Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jembe mpya lipo mkuu, ni wewe tu lini tuonane nikukabidhi. Nitakuongezea na mnyororo 😋😋Jembe la kukokotwa na ng'ombe limevunjika mkuu nataka wa kulima naye kwa jembe la mkono...
Ahsante MkuuPole
Nawazia juice tangy tu hapaunamsongo wa mawazo, embu tafuta tiba haraka sana
Na yenyewe iungue apate hasara mbili😅Kama unaishi vizuri na majirani zako unaona shida gani kwenda wakuazime kwa leo.
🤣🤣🤣Pole, fanya uvitwange
Mimi nilinunua blenda elfu 50, nimekaa nalo seven years......inategemea unatumiaje.Ila jamani blender 45,000?!!
Kula uliwe
Akienda Kwa Majirani atashusha brand.....mwacheni alie alale.Huna majirani?
🤣🤣🙌🏿Na yenyewe iungue apate hasara mbili😅
Hiyo Portiam naweza kupata mafuta ya kupaka usoni?Na yenyewe iungue apate hasara mbili😅
Nyumba ziko mbalimbali sanaUna jirani mmoja tu
TangaUko wapi nikuletee Blenda mpya sa ivi?
Niko Tanga segeraUnaishi alone? Dah achana na juice hebu chukua bolt uje hapa Kinyerezi, pole sana Ndugu yangu
SinaMalizia na kinu!
Wala hataWacha weeeee mtaani kwenu we ndo don
Nliko Sio mjini ni rural kweliNakazia, mtaa gani huo mtaa mzima brenda 1....ona leo kuna dharura hamna msaada