina maji mengi sababu ni kubwa. Na kuwa na samaki wachache ni sababu samaki hawawezi kuishi kwenye kina kirefu sana, hewa huwa hamna.
Kwa hiyo hujui kama maji ya Ziwa Tanganyika yana chumvi?
Sio kwa kunywa ni kwa matumizi ya kila siku,,yaani kuoga kuchamba kufua kupikia n.kSawa Mkuu.Lkn hapo pa mtu mmoja kunywa lita mia moja kwa Siku umetulisha Matango pori.
Kichwa chako kipo sawa sawa kweli veve?Duniani ziwa Tanganyika ni la pili kwa ukubwa baada ya ziwa Baikal. Ziwa Baikal lina ujazo wa kilomita za ujazo 23,000 huku Tanganyika likiwa na 18,900. Nyasa lina 8,500 na Victoria lina 2,500. Ziwa Victoria linaingia kwenye ziwa Tanganyika karibu mara nane.
Ziwa Tanganyika lina asilimia 18.9 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia. Tanzania sisi tunamiliki 46% ya ziwa Tanganyika. Kwa maana hiyo, hilo linatufanya tumiliki asilimia kama 8.5 ya maji safi yote yaliyopo kwenye uso wa dunia. Ukijumlisha na sehwmu za ziwa Nyasa na Victoria utaweza kuta karibia asilimia 11 ya maji yote safi yaliyopo kwenye uso wa dunia yapo Tanzania.
Ukitoa maji yote kwenye ziwa Tanganyika halafu ukasema mito yote duniani itiririke kulijaza, itatumia karibia miezi saba kulijaza. Mto mkubwa wa Amazon utatumia karibu miaka mitatu. Mto Congo utatumia miaka 13.
Ukisema mto Rufiji utiririke kujaza Ziwa Tanganyika utatumia karibu miaka 1,400.
Hili ziwa peke yake linaweza kunywesha kila jiji Tanzania nzima. Na kila mtanzania. Ukipiga hesabu ya watanzania wote milioni 60 na ukipiga hesabu ya kuwa kila mtu, mtu mzima hadi mtoto mchanga anatumia lita mia moja kwa siku utaona kuwa tunahitaji kilomita za ujazo 2.2 kwa mwaka. Kinadharia, kwa idadi hiyo tunaweza kutumia maji ya ziwa hilo kwa miaka 8,500.
Asitokee mtu wa kutuambia tuna upungufu wa maji.
Mkuu.Ah wapi, kuna vitu vya Kutumia tafsida lkn sio maji Mkuu.Tafsida hutumika kupunguza ukali wa maneno, mfano badala ya kusema " Mboo"kwa kutumia tafsida Utasema"Uume"
Amekuambia matimizi ya mtu kwa cku we kwako matumizi ya maji nikunywa tukumbe .ndio maana hatujafuzu kwend Q2022 kwa akili hizi bac sawaSawa Mkuu.Lkn hapo pa mtu mmoja kunywa lita mia moja kwa Siku umetulisha Matango pori.
Unzishwe mradi Mpya utakaosaidia kanda hiyo.Weka hoja mezani of which najua huwezi.
Weeee! Acha uongo maji ya ziwa tanganyika nimekunywa hayana chumviZiwa Tanganyika lina majichumvi na hili ndo tunaona gharama kubadili maji yake kuwa matamu.
Uvinza iko mkoa upi?Weeee! Acha uongo maji ya ziwa tanganyika nimekunywa hayana chumvi
Height ni kina; depth or vertical distance. Length ni horizontal distance over the earth's surface. Ingawa ziwa halina uniform shape kama umbo mstatili au mraba ndio maana nikasema "simplest definition".
Ametaja matumizi jumla- kufulia,kupika,kuoga etc.Sawa Mkuu.Lkn hapo pa mtu mmoja kunywa lita mia moja kwa Siku umetulisha Matango pori.
KigomaUvinza iko mkoa upi?
Kumbuka GDP per capita inavyopatikana.Km ni pamoja na umwagiliaji hapo sawa;Lkn je watu wote wanafanya umwagiliaji?, Vipi watoto,nao wanatumia hizo lita mia moja kwa Siku??.