Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo mwenye kutangulia kujenga ukuta hatakiwi kujenga nje ya +.FRESHMAN Inategemea na muundo wa block yenu. Kama ipo kama hii picha ilivyo kwa maana kwamba viwanja vyenu vipo "mkabala", basi jirani yupo sahihi na kakusaidia kujenga fence.View attachment 2371604
Tena hapo amwambie aweke msingi wa mawe sio tofari. Amshauri na jirani wa upande wa pili nae aweke ukuta ili yeye aje amalizie kuzoba nyuma na mbele tuKapata mseleleko hana gharama tena
Kweli hata zile mita mbili kila upande wa kiwanja kuachwa hajaachaHuku nimeomba ushauri kwa kuuliza kwanza kwa wataalamu na wazoefu.
Kabla sijaenda kusema kokote ama kufungua kesi?
Toa jibu ama ushauri kama yupo sahihi ama anakosea
UMEKWISHA!Ni mchaga
Alieleza awali kuwa ni arawa aka mshaga aka meku.Kama hajaingia kwako achana naye,
Zaidi zaidi waambie serikali ya mtaa ili wakushauri..
🤣atakuwa mchaga au mhaya tu huyo 😎
Nilijua tu.Alieleza awali kuwa ni arawa aka mshaga aka meku.
Hiyo Sheria utekelezaji wake unahitaji busara kama si kuitazama vizuri, maana Kuna baadhi ya maeneo, hivyo vichochoro vinavyozaliwa baada ya watu kujenga kuta zao, huwavutia sana vibaka na wavuta bangi, mwisho wa siku mtajuta kuwatengenezea ofisi.Hapana.Kuacha nafasi kati ya nyumba ya kiwanja kimoja na kiwanja kingine ni lazima kisheria za ujenzi.Na kuna vipimo vyake.Kila mmoja ataacha mita moja na nusu kutoka katika jiwe/bikoni yake.Akileta ubishi atabanwa kwa kuombwa yafuatayo kisheria za mipangomiji/halmashauri;-
1-Uhalali wa umiliki eneo(nyaraka halali),
2-kibali cha ujenzi kinachoenenda na muda(expire date)
3-Na kama amehamia/nyumba ipo,ataombwa leseni/kibali/ruhusa ya kisheria ya kuishi hapo,
4-Hana hivyo vitu;a,atapigwa faini kimojakimoja-b,atasimamishwa ujenzi-c,atavunja ukuta kwa muda atakaopewa kwa gharama zake-d,atapewa onyo kali aache ungedere.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HairuhusiwiHabari wadau,
Nina kiwanja changu kimepimwa na manispaa ya Ubungo.
Jirani yangu naepakana nae ameamua kujenga msingi wa ukuta wake kati kati ya jiwe linalotutenganisha..
Je, yupo sahihi? Sheria ya Ardhi inaruhusu hili kutokea?
Wataalamu na wazoefu naombeni ushauri
Tazama picha. Kiwanja changu ni upande wa kushoto na cha jirani ni upande wa kulia wa beacon
Beacon iliyowekwa na manispaa ndiyo hiyo pembeni ya mti (mti ameuweka ndani ya upande wa kiwanja changu) na hayo nyuma ndio matofali ya jirani
View attachment 2371564
...Sasa tukupe Ushauri Gani Hapo. Wee Sema ulitaka TU kutujulisha kwamba una kiwanja!Huku nimeomba ushauri kwa kuuliza kwanza kwa wataalamu na wazoefu.
Kabla sijaenda kusema kokote ama kufungua kesi?
Toa jibu ama ushauri kama yupo sahihi ama anakosea
....Akiamua Kujenga Fensi....akiamua ndio atakapojenga nyumba yake ya Kuishi, je??Yes amemsaidia upande mmoja..........Kuna wengine wana bahati anasaidiwa pande tatu zote yeye anabakiza kufunga mbele tu na kuweka geti....Ukinunua viwanja vya kupimwa ndio advantages zake hizo.
Huo ndio ushauri! Hapo juu, jamaa hawajui chochote, badala ya kupiga kimya, wao wameamua kujivua nguo!Amekengeuka.Kuna umbali maalum/kipimo katika mita alipaswa kuingia kwa upande wake ndiyo ajenge.Hiyo ni ili aache nafasi kati yake na jirani.Pia aache uchochoro/nafasi kwa ajili ya huduma za jamii kama maji,umeme na hata njia ya kupita.Mumuwahi kabla hajaziba kabisa eneo kwa kuwapa taarifa viongozi wa mtaa au Mipangomiji/Ardhi wilayani waje wampe elimu.
Kama hajaingia kwako achana naye,
Zaidi zaidi waambie serikali ya mtaa ili wakushauri..
🤣atakuwa mchaga au mhaya tu huyo 😎
Ingekuwa ndio hivyo nyumba zote zingekuwa zina vichochoro pande zote ndio hicho unamaanisha?Hapana.Kuacha nafasi kati ya nyumba ya kiwanja kimoja na kiwanja kingine ni lazima kisheria za ujenzi.Na kuna vipimo vyake.Kila mmoja ataacha mita moja na nusu kutoka katika jiwe/bikoni yake.Akileta ubishi atabanwa kwa kuombwa yafuatayo kisheria za mipangomiji/halmashauri;-
1-Uhalali wa umiliki eneo(nyaraka halali),
2-kibali cha ujenzi kinachoenenda na muda(expire date)
3-Na kama amehamia/nyumba ipo,ataombwa leseni/kibali/ruhusa ya kisheria ya kuishi hapo,
4-Hana hivyo vitu;a,atapigwa faini kimojakimoja-b,atasimamishwa ujenzi-c,atavunja ukuta kwa muda atakaopewa kwa gharama zake-d,atapewa onyo kali aache ungedere.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ulitaka aweke wapi ukuta?akuachie beacon uani kwako?Ramani haioneshi. Mimi nimeuliza kuhusu ukuta wake kuwa ndani ya beacon je ni sahihi?
Jambo la njia sijaliulizia maana ni maamuzi yake binafsi.
Naulizia ukuta wake na beacon inayotutenganisha tu
...Sasa tukupe Ushauri Gani Hapo. Wee Sema ulitaka TU kutujulisha kwamba una kiwanja!
Nikuulize wewe swali la kawaida Hapo la kutumia TU Akili... Jirani akamua kujenga Hapo, Maji ya Mvua ya Bati lake yataangukia Wapi???[emoji35]